Askofu Mkuu Mwandamizi Protase Rugambwa ateuliwa kuwa Kardinali

 
Wenye kanisa lenu naomba muongozo hapa huyu Laurean Rugambwa na Protasi Rugambwa si ndugu hawa?.

Kama ni ndugu inaonekana familia ya mzee Rugambwa hasa watoto wa kiume wana kitu gani cha ndani hadi waaminike wao tu?.
 

Kuna mtu nafikir hata mwez haujapita alisema kwamba huyu Protase Rugambwa atakuwa Kardinal nafikir hata mwez haujaisha
 
Yupo pia Novatus Rugambwa, ni balozi wa papa huko kwingineko duniani. Sijui ni ndugu hawa?
Wenye kanisa lenu naomba muongozo hapa huyu Laurean Rugambwa na Protasi Rugambwa si ndugu hawa?.

Kama ni ndugu inaonekana familia ya mzee Rugambwa hasa watoto wa kiume wana kitu gani cha ndani hadi waaminike wao tu?.
 
Hii ndiyo ile kusema ukikaa karibu na ua waridi, lazima unukie. Hongera nyingi kwa Muadhama Mardinali. Maana siyo kila nchi inapata bahati ya kuwa na Kardinali.

Kwa Tanzania tunastahili pongezi. Maana ni Kardinali wa 3 huyu tunapata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…