Askofu Josephat Mwingira awataka waumini kuvua barakoa

Hivi waumini wa haya makanisa akili zao wanakuwa wamelogwa au huwa wanaziacha mlangoni wakati wanaingia kwenye hayo makanisa?
 
Serikali imeacha milango wazi katika masuala ya imani za watu. Hao wanaokusanyika huko makanisani na misikitini wanajua kuwa kuna corona ila kama kwa utashi wao wenyewe wameamua kuendelea kuabudu.
 
Kwani korona kitu gani, mbona yule Mzee akisema tusitishane hashambuliwi.?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…