Siasa na Dini vikiwa pamoja ndiyo mambo yatakaa sawa
Wanasiasa wengi wa upinzani wanaona wanapoteza umaarufu kwenye majimbo yao sasa wanatafuta huruma za viongozi wa dini ili ku win trust ship kwa wafuasi wao kibaya zaidi viongozi wengi wa dini wameangukia kwenye mtego huowanaonea watu,wanaiba kura na wanabambikizia watu kesi
Echolima pita na hapaKaulize ulaya walikochanganya dini na siasa kilichowakuta. Mfano ujerumani chama kinachotawala no cha kikristo kinaitwa Christian democratic party.Watu WA kila namna wakajiunga nacho wakapata wabunge kibao kwenda bungeni ukaibuliwa mswada wa kutambua ndoa za jinsia moja na ukaidhinishwa
Sasa hivi ukristo unadhalilika ujerumani na duniani kuwa serikali ya chama cha kikristo inaidhinisha ushoga na usagaji looo
Wasingechanganya dini na siasa kanisa lisingedhalilika michanganyo kwa viongozi wa dini haitakiwi. Wabaki kwenye dini kulinda mafundisho ya Mungu wakijitosa siasa rahisi Ku compromise dini
Soma Biblia yote viongozi wa dini walikuwa washirika wakuu katika serikali zote unapowatoa unakaribisha UHUNI wa wazi mfano wako wa Ujerumani si halisia!!Kaulize ulaya walikochanganya dini na siasa kilichowakuta. Mfano ujerumani chama kinachotawala no cha kikristo kinaitwa Christian democratic party.Watu WA kila namna wakajiunga nacho wakapata wabunge kibao kwenda bungeni ukaibuliwa mswada wa kutambua ndoa za jinsia moja na ukaidhinishwa
Sasa hivi ukristo unadhalilika ujerumani na duniani kuwa serikali ya chama cha kikristo inaidhinisha ushoga na usagaji looo
Wasingechanganya dini na siasa kanisa lisingedhalilika michanganyo kwa viongozi wa dini haitakiwi. Wabaki kwenye dini kulinda mafundisho ya Mungu wakijitosa siasa rahisi Ku compromise dini
Unaposema wamepoteza umaarufu wao HOW,WHY and WHERE si tu kubwabwaja kuwa wanatafuta huruma HOW???Wanasiasa wengi wa upinzani wanaona wanapoteza umaarufu kwenye majimbo yao sasa wanatafuta huruma za viongozi wa dini ili ku win trust ship kwa wafuasi wao kibaya zaidi viongozi wengi wa dini wameangukia kwenye mtego huo
We hamna biblia uliosoma, hata kama ulisoma ukuelewa Daudi alipomkosea Mungu kwa kutembea na mke wa askari wake na kumpeleka mstari wa mbele huyo askari ili afie vitani alitumwa nabii kwenda kumuonya juu ya ubaya alioutenda.Waambieni hao viongozi wa kanisa waachane na siasa.
Biblia gani hizo wanasoma?
Mi nimesoma Bible ya king James, nimesoma lost books from the bible, ninasoma wisdom of Solomon (apocrapha) sijaona vikimchanganya Mungu na politics.
Ni hivi unaweza kumchagua kiongozi wa kukuletea maendeleo na yeye kazi kushinda mahakamani na polisi?, unachagua kiongozi naanguka mitaroni kisa ulevi? ukweli siku zote sio mzuri lakini tutasema wazi Upinzani mjipange sana na muwe mnafanya vetting ya kutosha ndipo muwasimamishe kama wagombea Hai, Mbeya,Arusha, Iringa mjini wanastahili vitu vizuriUnaposema wamepoteza umaarufu wao HOW,WHY and WHERE si tu kubwabwaja kuwa wanatafuta huruma HOW???
Mamndeji, huwezi halalisha kosa kwa kutumia kosa...!!! Kwa hiyo, kwa vile mtazamo wako ni kwamba amechanganya siasa na dini, BASI ANASTAHILI KUFANYIWA ALIYOFANYIWA?Waambieni hao viongozi wa kanisa waachane na siasa.
Biblia gani hizo wanasoma?
Mi nimesoma Bible ya king James, nimesoma lost books from the bible, ninasoma wisdom of Solomon (apocrapha) sijaona vikimchanganya Mungu na politics.
LK. 9:23 SUVHuwezi tenganisha siasa na dini na wanaotaka kufanya hivyo ni waoga tu hawataki kushindwa,Siasa na Dini vikiwa pamoja ndiyo mambo yatakaa sawa lakini watawala hawataki hii itokee maana wana mambo yao huko hawataki yawe wazi wanaonea watu,wanaiba kura na wanabambikizia watu kesi sasa wakuu wakaona wa-Isolate Dini kwa kuwa Dini mara zote wanataka haki itendeke na watawala hawataki haki wao wanataki mambo yao tu yapite.Laiti kama wangeruhusu dini ziwakilishwe vizuri wizi na uhuni wa kufuta matokeo havingekuwepo!!!
Echolima hii inakufaa mkuuBaadhi ya viongozi wa dini wako frustrated kwa sababu mbili ya kwanza kupungua umaarufu wao ndani ya makanisa yap kwa hiyo ku steam out frustration zao wanakimbilia siasa
kupungua waumini na sadaka pia kumechangia viwango vya frustration sababu mambo mengi hayaendi hivyo kusababisha spiritual burn out kwao .Njia ya KY compensate ndio hiyo kujitosa siasa walau wapigiwe LA kigelegele kidogo WA feel good for a little time.
kifupi tatizo kubwa liko kwenye spiritual burn out ambayo solution sio kutoka kwenye madhabahu ni kufanya serious spiritual retreat kwenye isolated place mbali na dunia
Endelea kubwabwa!!!Nimekuuliza unaposema wamepoteza umaarufu jibu hizo 3 W zangu!!Ni hivi unaweza kumchagua kiongozi wa kukuletea maendeleo na yeye kazi kushinda mahakamani na polisi?, unachagua kiongozi naanguka mitaroni kisa ulevi? ukweli siku zote sio mzuri lakini tutasema wazi Upinzani mjipange sana na muwe mnafanya vetting ya kutosha ndipo muwasimamishe kama wagombea Hai, Mbeya,Arusha, Iringa mjini wanastahili vitu vizuri
Acha kukaririshwa na Polepole Mfalme Daud aliwekwa wakfu na nani?? Je saul aliwekwa kuwa Mfalme na nani na aliondolewa na nani!!! kama hutaweza kujua hilo basi ndiyo maana Nabii Tito mmemchukua awe upande wenu!!!!LK. 9:23 SUV
Akawaambia wote, Mtu ye yote akitaka kunifuata, na ajikane mwenyewe, ajitwike msalaba wake kila siku, anifuate.
Na huu ndio wito wa wachungaji sio kupambana na serikali
hahaha aseebasi ndiyo maana Nabii Tito mmemchukua awe upande wenu!!!!
Jibu hoja!!!hahaha asee
Waambieni hao viongozi wa kanisa waachane na siasa.
Biblia gani hizo wanasoma?
Mi nimesoma Bible ya king James, nimesoma lost books from the bible, ninasoma wisdom of Solomon (apocrapha) sijaona vikimchanganya Mungu na politics.
Mbona hata hapa linadhalilika kwa kumwabudu mungu wa ccm kuliko Jehovah.Kanisa lolote likienda kinyume kwa kuisema au kuikosoa ccm msajili upewa maagizo lifutwe,wewe uoni wameufyata ukifunua tu mdomo kukemea maouvu kesho huwezi waibia waumini sadakaKaulize ulaya walikochanganya dini na siasa kilichowakuta. Mfano ujerumani chama kinachotawala no cha kikristo kinaitwa Christian democratic party.Watu WA kila namna wakajiunga nacho wakapata wabunge kibao kwenda bungeni ukaibuliwa mswada wa kutambua ndoa za jinsia moja na ukaidhinishwa
Sasa hivi ukristo unadhalilika ujerumani na duniani kuwa serikali ya chama cha kikristo inaidhinisha ushoga na usagaji looo
Wasingechanganya dini na siasa kanisa lisingedhalilika michanganyo kwa viongozi wa dini haitakiwi. Wabaki kwenye dini kulinda mafundisho ya Mungu wakijitosa siasa rahisi Ku compromise dini
Kwani katiba zao na wito wao waliopewa na Mungu aliwaagiza kuwa nendeni mkaiseme serikali?Mbona hata hapa linadhalilika kwa kumwabudu mungu wa ccm kuliko Jehovah.Kanisa lolote likienda kinyume kwa kuisema au kuikosoa ccm msajili upewa maagizo lifutwe,wewe uoni wameufyata ukifunua tu mdomo kukemea maouvu kesho huwezi waibia waumini sadaka
Kama mmetaka washinde mahakamani kwa kuwanyima haki zao si kosa lao kwa awamu hii hata sheria ni za dabo standard,hakimu anawakomoa wapinzani ili ateuliwe ujaji unategemea nn.Maana sifa kuu ya teuzi awamu ni kuwatusi, kuwashughulikia wapinzani,DC wa Arusha kilichompa uDC ni kumtishia kumuuwa Zitto na Mbowe.Amewekwa Arusha mjini ili amdhibiti Lema yeye ni rahisi kutii maagizo ya kuuwa sababu laana ya kuuwa ipo ndani mwake.Ni hivi unaweza kumchagua kiongozi wa kukuletea maendeleo na yeye kazi kushinda mahakamani na polisi?, unachagua kiongozi naanguka mitaroni kisa ulevi? ukweli siku zote sio mzuri lakini tutasema wazi Upinzani mjipange sana na muwe mnafanya vetting ya kutosha ndipo muwasimamishe kama wagombea Hai, Mbeya,Arusha, Iringa mjini wanastahili vitu vizuri