- Thread starter
- #61
Ni ushetani tu wa watawala. Wanadhani wataishi mileleHii ni kesi au shetani katika ubora wake? Ngoja inyeshe tuone wapi panabomoka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ushetani tu wa watawala. Wanadhani wataishi mileleHii ni kesi au shetani katika ubora wake? Ngoja inyeshe tuone wapi panabomoka.
Na mtanena sana kwa lugha nyumbu nyie!Kama umenuna kanywe sumu we kiroboto tu kama wahuni wengine
Mpaka Leo siamini vyema nguvu wafuasi mwendazake kumchomekea Mama hili gari bovu! Hope leo Shauri litafutwa
Hakunaga funzo kwenye uonevu,kesi ni ya kijinga,uonevu,ufujaji wa kodi zetu bure...actually mtu mwenye takataka kichwani tu ndio anaweza sema hii ni kesi halali.AMANI ya NCHI ni ya MUHIMU zaidi kuliko Mbowe au mwanasiasa yeyote yule.
Funzo kwa wanasiasa kwa hiki anacho pitia Mbowe kwa sasa ni;
Mtu yeyote yule au mwanasiasa yeyote atakaye jaribu kuchezea/kucheza na Amani ya Nchi atashughulikiwa kwa mujibu wa sheria bila kujali wadhifa wake, awe CCM, NCCR, CDM, CUF, n.k atashughulikiwa kikamilifu.
Amani yetu ni kitu muhimu zaidi kuliko mtu yeyote au chama chochote kile.
Mahakama ilishaingiliwa na Rais wakati anahojiwa na BBC,ulikuwa wapi?hivi sheria zetu zinasemaje kuhusu kuingilia mahakama?
Nchi hii kuna Mahakama?hivi sheria zetu zinasemaje kuhusu kuingilia mahakama?
Hao wanajulikana ni wazee wa kujilipua...ni magaidi kweli na aliewaweka ndani ni muislam mwenzao..JKTatizo hao wengine walioko gerezani walioshutumiwa kwa kesi za ugaidi mlikaa kimya na mnaendelea kukaa kimya kwa sababu ni waislamu
mnasahau kuwa binadamu kumbambikizia kesi ni dhambi haijalizi awe mbowe au Selemani awe mkiristo au muisllamu au dini yoyote
Hao wanajulikana ni wazee wa kujilipua...ni magaidi kweli na aliewaweka ndani ni muislam mwenzao..JK
Mungu mkubwaCCM inafanya kila inaloweza ili kuhakikisha Damu za Watanzania zinamwagika.
Sasa MUNGU yupo,watakufa wao mmoja mmoja hadi waishe wote kumanina mbwa hawa......
Mbowe sio GaidiWanateteana kweli,
Gaidi tu hata mufanyeje gaidi ni gaidi tu
Wale maskini wa Roho tu ndio wanaweza. Yaani Watu DuniSiamini kama kuna mtu mwenye akili timamu anaweza shabikia huu utawala katili kama huu
mdogo mdogoAkili zimeanza kurudi
Wewe kwenda zako. Hatujawahi kukalia kimuya vitendo vya uminyaji haki. Sisi tumekuwa mstari wa mbele. Historia itatuhukumu kwa Haki.Tatizo hao wengine walioko gerezani walioshutumiwa kwa kesi za ugaidi mlikaa kimya na mnaendelea kukaa kimya kwa sababu ni waislamu
mnasahau kuwa binadamu kumbambikizia kesi ni dhambi haijalizi awe mbowe au Selemani awe mkiristo au muisllamu au dini yoyote
Ni siku ya tatu sasa akihutubia ktk moja ya safu ya mafundisho yake katika jamii. Askofu wa Kanisa la TAG hapa Ubungo Kibangu Maarufu kama Mzee wa Upako ametoa maoni yake juu ya kesi anayohisi huenda ni ya kuzingizia ya Ugaidi dhidi ya Mbowe.
Askofu huyo licha ya kudai kuwa wafuasi wa chama cha demokrasia na Maendeleo Chadema wamekuwa wakimtukana mitandao kwa kumhisi yeye na CCM ni maswahiba ametanabaisha kuwe yeye ni rafiki wa watanzania wote na vyama vyote na hata waio na vyama.
Ktk safu hiyo ambapo aligusia maswala ya Amani, Upendo na Haki ktk nchi amelalamikia kitendo cha mamlaka kumtubumu Mh Freeman Mbowe kwa makosa makubwa ya Ugaidi baada ya kuanza harakati za Kudai Katiba Mpya.
" Naamini Mbowe ni Mtu Muungwana, wangeweza kumuita na kumweleza kuwa Mzee Hii kasi yako ni kubwa punguza kidogo na angeweza kuelewa kuliko kumwita Gaidi" sehemu ya kauli zake.
Mzee wa Upako anapata taabu sana kutambua kama kweli Mh Mbowe ni Gaidi au Sio Gaidi. Huku akitanabaisha kuwa kesi hii itakuwa na Impact kubwa ndani na nje ya Taifa letu la Tanzania.
Amewashauri wenye mamalaka kuwa badala ya kumtweza Mbowe wamemfanya kuwa maarufu zaidi na kwamba Mambo kama haya yanawapa maadui zetu sababu za kuingilia Mambo Yetu kama Taifa.
Link ya video inapatikana ktk PTVTazanzania online Tv.
Huyu ni mnafiki. Rejea matamko yake ya huko siku za nyuma. Ni Chato Gang huyo, ana hasira na utawala uliopo madarakani, anatafuta huruma upande wa pili. Anafahamu fika kuwa "akiongea maneno matamu" hawatokosekana wa kumshabikia. Same trick Polepole is using. Tell them what they like to hear, and you are an instant hero!Mzee ameamua kutoa ya moyoni