Namshukuru Mungu amenipa mibaraka mingi nikiwa hapa hapa, ima iwe ni ushamba, lkn iwe iwavyo, sichanjwi na simshauli mwingine aige Imani yangu!!
Nilichotaka kusema, Gwajima ametahadharisha kuhusu kamati iliyopewa kufanya utafiti wa hizi dawa na Corona, niliyemu quote alimshambulia Kwamba, mbona Chanjo za magonjwa mengine mengi tuluchanjwa, na Kwa nini sasa iwe ni kuhoji kuhusu ubora wa dawa hizi ilihali hatuna uwezo wa kujitengenezea?
Nikasema, mambo hubadirika, na hatuwezi kuishi kama tupo nyuma ya miaka Elfu iliyopita