Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Halitafutwa hata kidogoMpaka Leo siamini vyema nguvu wafuasi mwendazake kumchomekea Mama hili gari bovu! Hope leo Shauri litafutwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halitafutwa hata kidogoMpaka Leo siamini vyema nguvu wafuasi mwendazake kumchomekea Mama hili gari bovu! Hope leo Shauri litafutwa
Mbona Bagonza, Mwamakula na Ponda waliweza?Huyu naye Ni pimbi tu. Angekuwepo mwendazake asingethubutu!! Kama wachumia tumbo akina ngwajima
Mbona wewe ni Kama kichaa?AMANI ya NCHI ni ya MUHIMU zaidi kuliko Mbowe au mwanasiasa yeyote yule.
Funzo kwa wanasiasa kwa hiki anacho pitia Mbowe kwa sasa ni...
Bavicha mnanena kwa Lugha?Amina Baba askofu Lusekelo.Kama ni kweli ni kweli wamemsingizia basi wahusikia wafungiwe mawe na kutoswa baharini.
Ila anasingiziwa na Chama
Upo sahihi kabisa mkuuKesi imejaa ushetani mtupu na laana kubwa kwa 'walisuka' hii kesi inayolidhalilisha Taifa
Umeandika ujinga mtupu. Kumbambikia mtu kesi ni kumshughulikia mtu kwa mujibu wa sheria?AMANI ya NCHI ni ya MUHIMU zaidi kuliko Mbowe au mwanasiasa yeyote yule.
Funzo kwa wanasiasa kwa hiki anacho pitia Mbowe kwa sasa ni;
Mtu yeyote yule au mwanasiasa yeyote atakaye jaribu kuchezea/kucheza na Amani ya Nchi atashughulikiwa kwa mujibu wa sheria bila kujali wadhifa wake, awe CCM, NCCR, CDM, CUF, n.k atashughulikiwa kikamilifu.
Amani yetu ni kitu muhimu zaidi kuliko mtu yeyote au chama chochote kile.
Kabisa aseeMzee wa upako umazungumza kwa hekima sana, na kwa uangalifu pia. Hekima imeonekana pia namna unavyoweza kumfikisha ujumbe mtawala, hata kama ni ujumbe mkali, lakini ufike ukiwa umepoa ii kumpa mtawala kutafakari, kama akiwa na hekima.
Ni aibu tupuUmeandika ujinga mtupu. Kumbambikia mtu kesi ni kumshughulikia mtu kwa mujibu wa sheria?
Akishapiga Libapa likubwa huwa haongei pointi kama hizi.Alipoongea hayo hamkuona chupa ya bapa pembeni yake?