Naomba nikuulize. Mfano, kama nipo na kiongozi hapa nilipo sasa hivi mwenye ushawishi nikimuuliza raia hawautaki muungano kwanini tunaukumbatia, akinijibu ni watu wachache kwa maslahi yao binafsi ila watanganyika hawana shida na muungano wana shida na maji, umeme na afya unadhani ni jibu gani sahihi la kumpa kuthibitisha kuwa kweli muungano hatuutaki?hata sisi hatuutaki
Wenzenu Kenya wanchekelea na Uzwa zwa wa WatanzaniaTunapinga na tutapinga mkataba wa kugawa Bandari zetu kwa warabu kwa mkata usioisha hadi kieleweke
Huyu mtu ana akili sana! Na kama ana mkono kwenye hilo bas wavaa suti nyeusi wa Bara hawezi kubali,ni mwendo wa mtifuano hadi kieleweke!!They've got nothing to lose.
Wa visiwani wana hasira ya muda mrefu.
Mimi nimepata kuishi nao huko nje khasa wale walokimbia madhila ya 1995 na wala wa kabla ya hapo.
Walokuwa wakieleza kila mara wakiingia kwenye topic ya Union ni kwamba walidanganywa.
Kiukweli watanganyika tuna bahati mbaya wengi tumekuta mambo tayari na haya MAKUBALIANO yapo BINDED na kufungwa kisha kuhifadhiwa mahala.
Sasa Paka alijenga urafiki na baadhi ya panya (au wahuni) ili asiwale wakawa wamuibia zile paper nae azisoma zote.
Ndo maana Paka alikuwa akisubiri muda muafaka ili hili litekelezwe ili baadae wale panya wasipata madhara.
Fahamu kuna panya wa aina mbili, wapo panya wa majini (water rats) na wale panya wa kawaida.
Nafikiri utanielewa mkuu.
wewe Zwazwa, unatumiwa na Kenya kama Chadema ili kufelisha mpango mkakati wa TZ wa kiuchumi.Wazanzibar hawawezi kuuvunja muungano kabla ya kuuza mali za Tanganyika kwa waarabu wenzao. Uuzaji huu wa mali za Tanganyika ni mwanzo wa kuvunjika kwa muungano. Watanganyika wasipochukua hatua, ipo siku nao watauzwa utumwani kwa waarabu.
Tulia sindano ziwaingie. Bring back our port. Acheni wizi wa kisengerema tena mchana kweupe.we ni miongoni mwa yale mazuzu yanayokubali kila yanayoambiwa na yale manabii ya uwongo km kina Kakobe.
uko sahihi kabisa mkuu sisi tunataka mambo ya msingi lakini sio huo muungano ambao uwepo au usiwepo hakuna tofautiNaomba nikuulize. Mfano, kama nipo na kiongozi hapa nilipo sasa hivi mwenye ushawishi nikimuuliza raia hawautaki muungano kwanini tunaukumbatia, akinijibu ni watu wachache kwa maslahi yao binafsi ila watanganyika hawana shida na muungano wana shida na maji, umeme na afya unadhani ni jibu gani sahihi la kumpa kuthibitisha kuwa kweli muungano hatuutaki?
Elewa sana mkuu,Wenzenu Kenya wanchekelea na Uzwa zwa wa Watanzania
kuizuia DP Wolr kuendesha Bandari kwa Ufanisi ni kuipa Kenya Nafasi ya kutawala usafirishaji mizigo ya ,Uganda, Rwanda, burundi, Kongo.
Msumbiji na wao wanacheka ,kwani kuna Mizigo ya Malawi na Zambia watabeba.
Kuimarika kwa Bandari ya Dsm na Tanga ni Pigo kubwa kwa nchi husika kimkakati.
Chadema na Kanisa zinatumiwa na KENYA ili kulifelisha tukio hili la kiuchumi kwa TZ.
Serikali ya TZ haijauza wala haitauza Nchi kama watu wanvyo aminishwa.
kwahiyo mnataka kulipiza kisasi ama?Yaani leo muungano uvunjike kwa kupewa sehemu ya bandari wa Dubai , hivyo mlivyouwa watu kwa maelfu Zanzibar na kuchukuwa kila kitu kuanzia kiti kule UN, Bandari, Benki, Jeshi , Polisi Uhamiaji, , Vyama, Airport nk hamkuumia ,
Mkuki kwa nguruwe kwa .binaadamu ni mchungu
CC:Yaani leo muungano uvunjike kwa kupewa sehemu ya bandari wa Dubai , hivyo mlivyouwa watu kwa maelfu Zanzibar na kuchukuwa kila kitu kuanzia kiti kule UN, Bandari, Benki, Jeshi , Polisi Uhamiaji, , Vyama, Airport nk hamkuumia ,
Mkuki kwa nguruwe kwa .binaadamu ni mchungu
Acha kufikiri kwa kutumia viungo bandia, tumia akili mkuu. Mmeishatunyonya watanganyika kwa kiasi cha kutosha. Toshekene na unyonyaji jamani. Mbona mnakuwa ruba kiasi hiki?wewe Zwazwa, unatumiwa na Kenya kama Chadema ili kufelisha mpango mkakati wa TZ wa kiuchumi.
Ni karma tu inawachemsha labda mtapata akili na kuirudisha nchi yetukwahiyo mnataka kulipiza kisasi ama?
nchi yenu ipi zanzibar hahhahhhahhhah si wenyewe hatuwataki tunataka tubaki na Tanganyika yetu yenye baraka nyingi na utajiri wa kutosha haya mambo ya muungano ni ushetani mtupu kama alivyosema baba Askofu Kakobe.Ni karma tu inawachemsha labda mtapata akili na kuirudisha nchi yetu
Wakati akihubiri kwenye kanisa lake la FGBF, Mwenge jijini Dar es Salaam, Askofu Zakary Kakobe amesikika akisema kuwa Tanzania ni mpango wa shetani ndio maana kila mara hoja ya kuitaka Tanganyika inaibuka. Hebu msikilize wewe mwenyewe:
View attachment 2662050
MAONI YANGU
Askofu Kakobe ni miongoni mwa viongozi wa dini ninaowakubali sana hapa nchini. Hana unafiki na uchawa kama walivyo akina Geodavie, Kuhani Mussa na wengine, hasa linapokuja suala la kutetea maslahi mapana ya taifa na ustawi wa wananchi.
Marehemu Karume aliwahi kusema kuwa ikiwa koti linakubana ni vizuri ulivue na kulitupilia mbali. Kwa hali ilivyo sasa, naona koti la muungano tayari limebana. Hakuna faida zozote za muungano kwa watanganyika. Wazaznzibar ndio wananufaika zaidi na muungano huu. Wameona haitoshi wameamua kuuza bandari ya Tanganyika kwa waarabu. Wakati sasa umefika tuamue kunyoa hizi nywele chafu zilizojaa chawa kwa manufaa yetu na ya vizazi vijavyo.
weka hapa hiicho kipengele cha mkataba kinachonesha ukweli wa madai yako pls.Elewa sana mkuu,
Alokwambia anapinga uwekezaji ni nani?
Tunapinga mkataba wa hovyo usio na kikomo halafu ni kwa Bandari zoote nchini, baharini, kwenye maziwa, mito na hata mabwawa!
Ulishawahi ona wapi mkataba kama Huu?
nchi yenu ipi zanzibar hahhahhhahhhah si wenyewe hatuwataki tunataka tubaki na Tanganyika yetu yenye baraka nyingi na utajiri wa kutosha haya mambo ya muungano ni ushetani mtupu kama alivyosema baba Askofu Kakobe.
Doh!Alichotufanyia Samia anastahili kuondoka duniani haraka.