Tunabeza utekaji, watu wasiojulikana, wanao jizima data, (kuahirisha kufikiri kizalendo), waliopewa dhamanaHakika..... Nchi ina maendeleo, hata viongozi wa dini wanajua.
Kigoma bado kilomita chache iungane na mikoa mingine kwa lami, pale kigongo watu walikuwa wanakaa hata masaa matatu, SGR, SoKo kuu mwanza, kutoka enzi ya stendi ya Tanganyila mpaka Nyamhongolo na Nyegera waitu (nyegezi)
Asiye na mwana aeleke jiwe.
Bado kuna daraja la Jangwani linakuja. Bhamula!
View attachment 3124707
Askofu ni mpumbavu apuuzwe tuHakika..... Nchi ina maendeleo, hata viongozi wa dini wanajua.
Kigoma bado kilomita chache iungane na mikoa mingine kwa lami, pale kigongo watu walikuwa wanakaa hata masaa matatu, SGR, SoKo kuu mwanza, kutoka enzi ya stendi ya Tanganyila mpaka Nyamhongolo na Nyegera waitu (nyegezi)
Asiye na mwana aeleke jiwe.
Bado kuna daraja la Jangwani linakuja. Bhamula!
View attachment 3124707
wa mihemko sasa,Hakika..... Nchi ina maendeleo, hata viongozi wa dini wanajua.
Kigoma bado kilomita chache iungane na mikoa mingine kwa lami, pale kigongo watu walikuwa wanakaa hata masaa matatu, SGR, SoKo kuu mwanza, kutoka enzi ya stendi ya Tanganyila mpaka Nyamhongolo na Nyegera waitu (nyegezi)
Asiye na mwana aeleke jiwe.
Bado kuna daraja la Jangwani linakuja. Bhamula!
View attachment 3124707
Toka hapaHata mama lishe
Kumbe hata maasikofu hawapendi kuhojiwa kwayo nimethibitisha tatizo la kukataa kuhojiwa liko kwenye ngazi zote za maisha yetuJe ambao hawana mama zao wamuulize nani??