Askofu Jimbo Katoliki Mwanza: Tusibeze maendeleo tuliyoyapata, wanaobeza, wakaulize mama zao

Askofu Jimbo Katoliki Mwanza: Tusibeze maendeleo tuliyoyapata, wanaobeza, wakaulize mama zao

Hakika..... Nchi ina maendeleo, hata viongozi wa dini wanajua.

Kigoma bado kilomita chache iungane na mikoa mingine kwa lami, pale kigongo watu walikuwa wanakaa hata masaa matatu, SGR, SoKo kuu mwanza, kutoka enzi ya stendi ya Tanganyila mpaka Nyamhongolo na Nyegera waitu (nyegezi)

Asiye na mwana aeleke jiwe.

Bado kuna daraja la Jangwani linakuja. Bhamula!
View attachment 3124707
Subirini mapovu toka kwa misukule ya mzee Mbowe.
 
Nchi jirani wanapiga salute.
Screenshot_20241014-140139.jpg
 
Hakika..... Nchi ina maendeleo, hata viongozi wa dini wanajua.

Kigoma bado kilomita chache iungane na mikoa mingine kwa lami, pale kigongo watu walikuwa wanakaa hata masaa matatu, SGR, SoKo kuu mwanza, kutoka enzi ya stendi ya Tanganyila mpaka Nyamhongolo na Nyegera waitu (nyegezi)

Asiye na mwana aeleke jiwe.

Bado kuna daraja la Jangwani linakuja. Bhamula!
View attachment 3124707
Vipi na CCM kusajili watoto kama wapiga kura amezungumzia?
 
Hakika..... Nchi ina maendeleo, hata viongozi wa dini wanajua.

Kigoma bado kilomita chache iungane na mikoa mingine kwa lami, pale kigongo watu walikuwa wanakaa hata masaa matatu, SGR, SoKo kuu mwanza, kutoka enzi ya stendi ya Tanganyila mpaka Nyamhongolo na Nyegera waitu (nyegezi)

Asiye na mwana aeleke jiwe.

Bado kuna daraja la Jangwani linakuja. Bhamula!
View attachment 3124707
Yetu macho.

Nukuu ya baba wa taifa.
""UTII UKIZIDI SANAA HUZAA UOGA, UOGA UKIZIDI SANA HUZAA UNAFIKI NA KUJIPENDEKEZA NA MWISHO WAKE NI MAUTI""
 
Baba askofu maendeleo hayapimwi na kipande cha sabuni kilicho tumika miezi sita kufua na kuogea.

Najua unajua baba askofu tupo nyuma mno, tupo nyuma kulingana na wakati, jana yetu ina afadhali mno kuliko leo yetu, kesho yetu haina nuru kabisa aheri leo.
Askofu heri tuhubirie marejeo ya kristo kuliko propaganda za kisiasa.
 
Yetu macho.

Nukuu ya baba wa taifa.
""UTII UKIZIDI SANAA HUZAA UOGA, UOGA UKIZIDI SANA HUZAA UNAFIKI NA KUJIPENDEKEZA NA MWISHO WAKE NI MAUTI""
Ndicho kinawakuta wanachadema, wanatii kila kitu, wakiambiwa andamana, kwa unafiki, uoga na kujipendekeza, wanaandamana, mwisho wanakufa kwa kupigana wenyewe kwa wenyewe au na vyombo vya dola
 
Hakika..... Nchi ina maendeleo, hata viongozi wa dini wanajua.

Kigoma bado kilomita chache iungane na mikoa mingine kwa lami, pale kigongo watu walikuwa wanakaa hata masaa matatu, SGR, SoKo kuu mwanza, kutoka enzi ya stendi ya Tanganyila mpaka Nyamhongolo na Nyegera waitu (nyegezi)

Asiye na mwana aeleke jiwe.

Bado kuna daraja la Jangwani linakuja. Bhamula!
View attachment 3124707
Ni ujinga kubeza maendeleo
 
Hawa jamaa naona awamu hii mambo yamewanyookea, hatusikii tena hospitali zao na shule kukosa wateja na kuomba misamaha ya Kodi..
Dini na siasa ni muungano usioonekana kwa macho ya kawaida.
 
Back
Top Bottom