Askofu Gwajima nani alikudanganya kuwa ni Mic na Kiti tu ndiyo vinaweza Kukuondoa Kimafia duniani?

ushawahi kusikia mtu anapona kitanzi au firing squad eti siku yake haijafika?
Kuna jamaa anaitwa Wenceslao Moguel huko Mexico alihukumiwa kifo , firing squad ilimchapa risasi 9 na ya mwisho wanasema ni ya kichwani bado hakufa😁
 
Kwani askofu kakukosea nini wewe personally? Hii chuki uliyonayo kwake inafaida gani? Kumbuka imeandikwa, "auwaye kwa upanga atauawa kwa upanga" usifurahie mabaya kwa wenzako kwa kufanya hivyo mabaya yatakuja kwako soon or later. Pole
 
Upuuzi mtupuuu...hujui chochote kaa utulie hiz kaz zinawenyewe
 
Even tissue akamuulize mwalimu huko siku wakikutana.

Watu wako tayari kuharibu maji ya kiwanda kwa ajili ya only one bottle nyingine zikapelekwa baharini.

Ngoja sasa tuone.
 
Umeshaona ID yangu ni Mightier halafu tena unaniuliza Mimi ni nani. Zinakutosha sawa sawa?

Faida ni Kumtia Adabu huyo Chizi Wenu.
Eti mightier...watz buana hakuna chchte gwaji boy ataendelea kukamua hadi kieleweke
 
Wanaopinga kuchanjwa ni wengi, na hawafuati maoni ya gwajboy, kaitwa mmoja tu anayejulikana hata kama akibadili maoni achanjwe wengi watabaki na misimamo yao kutokuchanjwa
 
Wanaopinga kuchanjwa ni wengi, na hawafuati maoni ya gwajboy, kaitwa mmoja tu anayejulikana hata kama akibadili maoni achanjwe wengi watabaki na misimamo yao kutokuchanjwa
 
Katika Medani huwa kuna Kifurushi cha kukuondoa ndani ya Siku, Wiki, Mwezi, Miezi mitatu, Miezi 6, Mwaka Mmoja au hata Miaka Miwili hivyo inategemea ulichozawadiwa ni kipi ila Kuondoka ni lazima tu.
Kifo kipo tu, na hakuna anayejua atakufa lini. Fikiria wale askari walienda kuchanjwa kabisa chanjo ya Corona ili waishi muda mrefu, wakakutana na Hamza, akawapiga risasi Wakafa!
 
Muongo huyo anajuwa nini
Kasema “Mwenzako Slaa kachungulia na Kasepa!” Kile kiti alichokalia na maiki aliyotumia Ndo imemfanya kushindwa kufika kwenye kikao

Gwajima kasema kwenye zile chanjo kuna vitu vimewekwa. Kuna taarifa kuwa Japana wamesitisha kutoa Chanjo ya modern kuna vitu vimegundulika kwenye kwenye chupa ya Chanjo vinavyokadiliwa kufika milimita .
 

Hapo kwenye kukuondoa hata kwa camera zinazokumulika, kwa mazingira yale aliyokuwepo.. basi wazungu itabidi waje kuchukua hiyo teknolojia kwetu, maana nao hawana sheikh.
 
Matusi yako haya hayajanitosha Askofu Jossphat Mathias Gwajima tafadhali niongezee mengine.

Ninachojua Kazi Kwako imeshamalizika.
 

Tafuteni vingine hivyo kastuka
 
Kwani askofu kakukosea nini wewe personally? Hii chuki uliyonayo kwake inafaida gani? Kumbuka imeandikwa, "auwaye kwa upanga atauawa kwa upanga" usifurahie mabaya kwa wenzako kwa kufanya hivyo mabaya yatakuja kwako soon or later. Pole
Nimesema ataondoka na sijasema atauliwa.
 
Eti mightier...watz buana hakuna chchte gwaji boy ataendelea kukamua hadi kieleweke
Unaipenda sana hii Brand ID yangu ya Mightier Ndugu? Nikupe Wewe uitumie? Wengine ID's zetu tunaendana nazo.

Mimi ndiyo Mightier ( alias ) Gifted Intellectually, Knowledgeable, Challenger and Well Informed na hakuna mwingine.
 
wao ndio wamejitege, kitendo cha kumpa publicity halafu kikamtokea kitu kibaya ni wazi kuwa watakuwa washukiwa wa kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…