Hivi mfano CCM wakimtema atarudi kwa waumini wake awaambie nini?! alivyotapeli anaweza kuwaambia Mungu alinituma wanadamu wakakataa, yaani wanadamu wanaweza kuwa na mamlaka zaidi ya Mungu!.Hapa nilipo naomba Mungu ili CCM wamteme vibaya kwenye kinyang'anyiro cha ubunge ili aabike kwa tamaa zake.
Popote mlipo wanaCCM wa Kawe, chonde chonde msituangushe. Mpigeni chini Gwajima kama takataka.
Mungu aliyemtuma anakaa misitu minene ya Nigeria
Asante sana, tapeli anadai mama wa binti aliemfufua atoke mbele!.22 Otober 2016
KILIO CHA ASKOFU GWAJIMA HADHARANI KWENYE WHEELCHAIR Ep. 3/5 | Bonyeza
Huyu hapa Mtumishi Askofu katika wheelchair akiomba mjadala wa Askofu Polycarp Pengo ufungwe. Pia mama wa yule binti aliyefufuka afike madhabauni..
Yani bado hujaamini tu anatafuna waumini wake?Kuna baadhi ya vi-clip vyake sometimes nilikuwa nikivifuatilia, Ila kwa sasa sina hamu navyo.
Najiuliza inawezekana vile vijivideo vya ngono vilikuwa ni vya kweli?
Ongeza aelewe....wachuuzi wa Injili wameongezeka,wateja wanapungua!Mitume wamekuwa wengi...... Uwe unaelewa bwashee!
Mkuu
Bwege lile,na ubunge hapati...hawezi katiza mbele ya Mdee!
Zee nafiki sana lile!
Bado, aisee ukizingatia kuwa mamlaka za kichunguzi zilithibitisha kuwa zile picha zilikuwa ni za kutengenezwa.Yani bado hujaamini tu anatafuna waumini wake?
Askofu mkuu wa kanisa la ufufuo na uzima Dr Gwajima amesema kwa sasa mitume wamekuwa wengi hivyo Mungu amemtuma aiache madhabahu na aende akaitumikie nchi na baadae kupitia nchi ataitumikia dunia.
Askofu Gwajima ambaye ni mgombea ubunge jimbo la kawe ameyasema haya katika ibada kanisani kwake.
Maendeleo hayana vyama
cc: Pascal Mayalla
Ila kuongoza hii kazi rahisi sana. Kuanzia urais hadi ubunge.Umenikumbusha kuna siku aliigiza hawezi kutembea, akaingia kanisani kwake na wheelchair, baada ya muda mfupi akaanza kusema najiskia kutembea...najiskia kutembea... waumini wake wakaanza kushangilia jamaa akasimama igizo lake likaishia hapo, but wapo viazi waliomuamini!.
Anyway nisiandike mengi, anaweza kuwa ndie "baba yako wa kiroho" wakati na wewe una roho yako halafu huisikilizi!.Bado, aisee ukizingatia kuwa mamlaka za kichunguzi zilithibitisha kuwa zile picha zilikuwa ni za kutengenezwa.
Na pia katika hali ya kawaida mtu ambaye anamtumikia Mungu inakuweje ajirekodi akifanya uchafu kama ule, ajirekodi ili iweje kwa mfano
He can say anything he wants.Askofu mkuu wa kanisa la ufufuo na uzima Dr Gwajima amesema kwa sasa mitume wamekuwa wengi hivyo Mungu amemtuma aiache madhabahu na aende akaitumikie nchi na baadae kupitia nchi ataitumikia dunia.
Askofu Gwajima ambaye ni mgombea ubunge jimbo la kawe ameyasema haya katika ibada kanisani kwake.
Maendeleo hayana vyama
cc: Pascal Mayalla
Watu aina ya Gwajiboy ndiyo wabafifisha imani za wafuasi wao. Haoni hata aibu kumtaja Mungu ktk mambo yake binafsi. Amesahau amri ya Mungu inayosema ' Mimi ndimi Bwana Mungu wako , usilitaje jina langu Bure' Huyo Mungu aliemtuma hivo ni mungu wa misukule yake anayodai kuifufua. Asipotoshe wakristu wengine.Askofu mkuu wa kanisa la ufufuo na uzima Dr Gwajima amesema kwa sasa mitume wamekuwa wengi hivyo Mungu amemtuma aiache madhabahu na aende akaitumikie nchi na baadae kupitia nchi ataitumikia dunia.
Askofu Gwajima ambaye ni mgombea ubunge jimbo la kawe ameyasema haya katika ibada kanisani kwake.
Maendeleo hayana vyama
cc: Pascal Mayalla
Sio baba yangu wa kiroho. We andika tu ili mradi ziwe ni facts. Maana pia sio vizuri kusema mambo usiokuwa na uhakika nayo.Anyway nisiandike mengi, anaweza kuwa ndie "baba yako wa kiroho" wakati na wewe una roho yako halafu huisikilizi!.
NoteMungu kakosa wa kumtuma?.
Anyway...najua maadili ya Kiaskofu hayaruhusu kutoa rushwa hivyo sidhani kama atapita kwenye chujio.