Askofu Lusekelo (Mzee wa Upako): Kesi ya Mbowe inakera sana na inaniumiza moyo

Askofu Lusekelo (Mzee wa Upako): Kesi ya Mbowe inakera sana na inaniumiza moyo

Mzee wa upako umazungumza kwa hekima sana, na kwa uangalifu pia. Hekima imeonekana pia namna unavyoweza kumfikisha ujumbe mtawala, hata kama ni ujumbe mkali, lakini ufike ukiwa umepoa ii kumpa mtawala kutafakari, kama akiwa na hekima.
 
AMANI ya NCHI ni ya MUHIMU zaidi kuliko Mbowe au mwanasiasa yeyote yule.

Funzo kwa wanasiasa kwa hiki anacho pitia Mbowe kwa sasa ni;

Mtu yeyote yule au mwanasiasa yeyote atakaye jaribu kuchezea/kucheza na Amani ya Nchi atashughulikiwa kwa mujibu wa sheria bila kujali wadhifa wake, awe CCM, NCCR, CDM, CUF, n.k atashughulikiwa kikamilifu.

Amani yetu ni kitu muhimu zaidi kuliko mtu yeyote au chama chochote kile.
Umeandika ujinga mtupu. Kumbambikia mtu kesi ni kumshughulikia mtu kwa mujibu wa sheria?
 
Eti tuiachie mahakamani itende haki, we ungekubali? Ushahidi wa kupanga unaweza kumkuta mtu na hatia, ndio maana pingamizi kibao ni dalili ya uonevu, mnalazimisha mtu maelezo yake, wakati yanatolewa chini ya vitisho. Sasa wanayakataa, HATA AKIKUTWA NA HATIA ITAKUWA SIO HALALI!
 
Hii kesi ni biashara kwa mahakimu, mawakili na majaji wanaosimamia kesi hii hizo per diem wanazolipwa ni kufuru thus KILA siku wanaisogeza mbele Ili waendelee kupiga posho.
Hii kesi ya kutunga haina tija kabisa kwa maisha ya mtza zaidi ya biashara kwa wajanja.
 
Mzee wa upako umazungumza kwa hekima sana, na kwa uangalifu pia. Hekima imeonekana pia namna unavyoweza kumfikisha ujumbe mtawala, hata kama ni ujumbe mkali, lakini ufike ukiwa umepoa ii kumpa mtawala kutafakari, kama akiwa na hekima.
Kabisa asee
 
hivi sheria zetu zinasemaje kuhusu kuingilia mahakama?
 
Back
Top Bottom