#COVID19 Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama

#COVID19 Askofu Gwajima: Ni jambo baya sana kuwapa Chanjo ya Corona Wanajeshi, Polisi na watu wa Usalama

Unaandika bila kuweka ushahidi wa kuthibitisha ulichoandika. Fauci alidanganya nini ná hao Waafrika walikufa katika nchi zipi na nini kiliwaua?

fauci angekuwa hana CREDIBILITY NÁ REPUTATION Biden asingethubutu kumuweka kama Advisor wake katika COVID-19.

Wapumbavu kama wewe hamjui chochote vyanzo vyenu vya habari they are not credible mnaokota okota udaku kila mnauona mtandaoni na kuamini kama ni kweli.

Eti FAUCI kaua Waafrika wengi ná bado Biden amuone anastahili kuwa advisor wake kuliko mmarekani mwingine yoyote yule kwenye ugonjwa wa COVID-19.
😂😂😂😂😂😂

Weka ushahidi hapa au ujinga ná uzushi wako peleka kwingine siyo humu.


Kama hadi leo bado kuna watu kama wewe ambao wanaamini kila anachosema Antonio Faucci,basi hao ni walking dead bodies.
bado hujui mambo mengi sana ndugu yangu....nacheka lakini huzuni sana kwa jinsi ulivyo mtupu kichwani kwenye mambo haya...

Hujui from the roots historia ya western medicine imeanzia wapi na kwa lengo gani hasa....hujui kina nani walioanzisha mfumo huu wa tiba na mpaka sasa ni kina nani ndio offspring wao wanaoendeleza urithi huu....ukijua haya mambo itakua rahisi sana kwako kujua mambo mengi sana likiwemo hili la covid19...

Mimi nilijua right from the time walipoanza kutangaza kwamba covid19 imeibuka kule Wuhan China,nilijua where are we heading right from that time,and there we are....waiting to be vaccinated and it should be mandatory.....

Viwanda vya chanjo vitaanza kujengwa hapa nchini sasa...jiulize kwanini hili linatokea baada ya kuibuka huu upuuzi wa covid19?.....

Tony Blair amekuja kwa ajili ya hilo......Je,unajua Tony Blair ni adviser wa kampuni gani kubwa duniani? Je,unajua historia ya hiyo kampuni?

Yaani sijui hata nianzie wapi...maana kama huna hata basics itakua ni kazi nzito sana kwako kuelewa....kwanini alikuja Bill Gates mwanzo,sasa kaja Blair.....does it mean wanatupenda sana eenh?

Wazungu sio wajomba zako,and we differ ina many cases ndugu yangu ......unakalia rasimali za hatari ambazo you are not worthy kuzimiliki,wanazitaka hizo rasimali and the best start is to make you weak or dead....
 
Chanjo ni hiyari
Chanjo itakua ni hiari kwa wale ambao wanakaa ndani tu wanasubiri kuletewa kila kitu...lakini kama ni fighter itafikia wakati utalazimika kudungwa,vinginevyo hupati huduma muhimu....

Mfano,kama wewe ni mtu wa kusafiri kwenye biashara zako,lets say nchi za ulaya au China....hutaenda bila kudungwa chanjo...Je hiyo unaweza kuiita ni hiari au lazima?
 
Weja ushahidi acha kuja hapa kuandika UZUSHI wako wakati huna ushahidi hata chembe. Tunasubiri ushahidin kutoka kwako kuhusu UONGO wa Dr Fauci ambao ulisababisha vifo vya Waafrika wengi. Tunataka kujua Waafrika wangapi waliokufa kutokana na UONGO wa Dr Fauci na katika nchi zipi za Africa. Kama huna ushahidi KAA KIMYA badala ya kuonyesha UJUHA wako hadharani. Watu wapumbavu na WAZUSHI kama wewe ni hatari sana kwa Taifa.

bado hujui mambo mengi sana ndugu yangu....nacheka lakini huzuni sana kwa jinsi ulivyo mtupu kichwani kwenye mambo haya...

Hujui from the roots historia ya western medicine imeanzia wapi na kwa lengo gani hasa....hujui kina nani walioanzisha mfumo huu wa tiba na mpaka sasa ni kina nani ndio offspring wao wanaoendeleza urithi huu....ukijua haya mambo itakua rahisi sana kwako kujua mambo mengi sana likiwemo hili la covid19...

Mimi nilijua right from the time walipoanza kutangaza kwamba covid19 imeibuka kule Wuhan China,nilijua where are we heading right from that time,and there we are....waiting to be vaccinated and it should be mandatory.....

Viwanda vya chanjo vitaanza kujengwa hapa nchini sasa...jiulize kwanini hili linatokea baada ya kuibuka huu upuuzi wa covid19?.....

Tony Blair amekuja kwa ajili ya hilo......Je,unajua Tony Blair ni adviser wa kampuni gani kubwa duniani? Je,unajua historia ya hiyo kampuni?

Yaani sijui hata nianzie wapi...maana kama huna hata basics itakua ni kazi nzito sana kwako kuelewa....kwanini alikuja Bill Gates mwanzo,sasa kaja Blair.....does it mean wanatupenda sana eenh?

Wazungu sio wajomba zako,and we differ ina many cases ndugu yangu ......unakalia rasimali za hatari ambazo you are not worthy kuzimiliki,wanazitaka hizo rasimali and the best start is to make you weak or dead....
 
Weja ushahidi acha kuja hapa kuandika UZUSHI wako wakati huna ushahidi hata chembe. Tunasubiri ushahidin kutoka kwako kuhusu UONGO wa Dr Fauci ambao ulisababisha vifo vya Waafrika wengi. Tunataka kujua Waafrika wangapi waliokufa kutokana na UONGO wa Dr Fauci na katika nchi zipi za Africa. Kama huna ushahidi KAA KIMYA badala ya kuonyesha UJUHA wako hadharani. Watu wapumbavu na WAZUSHI kama wewe ni hatari sana kwa Taifa.
Kama nilishaandika mojawapo ya uongo aliosema Fauci lakini hukuona,basi wewe si mtu sahihi kujadiliana na mimi.Siku njema.
 
Chanjo ianzie kwa wanasiasa akiongoza Rais mwenyewe kuuhamasisha umma.
Anaweza kupigwa chanjo ya vitamin C yenye picha ya cov.
Kikubwa wahakikishe isiwe na Madhara kwa wananchi .
Kila mtu anao umuhimu katika taifa.
Hivyo Kila mtu anapaswa kuwa salama .
 
Stop YOUR LIES. If you don’t have supporting evidence about what you’re talking about then this is not a right place for you.
Hatutaki uzushi humu. Dr Fauci MUONGO na UONGO wake umesababisha Waafrika wengi kupoteza maisha yao. Nakuomba ushahidi wa kuthibitisha uliochoandika unaanza KUMBWELA MBWELA!!!! 😳😳😳
Kama nilishaandika mojawapo ya uongo aliosema Fauci lakini hukuona,basi wewe si mtu sahihi kujadiliana na mimi.Siku njema.
 
Leo nimemsikia Gwajima akisema hataruhusu vyombo vya ulinzi, madaktari, manesi na viongozi wa dini wachanjwe! Nimepatwa na mshangao mkubwa na mshituko nikajiuliza mtu huyu katoa wapi ujasiri wa kuamuru au kutoa ushsuri kwa vyombo vyetu vya ulinzi nini wafanye na nini wasifanye! Hajui kama jeshini kuna chain of command? Au siku hizi kapewa cheo cha msemaji wa jeshi letu na madaktari wetu...
uhaini kwenye maisha ya watu.wewe kama unataka kuchanjwa chanjwa kwani lazima kila m2 achanjwe kama wewe
 
Mtumishi wa Bwana

Nataka ujuwe sipingani na wewe wala sipo kinyume na wewe, nataka nieleze mawazo yangu kuhusu somo lako la leo kuhusu kuchanjwa.

Leo umehubiri kuhusu chanjo kwamba waumini wako wasikubali kuchanjwa, napenda nikufungue macho kidogo uweze kuona...
hujaokoka na kama ungeokoka ungemtegemea MUNGU katika maamuzi yako na labda ungekuja na suluhisho la kufuna na kuomba kama jamaa alivyo leta suluhxho analoliona ni sahihi.

Kutumia wokovu kusupport chanjo siyo sahihi .hakuna sehemu biblia inatuambia hvyo na je biblia inaeleza wazi tupatapo tatizo tufanye nini.hvyo mchungaji gwajima yupo sahihi
 
Chanjo itakua ni hiari kwa wale ambao wanakaa ndani tu wanasubiri kuletewa kila kitu...lakini kama ni fighter itafikia wakati utalazimika kudungwa,vinginevyo hupati huduma muhimu...
swali langu ni hili...watagundua vp kama umechoma chanjo? kama nimefoji ile document tu na sikuchanjwa watajuaje?? kuna kipimo kingine cha kupima kama mtu amechanjwa kweli???
 
Wanajeshi na polisi kwake ni muhimu maana ndio wanalinda utawala wa ccm. Hata hao waumini wake ni vilaza ndio maana anawahubiria huo upotoshaji. Huyu ndio mmoja wa waliokuwa washauri wa Magufuli, hadi kikajengwa kibanda cha kujifukiza hapo Muhimbili hospitali.
wewe ni jinga kweli.kwani kibanda hakikufanikiwa na njia za mwamba jpm hazikufanikiwa
 
swali langu ni hili...watagundua vp kama umechoma chanjo? kama nimefoji ile document tu na sikuchanjwa watajuaje?? kuna kipimo kingine cha kupima kama mtu amechanjwa kweli???
Hata mimi niliwahi kufoji document kwenye chanjo ya manjano...ila kwa jinsi walivyo serious kwenye hii chanjo ya corona,sijui wataweka utaratibu gani kuzuia kufoji...tuombe tu iwezekane kufoji,maana chanjo hii ina agenda za hatari sana ingawa watu wengi bado wanatumia akili za kiwango cha chini sana kushabikia.
 
Jibu hoja unazijua long term side effects?
Kwanini Serikali imejitoa kuhusika na madhara yoyote yakitokea baada ya kuchanjwa? Ni sawa na mzazi anawaletea watoto chakula,halafu kabla hawajala anawaambia mkipatwa na madhara kwenye chakula hicho Simo ,atakuwa na akili.kweli?

J
Ni woga tu. Yeye anazijua?
 
wewe ni jinga kweli.kwani kibanda hakikufanikiwa na njia za mwamba jpm hazikufanikiwa

Kama ule ushirikina ungefanikiwa hadi leo ungekuwepo. Yaani ilikuwa bonge la aibu.
 
Leo nimemsikia Gwajima akisema hataruhusu vyombo vya ulinzi, madaktari, manesi na viongozi wa dini wachanjwe! Nimepatwa na mshangao mkubwa na mshituko nikajiuliza mtu huyu katoa wapi ujasiri wa kuamuru au kutoa ushsuri kwa vyombo vyetu vya ulinzi nini wafanye na nini wasifanye! Hajui kama jeshini kuna chain of command? Au siku hizi kapewa cheo cha msemaji wa jeshi letu na madaktari wetu?...
kama hauna akili timamu uwezi kumuelewa gwajima. Ameongea kweli tupu.. Binafsi chanjo hyo siitaki
 

UFUNUO WA YOHANA 13​


1 Kisha nikaona mnyama akitoka katika bahari, mwenye pembe kumi, na vichwa saba, na juu ya pembe zake ana vilemba kumi, na juu ya vichwa vyake majina ya makufuru...
Yote kwa yote ni hiyari tu kupata hii chanjo. Na itapita tu sidhani kama hayo maandiko ni kuihusu hii chanjo ila ni dalili hizo za mwisho mwisho. Bado mamjo mengi sana ili hayo maandiko yatimie.
 
WSalaam!

kwa jinsi Gwajima alivyozungumza kwa kujiamini, inaonekana anautafiti wa kutosha sana, na amewashauri kondoo wake wasikubali katu katu kupigwa chanjo,

Lakini mpaka sasa hajawaambia kondoo wake watumie njia gani kujikinga na Covid,

je anajiandaa kuleta annointing oil au maji ya upako?
Tuendelee kusubiri
 
huu ujinga uloandika hapa, ndio hoja ya Askofu Gwajima inayojadiliwa?

Usikute na wewe ni prof au ni mhitimu wa chuo,

nyakati hizi za Korona, ujinga naona unashika Kasi sana!
Ujinga unaoshika kasi ni wa kwako uliaminishwa kuwa wazungu wamekuletea chanjo ili wakumalize na unaamini wakati unatumia simu iliyotengenezwa na mzungu na unakunywa dawa zilizotengnenezwa na mzungu kila siku
 
Back
Top Bottom