Huyu MATAGA GWAJIMA Tulijua kuwa lazima aitishe vyombo vya Habari,maana Ndugai amemkosakosa kumfumuza bungeni.Mbunge wa Jimbo la Kawe, Askofu Josephat Gwajima amemshauri Spika wa Bunge, Job Ndugai ajiuzulu kutokana na mpasuko ambao amesema anauona
Gwajima amesema anaona Ndugai anataka kuchonganisha wananchi na serikali kwa kauli yake ya kusema '2025 mkimuweka mwingine sawa'
Aidha amesema suala la mkopo ni la tangu muda mrefu na sio kwamba Tsh. Trilioni 70 zilikopwa na Rais Samia pekee
Rejea maneno ya Nyerere juu ya Katiba tuliyonayo na nguvu ya Rais wa JMT anayopata kutokana na KatibaOgopa Mungu sio mwanadam.
Bongo kuna laana kwa baadhi ya wajinga wa kuabudu wanadam wenzao...
Ata ww unaweza kuwa amiri jeshi mkuu,sasa sijui utajiogopa ukijitazama kwenye kioo?
Yeye Ndugai ni mmoja wa waasisi wa siasa za chuki na visasi. Hii ni karma kwake na wenzie woteWapinzani wanapaza sauti kuwa Ndugai hafai na aliwanyanyasa sana hivyo ag'oke. Je aking'oka watanufaika na nini?
Wanaccm nao wanataka ang'oke sasa aking'oka mtapata faida gani?
Siasa za chuki zimetamalaki taifa letu
Huyu MATAGA GWAJIMA Tulijua kuwa lazima aitishe vyombo vya Habari,maana Ndugai amemkosakosa kumfumuza bungeni.
Wapuuz nyie,simlisema Samia Hana jeuri ya kumfanya Ndugai ajiuzuru,Wapinzani wanapaza sauti kuwa Ndugai hafai na aliwanyanyasa sana hivyo ag'oke. Je aking'oka watanufaika na nini?
Wanaccm nao wanataka ang'oke sasa aking'oka mtapata faida gani?
Siasa za chuki zimetamalaki taifa letu
Anadharau Sana atokeeeeeeWapinzani wanapaza sauti kuwa Ndugai hafai na aliwanyanyasa sana hivyo ag'oke. Je aking'oka watanufaika na nini?
Wanaccm nao wanataka ang'oke sasa aking'oka mtapata faida gani?
Siasa za chuki zimetamalaki taifa letu
Kaitisha press kukiri kumtumia message Ndugai baada ya kumnanga Samia alafu kamruka na kumtaka ajiuzuru
Walikuwa wanatumiana message za kupongezana na Ndugai! Kaona Amiri Jeshi Mkuu amecharuka, kaitisha press kumkana Ndugai
Binafsi ccm SIO rafiki zangu akiwemo Ndungai, ila sioni mantiki yoyote, kujiuzulu, sioni mantiki yoyote badilisha Baraza la mawaziriWapinzani wanapaza sauti kuwa Ndugai hafai na aliwanyanyasa sana hivyo ag'oke. Je aking'oka watanufaika na nini?
Wanaccm nao wanataka ang'oke sasa aking'oka mtapata faida gani?
Siasa za chuki zimetamalaki taifa letu
Yaani kamaliza kabisa hapo! Sukumagang uko kazini mnahadaiwa tu!
Hii nchi ngumu sana wadau
Katiba ni kitabu cha karatasi tu kilichoandikwa na wanadam kwa makubaliano yao.Rejea maneno ya Nyerere juu ya Katiba tuliyonayo na nguvu ya Rais wa JMT anayopata kutokana na Katiba
Mungu ndo zaidi kweli kabisaKatiba ni kitabu cha karatasi tu kilichoandikwa na wanadam kwa makubaliano yao.
Mwenye nguvu halisi ni Mungu,
Magu yuko wapi? Au hii ni katiba nyingine?
Abudu na kuogopa Mungu pekee,wanadamu na katiba zao wanapita na kusahaulika
Wapinzani wanapaza sauti kuwa Ndugai hafai na aliwanyanyasa sana hivyo ag'oke. Je aking'oka watanufaika na nini?
Wanaccm nao wanataka ang'oke sasa aking'oka mtapata faida gani?
Siasa za chuki zimetamalaki taifa letu
Video ipo hapa hapa, acha uvivu kasikilize mwenyewe.Kwa hiyo kwa mliomsikiza Gwajima, sababu haswa ya kuitisha hiyo press conference ilikuwa na agenda zipi?
Tatizo mlimuona Samia Kama Samia kumbe ni Samia Rais wa JMTWapinzani wanapaza sauti kuwa Ndugai hafai na aliwanyanyasa sana hivyo ag'oke. Je aking'oka watanufaika na nini?
Wanaccm nao wanataka ang'oke sasa aking'oka mtapata faida gani?
Siasa za chuki zimetamalaki taifa letu
Kesho atamtukana Samia pia, kifo cha Magufuli (RIP) hakiwafundishi hawa wanaoitwa Viongozi chochote kile, wanarudia mambo yale yale, waliomtukuza Magu alipofariki walimkana na kumtukana haya naye anajiona Mungu mtu leo hii lkn hajui hao akina Gwajima wanaotumika watakuja kumtukana pia kesho akiondoka.
Kwa nini msifanye kazi, tatueni matatizo ya watu inalipa zaidi huko mbele ya safari na watu watawapigania badala ya Majungu, Fitina na Wizi.
Low IQ people!