Ambulance ina umuhimu, tena sana, lkn kwa mtu anayejitambua, acha hawa lumpen proletariats, class unconscious people, huwezi kumshawishi akupe kura kwa vile utaleta ambulance KAWE! Kwa Dar na foleni zake na poln ya Kawe, si kitu chenye ushawishi mkubwa kumgeuza mtu IMANI akupe kura! I can imagine unapeleka ambulance Kalebezo ambako kwenda hospitali ya wilaya Ukerewe kwa mgonjwa mahututi/mja mzito it can have an impact kwa mazingira ya vijijini kutoka kwenye dispensary! Siyo mjini kama Kawe! Do you see my point!?