Huyu anamaanisha mtu akizaliwa bubu hawezi kuongea na MunguHuyu ngonja impate ndo atajua umuhimu wa barakoa. Halafu hivi Mungu anapatikana kwenye buildings zao tu ?Eti utasemaje na Mungu. Mungu nasema nae kiroho tena popote pale including nyumbani kwangu.
[emoji3]Shaka ondoa Kaka huyu hatoboi huu mwaka janja janja yao sasa hivi imepatikana
Tapeli hilo.Hii kauli ingetoka Kwa wapinzani Leo hii wangekuwa wapo segerea Ila Kwavile imetoka Kwa tapeli wa Imani haina shida
For real watu tunaangamia kwa kukosa maarifa. 😪Yaani unbelievable ..
Upo hospital nn leo hulaliFor real watu tunaangamia kwa kukosa maarifa. 😪
Nipo lindo mkuu, night shift hiyoUpo hospital nn leo hulali
🤣🤣,Shemeji mchepuko leo atajutaNipo lindo mkuu, night shift hiyo