Askofu Kakobe: Kinachoendelea katika Bunge la Katiba ni uhuni

Askofu Kakobe: Kinachoendelea katika Bunge la Katiba ni uhuni

Huyu Mzee ni janga
 

Attachments

  • 1410100885478.jpg
    1410100885478.jpg
    25 KB · Views: 176
...tukiona mtu anasingizia dini kukwepa kuambiwa ukweli kama wewe tunapaswa tukutenge kama mgonjwa wa ukoma...

Inabidi atoe mwongozo kwa waumin na si kuwagawa sabab kuna watu wa itikadi mbalimbali kivyama na wasio na makundi ya vyama katika kanisa lake
 
Kakobe ni askofu kanjanja.

Askofu kanjanja ni Amos Joseph Mhagachi aliyeko katika Bunge hili la wahuni, ambaye alitoa tamko lake kupinga Tamko la Jukwaa la Wakristo, na CCT wakasema hawamtambui, ni Askofu wa CCM!
 
Chama cha wahuni hakiwezi kufanya lolote lile kwa maslahi ya Tanzania na Watanzania zaidi ya uhuni.
 
We we no MALAYA wa mdomo!!™ Mama Rwakatare ni nani? Wachungaji wangapi wako ccm na hadi SSA wako pale kwa kind I la 201? Wakati mwingine wananchi tujikomboe kifikra, tunabaki watumwa was kufikiri kwa sababu ya propaganda za kijinga za ccm

Kuwa mwelewa sijagusa chama chochote hata kama n nan kama n kiongoz wa dini akijiingiza katika mambo ya siasa n mwanzo wa kuwagawa waumini kwani anakuwa yuko katika mlengo wa chama
 
MSALANI Na Wahuni Wenzake Wa Lumumba Book 7 Ni Wahuni Na Makanjanja Kama Samwel 6, Copy To Msarani, Ritz, Simiyu Yetu, Ukoo Wa Panya Na Wajingawajinga Wengine Ktk Ukoo Huo.
 
Sitakaaa nimuamin huyu mchungaj kwan n mchonganishi sana na n mtu wa kuwagawa wananch ,ukiona mtu anatumia mwanvuli wa dini kuingia kwnye mambo ya siasa muogope kama ukoma kama sio kumpuuza

Ninyi haohao ndio mliotuaminisha kuwa bunge maalum la katiba si la siasa, hoja kuu mnasema kuna wajumbe 201 ambao uteuzi wao haukujali ushiriki wao katika siasa.Mtu akijitambua na kusema ukweli, mnasema mchochezi ukweli uko wapi?
 
Inabidi atoe mwongozo kwa waumin na si kuwagawa sabab kuna watu wa itikadi mbalimbali kivyama na wasio na makundi ya vyama katika kanisa lake

Hiyo katiba ni ya chama au yy amesemea chama gani ktk maneno yake na isitoshe hayo aliyosoma hakuandika yy sasa wewe wqjua nn usikae utulie umpikie mumeo usiachike!!!
 
Ninyi haohao ndio mliotuaminisha kuwa bunge maalum la katiba si la siasa, hoja kuu mnasema kuna wajumbe 201 ambao uteuzi wao haukujali ushiriki wao katika siasa.Mtu akijitambua na kusema ukweli, mnasema mchochezi ukweli uko wapi?

Unaposema sisi hawa na akina nan mkuu
Unajua siku zote mtu ukienda tofaut na matarajio yake huwa mkali kweli
Ishu mm n viongoz wa dini kujihusisha na siasa lazma tutafka kubaya kwani baada ya kutoa neno huonesha interest zao
 
makanisa yanajitahidi sana kuhamasisha jamii kudai haki, mbona upande wa kushoto wako kimya hivyo??? ikipatikana katiba watasema katiba ya wakristo!

Tupo pamoja mkuu bakwata sio...ila wenyewe tupo wazee wa shura.
 
Sitakaaa nimuamin huyu mchungaj kwan n mchonganishi sana na n mtu wa kuwagawa wananch ,ukiona mtu anatumia mwanvuli wa dini kuingia kwnye mambo ya siasa muogope kama ukoma kama sio kumpuuza

we umevimbiwa posho,ipo siku utataapika na kujutia dhambi hii ya usaliti kwa tamaa ya sumuni....
_hizi pesa hutazikwa nazo na siku unakufa hutajua,tubu sasa
 
Hiyo katiba ni ya chama au yy amesemea chama gani ktk maneno yake na isitoshe hayo aliyosoma hakuandika yy sasa wewe wqjua nn usikae utulie umpikie mumeo usiachike!!!

Sikulaumu wewe ila nalaumu waliokulea huna maadili hata kidogo mtoto wangu na hata siku moja usizan Uhuru wa habari ndio unakupa sifa ya kutukana ovyo chunga ndimi yako kama huna cha kumjibu mtu kistaarabu na kiungwana kaa kimya ipo siku yatakukuta makubwa kwani humu jukwaani kuna watu wa kila namna na pia kama huwez mjadala usiniquote ,coz huwa naheshim sana mawazo ya mtu
 
siku zote namheshimu Baba Askofu Kakobe hamungu'nyi maneno. sema baba
 
Wewe hujui lolote na kama huna cha kusema ni bora uwe unajinyamazia. Dini ni sehemu ya sisa na ndiyo maana katika kuchagua Wajumbe wa Baraza waliweka na viongozi wa dini kama wawakilishi kwa kutambua kuwa dini ni sehemu ya siasa
Unaposema sisi hawa na akina nan mkuu
Unajua siku zote mtu ukienda tofaut na matarajio yake huwa mkali kweli
Ishu mm n viongoz wa dini kujihusisha na siasa lazma tutafka kubaya kwani baada ya kutoa neno huonesha interest zao
 
Back
Top Bottom