The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
Tapeli mkubwa huyu..... CCM wakimpa huyu jamaa,nitaamini kabisa kuwa hawamjali Mtanzania bali matumbo yao.Askofu mkuu wa kanisa la ufufuo na uzima Dr Gwajima amesema kwa sasa mitume wamekuwa wengi hivyo Mungu amemtuma aiache madhabahu na aende akaitumikie nchi na baadae kupitia nchi ataitumikia dunia.
Askofu Gwajima ambaye ni mgombea ubunge jimbo la kawe ameyasema haya katika ibada kanisani kwake.
Maendeleo hayana vyama
cc: Pascal Mayalla
CCM Mkimpitisha Mcheza porno nitaona watu wa ajabu sana! Gwajima ana ushawishi kwa mandondocha/misukule yake tu ambao sio wapiga kura!!Askofu mkuu wa kanisa la ufufuo na uzima Dr Gwajima amesema kwa sasa mitume wamekuwa wengi hivyo Mungu amemtuma aiache madhabahu na aende akaitumikie nchi na baadae kupitia nchi ataitumikia dunia.
Askofu Gwajima ambaye ni mgombea ubunge jimbo la kawe ameyasema haya katika ibada kanisani kwake.
Maendeleo hayana vyama
cc: Pascal Mayalla
Katika wahuni huyu nae yumoAskofu mkuu wa kanisa la ufufuo na uzima Dr Gwajima amesema kwa sasa mitume wamekuwa wengi hivyo Mungu amemtuma aiache madhabahu na aende akaitumikie nchi na baadae kupitia nchi ataitumikia dunia.
Askofu Gwajima ambaye ni mgombea ubunge jimbo la kawe ameyasema haya katika ibada kanisani kwake.
Maendeleo hayana vyama
cc: Pascal Mayalla
Kwani tangu lini Ccm inawajali watz ?Tapeli mkubwa huyu..... CCM wakimpa huyu jamaa,nitaamini kabisa kuwa hawamjali Mtanzania bali matumbo yao.
Kauli yake inaonesha kama kaahidiwa mambo ya njeAskofu mkuu wa kanisa la ufufuo na uzima Dr Gwajima amesema kwa sasa mitume wamekuwa wengi hivyo Mungu amemtuma aiache madhabahu na aende akaitumikie nchi na baadae kupitia nchi ataitumikia dunia.
Askofu Gwajima ambaye ni mgombea ubunge jimbo la kawe ameyasema haya katika ibada kanisani kwake.
Maendeleo hayana vyama
cc: Pascal Mayalla
Askofu mkuu wa kanisa la ufufuo na uzima Dr Gwajima amesema kwa sasa mitume wamekuwa wengi hivyo Mungu amemtuma aiache madhabahu na aende akaitumikie nchi na baadae kupitia nchi ataitumikia dunia.
Askofu Gwajima ambaye ni mgombea ubunge jimbo la kawe ameyasema haya katika ibada kanisani kwake.
Maendeleo hayana vyama
cc: Pascal Mayalla
Atakuwa waziri wa mambo ya nje!Anaitumikiaje Nchi? Kwamba atakuwa anaomba nafasi kwa muheshimiwa Speaker Bungeni apige Injiri kidogo? Huyu hana lolote.
Mimi nimemuelewa, kumbe Mungu ana idadi maalum ya Mitume, wakizidi anawapunguza kwenda kutumikia Dunia.Mitume wamekuwa wengi...... Uwe unaelewa bwashee!
Yah right. Lakini Hii itakuwa over the top of everything. Huyu jamaa ilishawahi kufake mpaka kifo chake ili aonekane amefufuka....!!Kwani tangu lini Ccm inawajali watz ?
Huyu bwana Gwajima anatudharau sana watu wa jimbo la Kawe. Amecheza filamu za ngono na waumini wake, haijamtosha. Sasa anapanua uwanja awapate wa jimbo zima!!Askofu mkuu wa kanisa la ufufuo na uzima Dr Gwajima amesema kwa sasa mitume wamekuwa wengi hivyo Mungu amemtuma aiache madhabahu na aende akaitumikie nchi na baadae kupitia nchi ataitumikia dunia.
Askofu Gwajima ambaye ni mgombea ubunge jimbo la kawe ameyasema haya katika ibada kanisani kwake.
Maendeleo hayana vyama
cc: Pascal Mayalla
Yesu alikuwa na mitume 12!Mimi nimemuelewa, kumbe Mungu ana idadi maalum ya Mitume, wakizidi anawapunguza kwenda kutumikia Dunia.
Hayo ndio maono yake!Anataka afate nyayo za chikwera rais wa Malawi..usishangae huyu akawa presidaa wa 2025..hi ndo tz