Ya mtangulizi wake yapi? Ya kutalii duniani kila wiki?Mbona aliyepita aliacha yamtangulizi wake akaanzisha mapya na hakusema?
Tulieni nyie sukuma Gang zamu yenu ilishapita.
Planning System bila Planning Commission!!!!!Ukiangalia PLANNING SYSTEM ya Tanzania ipo vizuri sana.
.
Yaani haimtaki kila RAIS aje na mipango yake au mambo yake.
.
Kila Planning kuna kitu kinaitwa INCREMENTAL PLANNING
.
Shida ya kuingiza siasa kwenye maendeleo ndio hii.
.
SHIDA YA KUIPA SIASA NAFASI KUBWA KULIKO UTENDAJI.
Mama anajua kwamba ana upinzani mkubwa ndani ya chama kuliko nje ya chamaGwajima si alisema anamsupport Mama?😁😁
Ni wale wale tu wa kulialia. Anachoshindwa kuelewa ni kwamba SSH anakwenda nje ya nchi ili aweze kupata pesa nyingi zitakazokwenda kumalizia miradi iliyoachwa na JPM. Hivyo anaendeleza vision ile ile ya JPM.Mbona aliyepita aliacha yamtangulizi wake akaanzisha mapya na hakusema?
Tulieni nyie sukuma Gang zamu yenu ilishapita.
Nadhani wengi tumemuelewa Gwajima vizuri sana isipokuwa watu wanataka Gwajima aseme wazi kwamba hiyo dira ya nchi iwe imo katika sheria za nchi !! Hapo automatically atakuwa ameigusa katiba !! Yeye hapo amepakwepa !!!Ni bahati mbaya wengi hamjamuelewa Gwajima, kwanza kaongea mambo sensible sana. Hapa kuna point moja wengi hamjamuelewa, alichosema ni lazima huo mpango utungiwe sheria yake kama mnavyofanya kwenye budget ya kila mwaka. Gwajima anapiga spana kwamba lazima kuwepo na inforcement ya huo mpango/Dira ili atayekuja atakwe kufanya hivyo.
Askofu Gwajima ana maanisha kwamba lazima tuwe na sera zinazotabirika, zisiwe za kubadilika kila muhula. Mfano mpango wa miaka 100 kuhusu uwe na utekeleza wake na uainishwe kwa awamu 20 (100/5) kila awamu ipewe kipande cha kutekeleza bila kutoka kwenye mstari uliochorwa wa utekelezaji.
Mpango ungweza kuonyesha bwawa la mwl nyerere lingetekelezwa awamu say; ya 10 maaana yake awamu ya 5 isingekuwa na mandate kufanya hivyo, yenyewe ingetekeleza kilichopitishwa kutekelezwa kwenye awamu ya 5.
Hongera sana Gwajima umewatoa tongotongo japo wanakutuhumu kuwa wewe ni su....ma gn
Hapo sasa ndio kasheshe hata kutamka tu ni ngumu !! Sembuse kudai ??!!Anza kudai katiba mpya🐒🐒🐒
View attachment 2183753
Una ujinga mwingine sana aisee. Watu wana discuss National affairs.Mbona aliyepita aliacha yamtangulizi wake akaanzisha mapya na hakusema?
Tulieni nyie sukuma Gang zamu yenu ilishapita.
Mambo haya alianzisha Jiwe, sukuma gang hata mmoja hakuna aliyefungua mdomo wake. Sukuma gang muda wenu umeishapita.Ila ana point, acheni ushabiki, ikiwa kila Rais akija anafanya yake, au anaacha ya mtangulizi wake na kufanya mengine mapya, ni hatari sana, sbb kuna mambo ni uti wa mgongo wa nchi, sasa ukikuta labda haijakamilika na kuiacha njiani, ni kukosa mipango ya maendeleo endelevu
Imefika nchi iwe na dira. Kuwe na serikaliambayo mipango yake ni madhubuti na utawala wake hauingiliwi na wanasiasa kwa sababu wao wanapita tuAskofu Gwajima ambaye ni Mbunge wa Kawe kasema nchi imekosa maono kwa kuwa kila Rais akiingia madarakani anaachana na ya mtangulizi wake, kuongeza hilo kamwe halitaweza kutuletea maendeleo
Gwajima amesema nchi inatakiwa kuwa na mikakati yake ya muda mrefu na kila rais anayeingia madarakani anaongozwa na mikakati na maono hayo na sio kuleta vitu vyake vipya, ama sivyo anaweza akaja Rais wa ajabu ambaye atavuruga kila kitu na hakuna atakeyeweza kumbana kwa kuwa hakuna maono.
Hivi kuhamia Dodoma na Bwawa la Nyerere zilikuwa kwenye ilani ya CCM?Ni wale wale tu wa kulialia. Anachoshindwa kuelewa ni kwamba SSH anakwenda nje ya nchi ili aweze kupata pesa nyingi zitakazokwenda kumalizia miradi iliyoachwa na JPM. Hivyo anaendeleza vision ile ile ya JPM.
Na sio haki kusema kila rais anakuja na la kwake, akumbuke kuwa kila rais anafanya kazi kwa kutekeleza ilani ya CCM, hajitungii tu kutoka kichwani kwake yale anayokwenda kuyafanya.
Nako mbona alilisemea sana bungeni hilo,hata kipindi cha mwendazake alilisema sana.Mbona aliyepita aliacha yamtangulizi wake akaanzisha mapya na hakusema?
Tulieni nyie sukuma Gang zamu yenu ilishapita.
Kidumu Chama...... CCM Oyeeeeee!,
Ilani ya CCM 2010-15 Umeme wa Rufiji na utafutaji wa mafuta na gas, pia kuna njia ya dar mwanza itakuja tuwe wapole... hii ndio ccm
View attachment 2183708
una patikna wapi uletewe ilani ya chama?Hivi kuhamia Dodoma na Bwawa la Nyerere zilikuwa kwenye ilani ya CCM?