Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Subirini mapovu toka kwa misukule ya mzee Mbowe.Hakika..... Nchi ina maendeleo, hata viongozi wa dini wanajua.
Kigoma bado kilomita chache iungane na mikoa mingine kwa lami, pale kigongo watu walikuwa wanakaa hata masaa matatu, SGR, SoKo kuu mwanza, kutoka enzi ya stendi ya Tanganyila mpaka Nyamhongolo na Nyegera waitu (nyegezi)
Asiye na mwana aeleke jiwe.
Bado kuna daraja la Jangwani linakuja. Bhamula!
View attachment 3124707
Huyu Askofu nadhani akili yake imezeeka!Je ambao hawana mama zao wamuulize nani??
Anayo elimu dunia kumzidi mzee mbowe MangiAskofu ni mpumbavu apuuzwe tu
Vipi na CCM kusajili watoto kama wapiga kura amezungumzia?Hakika..... Nchi ina maendeleo, hata viongozi wa dini wanajua.
Kigoma bado kilomita chache iungane na mikoa mingine kwa lami, pale kigongo watu walikuwa wanakaa hata masaa matatu, SGR, SoKo kuu mwanza, kutoka enzi ya stendi ya Tanganyila mpaka Nyamhongolo na Nyegera waitu (nyegezi)
Asiye na mwana aeleke jiwe.
Bado kuna daraja la Jangwani linakuja. Bhamula!
View attachment 3124707
Inasikitisha sana...Maskini Mama zetu wanatukanwa kisa uchawa hadi makanisani daah. Haya tukawaulize nini
Sawa. Babaako ndio anazo!Hana akili uyo
Niulize mimiJe ambao hawana mama zao wamuulize nani??
Yetu macho.Hakika..... Nchi ina maendeleo, hata viongozi wa dini wanajua.
Kigoma bado kilomita chache iungane na mikoa mingine kwa lami, pale kigongo watu walikuwa wanakaa hata masaa matatu, SGR, SoKo kuu mwanza, kutoka enzi ya stendi ya Tanganyila mpaka Nyamhongolo na Nyegera waitu (nyegezi)
Asiye na mwana aeleke jiwe.
Bado kuna daraja la Jangwani linakuja. Bhamula!
View attachment 3124707
Ndicho kinawakuta wanachadema, wanatii kila kitu, wakiambiwa andamana, kwa unafiki, uoga na kujipendekeza, wanaandamana, mwisho wanakufa kwa kupigana wenyewe kwa wenyewe au na vyombo vya dolaYetu macho.
Nukuu ya baba wa taifa.
""UTII UKIZIDI SANAA HUZAA UOGA, UOGA UKIZIDI SANA HUZAA UNAFIKI NA KUJIPENDEKEZA NA MWISHO WAKE NI MAUTI""
Najua hilo ndio maana nikauliza.. Vipi na la utekaji utesaji na mauaji ya wapinzani nalo hakuligusia kabisa? Kumbuka simpangii Nauliza tuuUsimpangie
Ni ujinga kubeza maendeleoHakika..... Nchi ina maendeleo, hata viongozi wa dini wanajua.
Kigoma bado kilomita chache iungane na mikoa mingine kwa lami, pale kigongo watu walikuwa wanakaa hata masaa matatu, SGR, SoKo kuu mwanza, kutoka enzi ya stendi ya Tanganyila mpaka Nyamhongolo na Nyegera waitu (nyegezi)
Asiye na mwana aeleke jiwe.
Bado kuna daraja la Jangwani linakuja. Bhamula!
View attachment 3124707
Wewe unazo?Hana akili uyo