Askofu Malasusa kwanini anataka tena Uaskofu Mkuu KKKT?

Mungu alinisuru kanisa, Malasusa alichafuka toka siku nyingi hata alipokuwa mkuu wa KKKT mambo yalikuwa hovyo.
Kuna siku nimeswitch upendo TV nilipokutana nae tu akihubiri nikabadilisha. Malasusa yuko kisiasa zaidi kuliko kiroho na siasa ndiyo iliyomrudisha hapo.
 
Shida ya kupata madaraka ukiwa kijana ndio hii malasusa alipata madaraka akiwa na miaka 46 na kumaliza akiwa na miaka 54......

Tamaa imemjia tena.
 
KKKT wamebadili katiba kwenye mkutano huu,kwa sasa watakuwa na katiba moja na sio kila usharika kuwa na katiba yake.
 
Kazi ya shoo ilikua kutetea kina Mbowe sijawahi kuona akitoka nje ya hapo...

Malasusa jitahidi kuwa mtetezi wa watanzania wote.
 
Malasusa tena? Kwa madudu yale ya Uongozi wake?

Mungu ingilia kati. Mlaze mahali anapostahili.
 
Mimi nilisema toka mwanzo kwamba selikali haiwezi kuruhusu Bagonza awe mkuu wa KKKT ndio sababu ya kupita kwa Malasusa!

Hiyo ni kazi ya kitengo
Tulikuwa tunamtegemea Dr. Abednego Keshomshahara ndio awe mkuu
 
Siku Zote kanisa linaongozwa na Roho Mt sio mtu.Ikiwa kuchaguliwa kwake kunatokana na Mungu,tusinug'unuke tusiyetukaonekana tunapingana na Mungu.(matendi ya mitume 5:38)
 
Walutheri mmewekewa pandikizi la serikali,tegemeeni kkkt kuwa submissive kwa serikali sasa,kwenye nyeusi mseme nyeupeee, unapoambiwa serikali inamkono mrefu huwa mnaelewaje? Kipindi hiki inabidi makanisa yote yaongozwe na makada kulekea uchaguzi mkuu na katiba mpya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…