Askofu Lusekelo (Mzee wa Upako): Kesi ya Mbowe inakera sana na inaniumiza moyo

Askofu Lusekelo (Mzee wa Upako): Kesi ya Mbowe inakera sana na inaniumiza moyo

Kama umenuna kanywe sumu we kiroboto tu kama wahuni wengine
Na mtanena sana kwa lugha nyumbu nyie!

Huyu askofu si ndio yule juzi tu mlikuwa mnamtukana?

Mataendelea kugeuzwa kama chapati mpaka lini?
 
Mpaka Leo siamini vyema nguvu wafuasi mwendazake kumchomekea Mama hili gari bovu! Hope leo Shauri litafutwa

Tatizo hao wengine walioko gerezani walioshutumiwa kwa kesi za ugaidi mlikaa kimya na mnaendelea kukaa kimya kwa sababu ni waislamu

mnasahau kuwa binadamu kumbambikizia kesi ni dhambi haijalizi awe mbowe au Selemani awe mkiristo au muisllamu au dini yoyote
 
AMANI ya NCHI ni ya MUHIMU zaidi kuliko Mbowe au mwanasiasa yeyote yule.

Funzo kwa wanasiasa kwa hiki anacho pitia Mbowe kwa sasa ni;

Mtu yeyote yule au mwanasiasa yeyote atakaye jaribu kuchezea/kucheza na Amani ya Nchi atashughulikiwa kwa mujibu wa sheria bila kujali wadhifa wake, awe CCM, NCCR, CDM, CUF, n.k atashughulikiwa kikamilifu.

Amani yetu ni kitu muhimu zaidi kuliko mtu yeyote au chama chochote kile.
Hakunaga funzo kwenye uonevu,kesi ni ya kijinga,uonevu,ufujaji wa kodi zetu bure...actually mtu mwenye takataka kichwani tu ndio anaweza sema hii ni kesi halali.

Kesi ni ya kubumba na uzushi,ni suala la muda tu wataumbuka..Mbowe sio gaidi.
 
Tatizo hao wengine walioko gerezani walioshutumiwa kwa kesi za ugaidi mlikaa kimya na mnaendelea kukaa kimya kwa sababu ni waislamu

mnasahau kuwa binadamu kumbambikizia kesi ni dhambi haijalizi awe mbowe au Selemani awe mkiristo au muisllamu au dini yoyote
Hao wanajulikana ni wazee wa kujilipua...ni magaidi kweli na aliewaweka ndani ni muislam mwenzao..JK
 
Kwa hili nakubaliana na mzee wa upako. Muhimili uliojichimbia juu ya mihili mengine unajiaibisha sana kwa hii case.
 
Tatizo hao wengine walioko gerezani walioshutumiwa kwa kesi za ugaidi mlikaa kimya na mnaendelea kukaa kimya kwa sababu ni waislamu

mnasahau kuwa binadamu kumbambikizia kesi ni dhambi haijalizi awe mbowe au Selemani awe mkiristo au muisllamu au dini yoyote
Wewe kwenda zako. Hatujawahi kukalia kimuya vitendo vya uminyaji haki. Sisi tumekuwa mstari wa mbele. Historia itatuhukumu kwa Haki.
 
Walipofungwa wale wengine miaka 9 na kuambiwa Magaidi bila ya uthibitisho mbona hakusema kitu au kisa mb*w ni Wa imani yke?
 
Ni siku ya tatu sasa akihutubia ktk moja ya safu ya mafundisho yake katika jamii. Askofu wa Kanisa la TAG hapa Ubungo Kibangu Maarufu kama Mzee wa Upako ametoa maoni yake juu ya kesi anayohisi huenda ni ya kuzingizia ya Ugaidi dhidi ya Mbowe.

Askofu huyo licha ya kudai kuwa wafuasi wa chama cha demokrasia na Maendeleo Chadema wamekuwa wakimtukana mitandao kwa kumhisi yeye na CCM ni maswahiba ametanabaisha kuwe yeye ni rafiki wa watanzania wote na vyama vyote na hata waio na vyama.

Ktk safu hiyo ambapo aligusia maswala ya Amani, Upendo na Haki ktk nchi amelalamikia kitendo cha mamlaka kumtubumu Mh Freeman Mbowe kwa makosa makubwa ya Ugaidi baada ya kuanza harakati za Kudai Katiba Mpya.

" Naamini Mbowe ni Mtu Muungwana, wangeweza kumuita na kumweleza kuwa Mzee Hii kasi yako ni kubwa punguza kidogo na angeweza kuelewa kuliko kumwita Gaidi" sehemu ya kauli zake.

Mzee wa Upako anapata taabu sana kutambua kama kweli Mh Mbowe ni Gaidi au Sio Gaidi. Huku akitanabaisha kuwa kesi hii itakuwa na Impact kubwa ndani na nje ya Taifa letu la Tanzania.

Amewashauri wenye mamalaka kuwa badala ya kumtweza Mbowe wamemfanya kuwa maarufu zaidi na kwamba Mambo kama haya yanawapa maadui zetu sababu za kuingilia Mambo Yetu kama Taifa.

Link ya video inapatikana ktk PTVTazanzania online Tv.



Huyo siyo Mchungaji wa TAG.
 
Mzee ameamua kutoa ya moyoni
Huyu ni mnafiki. Rejea matamko yake ya huko siku za nyuma. Ni Chato Gang huyo, ana hasira na utawala uliopo madarakani, anatafuta huruma upande wa pili. Anafahamu fika kuwa "akiongea maneno matamu" hawatokosekana wa kumshabikia. Same trick Polepole is using. Tell them what they like to hear, and you are an instant hero!
 
Back
Top Bottom