Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
...tukiona mtu anasingizia dini kukwepa kuambiwa ukweli kama wewe tunapaswa tukutenge kama mgonjwa wa ukoma...
Kakobe ni askofu kanjanja.
We we no MALAYA wa mdomo!! Mama Rwakatare ni nani? Wachungaji wangapi wako ccm na hadi SSA wako pale kwa kind I la 201? Wakati mwingine wananchi tujikomboe kifikra, tunabaki watumwa was kufikiri kwa sababu ya propaganda za kijinga za ccm
kakobe mchumia tumbo
Naamin nmewaza sahihi kwani sijasukumwa kishabiki kwan namfaham kakobe za ya umjuavyo kanisani
Jina la Bwana libarikiwe Kanisa sasa limejua nafasi yake,Barikiwa Askofu Kakobe maana hujui kumung`unya maneno.
Hivyi na wale Maaskofu wapo BMK wanawakilisha chombo gani? nani kawatuma kusema wanayosema?
Sitakaaa nimuamin huyu mchungaj kwan n mchonganishi sana na n mtu wa kuwagawa wananch ,ukiona mtu anatumia mwanvuli wa dini kuingia kwnye mambo ya siasa muogope kama ukoma kama sio kumpuuza
Inabidi atoe mwongozo kwa waumin na si kuwagawa sabab kuna watu wa itikadi mbalimbali kivyama na wasio na makundi ya vyama katika kanisa lake
Sitakaaa nimuamin huyu mchungaj kwan n mchonganishi sana na n mtu wa kuwagawa wananch ,ukiona mtu anatumia mwanvuli wa dini kuingia kwnye mambo ya siasa muogope kama ukoma kama sio kumpuuza
Ninyi haohao ndio mliotuaminisha kuwa bunge maalum la katiba si la siasa, hoja kuu mnasema kuna wajumbe 201 ambao uteuzi wao haukujali ushiriki wao katika siasa.Mtu akijitambua na kusema ukweli, mnasema mchochezi ukweli uko wapi?
makanisa yanajitahidi sana kuhamasisha jamii kudai haki, mbona upande wa kushoto wako kimya hivyo??? ikipatikana katiba watasema katiba ya wakristo!
Sitakaaa nimuamin huyu mchungaj kwan n mchonganishi sana na n mtu wa kuwagawa wananch ,ukiona mtu anatumia mwanvuli wa dini kuingia kwnye mambo ya siasa muogope kama ukoma kama sio kumpuuza
Kakobe ni askofu kanjanja.
Hiyo katiba ni ya chama au yy amesemea chama gani ktk maneno yake na isitoshe hayo aliyosoma hakuandika yy sasa wewe wqjua nn usikae utulie umpikie mumeo usiachike!!!
Unaposema sisi hawa na akina nan mkuu
Unajua siku zote mtu ukienda tofaut na matarajio yake huwa mkali kweli
Ishu mm n viongoz wa dini kujihusisha na siasa lazma tutafka kubaya kwani baada ya kutoa neno huonesha interest zao