Askofu Maximillian Machumu: Mkataba wa Bandari tunasema HAPANA

Dini tatu???? Naomba nitajie hizo mkuu...I'm waiting keenly!
 
This is just gratuitous sadism that is neither here nor there as far as the topic is concerned.
Mk
Thanks mkuu umemjibu vizuri uyu mhuni, alisema ndugu polepole
 
Fallacy ndo kitu gani aisee?
Tusaidie tuijue usije hata wewe ukawa umefanya fallacy bila kujua.
 
Katoliko na kkt ni dini mbili tofauti ama ni madhehebu katika ukristo
Kwani wewe shida yako nini hoja hapa madhehebu matatu akiwemo askofu mwanamapinduzi wamesema hapana futeni mkataba huo , nami nasema Hapana
 
Katoliko na kkt ni dini mbili tofauti ama ni madhehebu katika ukristo
Mbona unaleta hoja zisizo za msingi? Basi narekebisha kwenye idadi ya dini zilizotajwa. Sasa nasema badala ya tatu, zimetajwa mbili: ya Ukristu na ya Uislamu. Mengine yote yanabakia kama nilivyoyasema kwenya uzi wangu wa awali kwamba hizi dini mbili (hapo awali nilisema tatu) zinahusisha si chini ya asilimia themanini ya Watanzania.
 
Hawa ndio wanatutoa kwenye reli....

Sidhani kama unahitaji kuwa muumini wa dhehebu fulani; au imani fulani kupinga au kukubali mustakabali wa Bandari yetu....

Huu ni Upuuzi..., ndio maana nasema kila siku binafsi nagombania uwazi mikataba yote iwe wazi ili kila mtu ajosemee na sio kufanya maamuzi from hearsay; Tukienda on this road tutakuwa kabla ya kufanya kila jambo tunamuuliza kila muumini wa imani fulani kama amekubali au amekataa....; Huyu jamaa ana haki ya kukataa kama Mtanzania na sio vingenevyo...
 
Mkuu achana naye vedio inajieleza zimetajwa dini tatu ,hoja apa bandari hakuna kuuzwa, mliokula pesa za watu rudisha mara moja zitawatokea puani
 
Kumbe tupinge kwasababu ya udini!!
Umesikiliza video au umeamka usingizini na kutoa comment. Dini zote hapo zimetajwa mpaka Ustaz Mkuu nae kasema HAPANA! Wewe ni nani mpaka unaropoka vitu vya ajabu. Na mimi ni mfuasi wa Ustaz Mkuu na mimi nasema HAPANA, HAPANA, HAPANA, HAPANA X1,000,000,000,000,000,000,000,000,000,000,000,000,000.
 
Fallacy ndo kitu gani aisee?
Tusaidie tuijue usije hata wewe ukawa umefanya fallacy bila kujua.
fal·la·cy

/ˈfaləsē/



noun

a mistaken belief, especially one based on unsound argument.

"the notion that the camera never lies is a fallacy"

Similar:

misconception

mistaken belief

misbelief

delusion

false notion

mistaken impression

misapprehension

misjudgment

miscalculation

misinterpretation

misconstruction

error

mistake

untruth

inconsistency

illusion

myth

fantasy

deceit

deception

sophism

sophistry

casuistry

faulty reasoning

unsound argument

LOGIC

a failure in reasoning which renders an argument invalid.

"Kraft exposes three fallacies in this approach"

faulty reasoning; misleading or unsound argument.

"the potential for fallacy which lies behind the notion of self-esteem"
 
Umekopi au umetueleza?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…