#COVID19 Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama

Toa ujinga wako, nenda kachanje peke yako, tuondolee Upuuzi huo! Sisi hatuhitaji kujaribiwa chanjo inayoongea na vina7 vyetu!
 
Huyu jamaa asipozibitiwa anafitinisha majeshi na serikali, anachotakiwa Ni kuikataa chanjo kwa kudhibitisha kitaalamu na sio kwasababu tu hataki, aseme madhara yake kwa kutumia Takwimu na ushahidi wa mahalimahali
 
Nimemsikiliza gwajima kwenye mahubiri yake. Ni mahubiri yaliyojaa hadaa nyingi sana.
Gwajima anatumia source za vijiweni kutetea msimamo wake.
Cha kujiuliza ni kwamba anafanya haya kwa sababu gani?
Kwanini haheshimu msimamo wa mwenyekiti wake wa chama?
Ikiwa Dialo walimwambia kama ana mawazo ayawasilishe chamani,, kwanini Gwajima hafanyi hivyo na hakuna mwana ccm anayemwonya?

Jibu la maswali hayo ni moja tu:- Nchi inaendeshwa na genge. Na yeye inasemenkana ndiye kiongozi wa hilo genge.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Toa ujinga wako, nenda kachanje peke yako, tuondolee Upuuzi huo! Sisi hatuhitaji kujaribiwa chanjo inayoongea na vina7 vyetu!
Utaendelea kuwa mjinga ikiwa umemfanya gwajima ndiyo source ya information ,, hebu jiridhishe na reliable source zinazojulikana. Gwajima anatumia story za vijiweni kuhadaa waumini wake.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Huwa wanajeshi wanatumika wachache tu Kwa ajili ya majaribio na sio wote.

Sasa mamlaka waangalie namna wanafanya ,

Isiwe wote ila Wachache tu Kwa ajili ya kuangalia uelekeo wakee.

Kumbe wanataka kufanya majaribio? Kama ni hivyo, Kamati iliyotoa mapendekezo ya hiyo chanjo haitoshi kwa majaribio?[emoji3]
 
Utaendelea kuwa mjinga ikiwa umemfanya gwajima ndiyo source ya information ,, hebu jiridhishe na reliable source zinazojulikana. Gwajima anatumia story za vijiweni kuhadaa waumini wake.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Mafikilio yako ndio yameshagota! Gwagima is by far smarter that u'll ever be!
Taarifa siku hizi hazihodhiwi, kila mtu anaweza kuzipata akitaka! Sijui ujinga wa kuamini chanjo hii ya majaribio umeutoa wapi😡!
Sina imani na vijichanjo vyenu uchwara!
 
Mjinga huyo,hapo kanisani watajadili?
Yeye ni mbunge ana nafasi kubwa kuwawakilisha bungeni.
Hivi ilikuwaje kawe nzima akapewa ubunge huyu mtu
Na ww unajikuta mwereevu, si ndio
 
Sorry unataka kumwambia nini raisi wetu mpendwa aliyeikubali na kuiidhinisha??
 
Ni hali ya hatari kubwa kwa ugonjwa huu unaouwa (ambalo ni tatizo la kisayansi) unapoachwa kufanyiwa siasa au mzaha.

Ni hatari zaidi hali hiyo inapoachwa kuendelea, wakati serikali iliyo na dhamana ya kutulinda, ikiwa imechagua kuwa kama mpenzi mtazamaji tu.



Haiingii akilini ni vipi serikali kutumia nguvu kwenye kongamano la Chadema kwa sababu za kudhihibiti Corona lakini si huyu anayehamasisha watu kutochukua tahadhari!

Kwa mujibu wa maelekezo haya ya wizara ya afya:

Your browser is not able to display this video.


Ni wazi kuwa kwa makusudi Mh. Mbunge amedhamiria kufanya upotoshaji wa makusudi.

Kwa mwendo huu wa kuzikumbatia siasa uchwara zenye kuweka maslahi binafsi mbele tungali na safari ndefu sana.

-------
My take:

Uzi huu chini unaihusu sana serikali kwa sasa na hasa mheshimiwa SSH:

 
Hivi ni sahihi mtu kumpinga Rais wake live live hivi
 


Mimi sioni sababu ya kumfuata kibwetere Gwajima.Asitulishe matango Poli.Kanisa lake ni la ufufuo na uzima.Amefufua wangapi tangu lianze.?.Anayetaka kuchanja achanje.na asiyetaka ruksa
 
Kama taifa tumepoteana, tena kitambo tu. Miaka mingi iliyopita, Kolimba alisema tumepoteza dira, wenye mamlaka wakammind.

Pamoja na yote, tumepoteana zaidi tokea awamu ile. Tulipo ni kama tumemwagiwa petroli. Akitokea mvuta sigara na moto wake karibu inaweza kuwa hatari kubwa.

Walioko madarakani walikuwa na dhamana kubwa ya kuiondoa hali hii wala si kuipalilia.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Anamtumikia mungu gani?
Mtumishi wa Mungu yupo sahihi, hili swala la Corona tuendelee kumuomba Mungu atuepushe nalo
Maana hatujui hao wazungu wana mpango gani na sisi, hata viongozi wetu ni kuwa nao makini sana na kuzidi kuwaombea Mungu awe kiongozi wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…