Elice Elly
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 1,267
- 1,593
Mahubiri ya Askofu John Ndimbo (Kingenzu) katika Misa ya Christmas amesisitiza kuwa bila kutenda haki hakuna Amani.Amesema haki ya watu kuchagua viongozi wao,haki ya kuishi pia amesieistiza msamaha wa kweli.
Lakini amesema yeyoye anayempenda Mungu anawajali binadamu wenzake. Amesema pale mtu mmoja anapojitutumua na kujifanya kuwa karibu na Mungu anasababisha mazingira magumu kwa wengine. Amesema hata kama mtu huyo ni Mkubwa wetu anapaswa kujishusha.
Askofu Ndimbo amesema kila mmoja anapaswa kupalilia Amani toka moyoni mwake.amesema jukumu la kuleta Amani si la mtu mmoja pekee,awe Rais au Askofu,Bali la kila mmoja.
Amesisitiza kuwa itunzwe na Hatimaye ikue mpaka kimataifa.Amesema lazima tuhakikishe kuwa haki inatendeka kwa wanasiasa wote na RAIA wote.
Chanzo: TBC.
Lakini amesema yeyoye anayempenda Mungu anawajali binadamu wenzake. Amesema pale mtu mmoja anapojitutumua na kujifanya kuwa karibu na Mungu anasababisha mazingira magumu kwa wengine. Amesema hata kama mtu huyo ni Mkubwa wetu anapaswa kujishusha.
Askofu Ndimbo amesema kila mmoja anapaswa kupalilia Amani toka moyoni mwake.amesema jukumu la kuleta Amani si la mtu mmoja pekee,awe Rais au Askofu,Bali la kila mmoja.
Amesisitiza kuwa itunzwe na Hatimaye ikue mpaka kimataifa.Amesema lazima tuhakikishe kuwa haki inatendeka kwa wanasiasa wote na RAIA wote.
Chanzo: TBC.