Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni chawana kazi yao ni kuwakusanya kondoo na kuwaweka ili watawalike na kundi dogo wanaoitwa watawala na sio kuongozwa.Hadi maaskofu ni chawa.
na mwanza ndo kura za ccm zipo alichotamka ndo mkakatiHadi maaskofu ni chawa.
Hawa kula kulala hawajui shida za watukuchanganyikiwa ,Tabia ya kujiita mseja wakati nje viunga vya kanisa ni madingi , matokeo ndo hayo
Mwamakula na Mwanamapinduzi hawajambo? Na Fwaza Kitima?!Hawa jamaa naona awamu hii mambo yamewanyookea, hatusikii tena hospitali zao na shule kukosa wateja na kuomba misamaha ya Kodi..
Dini na siasa ni muungano usioonekana kwa macho ya kawaida.
Amka Amka utakojoa kitandani.Papa ajaye wa Kanisa Moja Takatifu la Mitume atatoka Tanzania 🌹
Kama amesifia tu bila kukosoa USHENZI kama utekaji, Mauaji ya wakosoaji na makada wa upinzani,.Hakika..... Nchi ina maendeleo, hata viongozi wa dini wanajua.
Kigoma bado kilomita chache iungane na mikoa mingine kwa lami, pale kigongo watu walikuwa wanakaa hata masaa matatu, SGR, SoKo kuu mwanza, kutoka enzi ya stendi ya Tanganyila mpaka Nyamhongolo na Nyegera waitu (nyegezi)
Asiye na mwana aeleke jiwe.
Bado kuna daraja la Jangwani linakuja. Bhamula!
View attachment 3124707
Hakika..... Nchi ina maendeleo, hata viongozi wa dini wanajua.
Kigoma bado kilomita chache iungane na mikoa mingine kwa lami, pale kigongo watu walikuwa wanakaa hata masaa matatu, SGR, SoKo kuu mwanza, kutoka enzi ya stendi ya Tanganyila mpaka Nyamhongolo na Nyegera waitu (nyegezi)
Asiye na mwana aeleke jiwe.
Bado kuna daraja la Jangwani linakuja. Bhamula!
View attachment 3124707
Anajipnga kuchukua jimbo 2025🙆♂️🙆♂️🙆♂️Kitima hajambo?
Askofu shoo anaishi kwa miujiza gani?Huyu Askofu yeye anaishi kwa sadaka hajui shida za watu
Si alikuwa anafanya kazi halali au ni kosa?Askofu Mwanamapinduzi, ambaye ni m wanachadema, alikuwa mbeba magunia ya mkaa pale Tandale
Anakula kwa elimu yakeAskofu shoo anaishi kwa miujiza gani?
Kenge tu huyuHakika..... Nchi ina maendeleo, hata viongozi wa dini wanajua.
Kigoma bado kilomita chache iungane na mikoa mingine kwa lami, pale kigongo watu walikuwa wanakaa hata masaa matatu, SGR, SoKo kuu mwanza, kutoka enzi ya stendi ya Tanganyila mpaka Nyamhongolo na Nyegera waitu (nyegezi)
Asiye na mwana aeleke jiwe.
Bado kuna daraja la Jangwani linakuja. Bhamula!
View attachment 3124707