- Thread starter
- #41
Kama vile Rais kutoa vyeo kwa wasimamizi wa kesi kubwa kubwa za kisiasa?hivi sheria zetu zinasemaje kuhusu kuingilia mahakama?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama vile Rais kutoa vyeo kwa wasimamizi wa kesi kubwa kubwa za kisiasa?hivi sheria zetu zinasemaje kuhusu kuingilia mahakama?
Mzee wa upako umazungumza kwa hekima sana, na kwa uangalifu pia. Hekima imeonekana pia namna unavyoweza kumfikisha ujumbe mtawala, hata kama ni ujumbe mkali, lakini ufike ukiwa umepoa ii kumpa mtawala kutafakari, kama akiwa na hekima.
Mzee wa upako umazungumza kwa hekima sana, na kwa uangalifu pia. Hekima imeonekana pia namna unavyoweza kumfikisha ujumbe mtawala, hata kama ni ujumbe mkali, lakini ufike ukiwa umepoa ii kumpa mtawala kutafakari, kama akiwa na hekima.
Na polisi wa mahakama, vikao vya uendeshaji kesi wamepiga pesa nyingi sana. Mashahidi wa kutengeneza na wao wamepiga chao. Yaani unaweza kuta mikopo yote tuliyokopa imeishia kwenye hii kesiHii kesi ni biashara kwa mahakimu, mawakili na majaji wanaosimamia kesi hii hizo per diem wanazolipwa ni kufuru thus KILA siku wanaisogeza mbele Ili waendelee kupiga posho.
Hii kesi ya kutunga haina tija kabisa kwa maisha ya mtza zaidi ya biashara kwa wajanja.
Ushahidi wa kupanga ni mbaya mno. Hujikuta wamepagwa mashahidi wengi ili kulazimisha uongo uwe ukweli. Kigezo cha kwanza cha kujua ushahidi na kesi za kubumba ni PGOEti tuiachie mahakamani itende haki, we ungekubali? Ushahidi wa kupanga unaweza kumkuta mtu na hatia, ndio maana pingamizi kibao ni dalili ya uonevu, mnalazimisha mtu maelezo yake, wakati yanatolewa chini ya vitisho. Sasa wanayakataa, HATA AKIKUTWA NA HATIA ITAKUWA SIO HALALI!
EATG??Siyo askofu wa TAG.
Kama umenuna kanywe sumu we kiroboto tu kama wahuni wengineBavicha mnanena kwa Lugha?
Leo kusekelo mnamuita baba askofu?
True Wana njia nyingi Sana za kupiga pesa hawa, Hakuna kesi pale,wakishajivutia pesa za kuwatosha DPP anambiwa aifute.Na polisi wa mahakama, vikao vya uendeshaji kesi wamepiga pesa nyingi sana. Mashahidi wa kutengeneza na wao wamepiga chao. Yaani unaweza kuta mikopo yote tuliyokopa imeishia kwenye hii kesi
Hata kama ni mnafiki kwa upande wake,lakini kwenye hili alilosema kuhusu Mbowe,unafiki uko wapi?. Mnampoteza mama nyie maccm kwenye hiliHuyu nae mnafiki tu
Wengi wameasikumbuka wizi wa kura .ulitetea sana.imekuwaje au BUKU 7 kibarua kimekata?
Yeah pesa imeanza kupigwa toka mwaka jana akina Kingai &co then DPP mpaka mahakamani na mawakiliTrue Wana njia nyingi Sana za kupiga pesa hawa, Hakuna kesi pale,wakishajivutia pesa za kuwatosha DPP anambiwa aifute.
Wengi sana. Wenye moyo wamebaki na ID zile zile wenye aibu wamekuja na ID mpya mpya.Wengi wameasi
Every body knows. Hata hizo kesi za Kina Ligwenya na Adam ziliandaliwa kwa lengo lile lile ili zimchafue mbowe wakati wa Uchaguzi mwaka jana. Sijui nini kilikwamisha mpaka ikaja kuanza leo.Bahati mbaya kwa mamlaka kile walichotegemea kimekuwa sio. Kila mtu sasa anajua Mbowe anaonewa na amebambikiwa,sbb kuu ni kudai katiba mpya
Kuna wakati hata saa mbovu husema ukweli.Huyu nae mnafiki tu
[emoji23][emoji23] sio ni kama huyu ni kichaa kabisa mkuuMbona wewe ni Kama kichaa?
Kachezea Nini what proof do you have? Kwanin mnavuka mipaka kwenye hakiAMANI ya NCHI ni ya MUHIMU zaidi kuliko Mbowe au mwanasiasa yeyote yule.
Funzo kwa wanasiasa kwa hiki anacho pitia Mbowe kwa sasa ni;
Mtu yeyote yule au mwanasiasa yeyote atakaye jaribu kuchezea/kucheza na Amani ya Nchi atashughulikiwa kwa mujibu wa sheria bila kujali wadhifa wake, awe CCM, NCCR, CDM, CUF, n.k atashughulikiwa kikamilifu.
Amani yetu ni kitu muhimu zaidi kuliko mtu yeyote au chama chochote kile.
Hii ni kesi au shetani katika ubora wake? Ngoja inyeshe tuone wapi panabomoka.Kuna wakati mnafiki anaongea ukweli