#COVID19 Askofu Gwajima: Ni ujinga kuruhusu Taifa zima kuwa 'Experiment' kwa sababu tuna haraka ya Corona

Nimefurahi askofu kamaliza na sentence ya kujaradia taifa letu...Amen🙏big up Askofu Gwajima!
 
Ficha ujinga wako kidogo usijionyeshe sana

Ujinga ni relative jombi. Wewe funika wa kwako. Who's Gwajima in relation to the specialists wa virusi kama hawa:

"Akizungumza na Mwananchi, Mtaalamu wa maicobaolojia na virusi kutoka Chuo kikuu cha Muhimbili (Muhas), Dk Joel Manyahi alisema aina hiyo ya kirusi kina tabia ya kujibadilisha mara kwa mara."

Mambo yenu na kina msukuma msukuma bakini nayo wenyewe.
 
Umebaki na akili za kuvukia barabara jitahidi wanao wasione ujinga wako
 
Gwajima ni mpotoshaji mkubwa sana mengi aliyoongea ni upotishaji mtupu watalaam waje kumkosoa mimi siyo mtaalam lakini huyu jamaa ni muongo mkubwa apuuziwe hivi dunia nzima na majirani zetu ni wajinga sana huyu Gwajima ambae sio mtaalam ndio yuko sahihi watz tumejazwa ujinga sana
 
Lkn pmj na kuwa askfu was ufufuo na uzima kajitaidi kwenda deeper Sana ktk swal hili hvyo naiagiza kamati na tume iliyoundwa na mam Samia ijikite pia kwenye oja yake
 
Kama ili niende Ulaya au Marekani ni lazima nichanje chanjo basi Ulaya na Marekani ni kwa heri kwa maana hata iweje sitachanja hizi chanjo, kama kufa wacha nife lakini siwezi kufanywa mtu wa kufanyiwa majaribio na matajiri waliotengana . Shukrani kwa kichwa Gwajima kutuletea darasa murua, hata huku kwao wengi wamegoma kuchanjwa na wanaishi
 
Huyu bwana askofu wa kanisa la ufufuo na uzima ajue katukosea sana kwa kutofanya juhudi yoyote ya kumfufua mwendazake, hali akidai karama hiyo anayo.

Ana nini bado cha kutuambia sisi kuhusiana na Corona au lolote jingine huyu?
mjinga wa kiwango cha juu wewe
 
Ili usiwe mjinga mpinge kwa utafiti wako usio na conspiracy theories
 
Huko kote walikubali kuwa kuna ugonjwa wa COVID-19 na walishachukua hatua zote. Iweje kwa upande wa Tanzania 🇹🇿?
Mkuu ila pamoja tz not covid 19 free country lakini Hata ingekua free on covid 19 lazima taifa kujikita na kuatayari katika hatua zote za prevention namanisha
Primary prevention
Second prevention
Tertiary prevention and no way as anation we can escape to take measures as far as covid is concerned
 
Kaka acha kutangaza fujo. Hizoi lakhi 5 waliokufa shauri ya Yellow Fever Vaccine umepata wapi?? Una ushuhuda? Sidhani.
Soma hapa: "2 Of the hundreds of millions given the yellow fever vaccine since it was introduced in 1936, there have been just 62 confirmed cases and 35 deaths from vaccine-associated viscerotropic disease, according to a 2016 study. It’s likely that cases have been missed in poor countries, but because the condition is so serious it is unlikely to go unnoticed in rich countries."
(Chanzo: What are the risks of dying from having the yellow fever vaccine?)
Kuhusu chanjo ya Korona sijui lugha hii "sisi ni majaribio" inatoka wapi??? Kila chanjo kilichopo sokoni imetumiwa kwa watu milioni pale Ualya, Amerika na Asia.
Matokeo ni mazuri, tofauti kidogo katika kiwango cha kinga. Madhara ya kawaida kama kila chanjo. Kama kila chanjo milioni wamepata, milioni wamekingwa, wachache wamepata hasara. Sawa na chanjo zote zinazotumiwa nchini hapa.
 
Mabeberu wamewakaririsha mtu akija na hoja ya kisayansi kuchallenge chanjo zao wanawakatisha tamaa kwa kuziita conspiracy theories bila kwenda in details kujibu hoja kisayansi.
 
Huyu bwana askofu wa kanisa la ufufuo na uzima ajue katukosea sana kwa kutofanya juhudi yoyote ya kumfufua mwendazake, hali akidai karama hiyo anayo.

Ana nini bado cha kutuambia sisi kuhusiana na Corona au lolote jingine huyu?
Unaongea upumbavu mtupu
 
Hebu tusome wote hapa kuhusu hii habari ya Waziri wa afya, Dorothy Gwajima:


Kulingana na taarifa hii, ina maana sasa hivi COVID-19 ipo Tanzania 🇹🇿!
 
Mabeberu wamewakaririsha mtu akija na hoja ya kisayansi kuchallenge chanjo zao wanawakatisha tamaa kwa kuziita conspiracy theories bila kwenda in details kujibu hoja kisayansi.
Leo ndio amejua kuna Sayansi baada ya kudanganya watu kwamba anafufua kwa muda mrefu

Angekuwa mwanasayansi wangemjibu Wanasayansi lakini huyo mwanasiasa Mchaga atasema Nini zaidi ya Porojo.


Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…