LGE2024 Askofu Juda Ruwa'ichi atoa tamko kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
TEC wamekua vocal sana kuhusu uchaguzi!
Kama kanisa linalaani mauaji ,no rasmi.wanailaumu serikali !!

Tuone hatma ya yote haya!
 
That depends on personal taste. Shetani hutushambulia kupitia maeneo anayojua tuna udhaifu.

Siamini kuwa Ruwaichi anaweza kuwa dhaifu kiasi cha kusaliti nafsi yake kwa hongo ya gari.
Hakuna mkate mgumu kwa chai, Pengo alihama hadi jukwaa akatoka kuhubiri dini mpaka siasa za ccm.

Malasusa, akapewa kanda licha ya kashifa zake, lakini alisimikwa na ccm, kwa nguvu licha ya waumini kumkataa.
 
Wanawachana kila jpili, na waamini wengine wako vyama vya siasa.
Wakati nipo seminary hawa huwa wamenyooka na uhawana kona, utachanwa live bila chenga all day.
So ni kawaida , na ni kawaida kwa wakatoliki wote wanaonda kanisani
CCM ni washenzi sn wamesababisha maafa makubwa sn
 
Bora viongozi wa Dini wasemee maana watanzania wanamalizwa kiaina kwa tamaa ya madaraka.
 
huyu Juda akipewa vipande 30 atatusaliti mchana kweupe
 
Askof alindwe asije na yeye akapotea. Asante Kanisa Katoriki kuisimamia nchi - nyie ndiyo kielelezo cha kanisa kubwa, kanisa si bwana asifiwe tu kanisa ni pamoja ya kuangalia uhai wa Taifa kijamii, kisiasa na kiutamaduni.

Hongera sana Kanisa Katoriki kwa kuonyesha dira kwa makanisa na taasisi nyingine za dini.
 
anachochea fujo, mpasuko na migawanyiko kwenye kanisa lake tu..

Infact,
kama taifa yafaa kumpuuza tu kwa dharau πŸ’
Gentleman ,Tanzania siasa ni mchezo ,ila ukijua unavyochezwa, unarex, unacheka sanaaa,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…