Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
Mwambieni siku nyingine atembelee mahabusu ambao sio maarufu na wala hawana vyeo, wale ambao hata wakienda kanisani kwake huwa hawana hela ya sadaka na wapo kule kwa makosa yanayodhaminika lakini hawana mdhamini, au wanashindwa kulipa hata laki tano tu ya faini ili watoke. Awatembelee na hao ili tujue hajaenda kichama.Umeishia darasa la ngapi ?
Watafukuzwa CCM siku hiyo hiyoWiki ijayo baba Malasusa na Mhadhamu Pengo nao wataenda.
mbona hawakwenda kwa mdude, au kwasababu ni msabato? wanaenda kwa mbowe mrudherani mwenzao. hahahaha.Wiki ijayo baba Malasusa na Mhadhamu Pengo nao wataenda.
Siku hizi anakunywa Whisky kupitiliza nadhani kuna sehemu anaona kuna uzito flani, kila akienda sehemu akijua atatoa hotuba inabidi anywe kwanza ili akae sawa ila tatizo ndio kuna eneo anaanza tena kuharibu kwenye hotuba sasa hapo ndio kuna shida.Mama Samia anaendelea kujichafua mwenyewe kwa kuagiza Ustaadhi Aboubakar Mbowe kutundikiwa mashtaka ya uongo na kumfanya mfungwa wa kisiasa.
Taswira ya nchi imeanza kuchafuka kama enzi za baba wa uovu, shujaa, jiwe mwendazake.
Mkuu,huyo hajawahi kuwa askofu wa kkkt, siku zote ni askofu wa chadema na wachaga. ni mkabila na hajawahi kuwa nutral kwenye hivi vyama. hata ukija na ushahidi gani dhidi ya wanachama wake, siku zote muelekeo wake ndio huo. ajue kuwa serikali ndio yenye siri nzito na upelelezi, anaaminije kama kweli ameonewa, na ameruhusiwaje kwanza. wanaohubiri wahubiri na wanasiasa wawe wanasiasa, ukichanganya hayo ukipigwa za uso usitulaumu.
Ametimiza wajibu wake, maana ni sehemu ya IbadaView attachment 1913448
Hii ndiyo taarifa ambayo pengine ulikuwa huifahamu , imeelezwa kwamba Baba Askofu Shoo amefika kwenye gereza la Ukonga kumtembelea Gwiji la siasa za Tanzania , Ustaadhi Aboubakar Mbowe , pamoja na kumuona mfungwa huyo wa kisiasa , Askofu Shoo ametumia nafasi hiyo kutoa neno la matumaini kwa wafungwa wengine walio ndani ya gereza hilo.
Mungu ibariki KKKT
Kuna siku wewe ndio utakuwa kizimbani ndipo utajua huwa unakuwepo ushahidi au la. Kama serikali huwa haina ushahidi basi kusingekuwa na magereza, na hata yangekuwepo basi wasingekuwepo wafungwa, cha ajabu anayewafunga sio serikali, ni mahakama, basi ilaumuni mahakama kwamba imejaza magereza wafungwa ambao hapakuwepo ushahidi dhidi yao. Mahakama zinafanya nini sasa, na je, ina maana Tanzania hakuna wakosaji, na wakosaji hao hawezi kuwe boss wenu dj? Yeye ni malaika?mkuu,
serekali hii ishawai kua na ushahidi tangu lini,
ujue tangu enzi za Lissu mambo yalikua ni haya haya,
oooH tuna ushahidi tuna ushahidi, wakienda mahakamani wanaliwa kichwa..
Ila kweli kama ushahidi ungekuepo uyu Jamaa wangesha msomea namba mda sana aisee,
Ona wanavyo chelewesha mambo aisee, mala Gari mbovu, mala shaid hajafika, yani hawaishiwi visingizio.
Wacha twendelee angalia Muvie yao ya Mizengwe hii....
hivi kweli kichwani kwenu kuna ubongo kabisa hata mkamuamini huyo jamaa kuwa ni nabii wa kweli? mmelogwa na nini aisee?Ame
Ametimiza wajibu wake, maana ni sehemu ya Ibada
Mungu ambariki sana Askofu Shoo.View attachment 1913448
Hii ndiyo taarifa ambayo pengine ulikuwa huifahamu , imeelezwa kwamba Baba Askofu Shoo amefika kwenye gereza la Ukonga kumtembelea Gwiji la siasa za Tanzania , Ustaadhi Aboubakar Mbowe , pamoja na kumuona mfungwa huyo wa kisiasa , Askofu Shoo ametumia nafasi hiyo kutoa neno la matumaini kwa wafungwa wengine walio ndani ya gereza hilo.
Mungu ibariki KKKT
Sabaya na Magufuli wanaelewa hii.Hakuna aliyewahi kupambana na Mbowe akabakia salama.
Ni suala la muda tu, bibi atanyolewa kwa wembe uliomnyoa jiwe.
Kuna siku wewe ndio utakuwa kizimbani ndipo utajua huwa unakuwepo ushahidi au la. Kama serikali huwa haina ushahidi basi kusingekuwa na magereza na hata yangekuwepo basi wasingekuwepo wafungwa, cha ajabu anayewafunga sio serikali, ni mahakama, basi ilaumuni mahakama kwamba imejaza magereza wafungwa ambao hapakuwepo ushahidi dhidi yao. Mahakama zinafanya nini sasa, na je, ina maana Tanzania hakuna wakosoaji na wakosaji hao hawezi kuwe boss wenu DJ? Yeye ni malaika?mkuu,
serekali hii ishawai kua na ushahidi tangu lini,
ujue tangu enzi za Lissu mambo yalikua ni haya haya,
oooH tuna ushahidi tuna ushahidi, wakienda mahakamani wanaliwa kichwa..
Ila kweli kama ushahidi ungekuepo uyu Jamaa wangesha msomea namba mda sana aisee,
Ona wanavyo chelewesha mambo aisee, mala Gari mbovu, mala shaid hajafika, yani hawaishiwi visingizio.
Wacha twendelee angalia Muvie yao ya Mizengwe hii....
hivi kweli kichwani kwenu kuna ubongo kabisa hata mkamuamini huyo jamaa kuwa ni nabii wa kweli? mmelogwa na nini aisee?Ame
Ametimiza wajibu wake, maana ni sehemu ya Ibada
Angembariki pia kama angekuwa ameenda kumuona Sugu na Mdude au mnataka abarikiwe kwa kwenda kumwona DJ tu?Mungu ambariki sana Askofu Shoo.
kuna siku wewe ndio utakuwa kizimbani ndipo utajua huwa unakuwepo ushahidi au la. kama serikali huwa haina ushahidi basi kusingekuwa na magereza, na hata yangekuwepo basi wasingekuwepo wafungwa, cha ajabu anayewafunga sio serikali, ni mahakama, basi ilaumuni mahakama kwamba imejaza magereza wafungwa ambao hapakuwepo ushahidi dhidi yao. mahakama zinafanya nini sasa, na je, ina maana tz hakuna wakosaji, na wakosaji hao hawezi kuwe boss wenu dj? yeye ni malaika?
huyo hajawahi kuwa askofu wa kkkt, siku zote ni askofu wa chadema na wachaga. ni mkabila na hajawahi kuwa nutral kwenye hivi vyama. hata ukija na ushahidi gani dhidi ya wanachama wake, siku zote muelekeo wake ndio huo. ajue kuwa serikali ndio yenye siri nzito na upelelezi, anaaminije kama kweli ameonewa, na ameruhusiwaje kwanza. wanaohubiri wahubiri na wanasiasa wawe wanasiasa, ukichanganya hayo ukipigwa za uso usitulaumu.
umefikisika kisiasa ukishaanza kuwaza mambo kidini na kikabilakuna siku wewe ndio utakuwa kizimbani ndipo utajua huwa unakuwepo ushahidi au la. kama serikali huwa haina ushahidi basi kusingekuwa na magereza, na hata yangekuwepo basi wasingekuwepo wafungwa, cha ajabu anayewafunga sio serikali, ni mahakama, basi ilaumuni mahakama kwamba imejaza magereza wafungwa ambao hapakuwepo ushahidi dhidi yao. mahakama zinafanya nini sasa, na je, ina maana tz hakuna wakosaji, na wakosaji hao hawezi kuwe boss wenu dj? yeye ni malaika?
hivi kweli kichwani kwenu kuna ubongo kabisa hata mkamuamini huyo jamaa kuwa ni nabii wa kweli? mmelogwa na nini aisee?
angembariki pia kama angekuwa ameenda kumwona sugu na mdude, au mnataka abarikiwe kwa kwenda kumwona dj tu?
basi subiri afungwe au aachiwe huru. unawashwa na nini?Katika maswala mengine sawa hua wanakua na ushahidi,
ila katika kesi nyingi za viongozi wa chadema, tena wale wa ngazi za juu,
nyingi wanakua hawana ushahidi,
Japo ni njia pia ya kisiasa katika kupunguza speed ya wapinzani wako..
hahahabasi subiri afungwe au aachiwe huru. unawashwa na nini?
Kwanini mmemkana Hamza? Mjumbe wa Kamati Kuu CCm TaifaWamaçhame hao AKA wapalestina
USSR
Ungetulia, kusubiri wachangie wenye akili kwanza.Wamaçhame hao AKA wapalestina
USSR
huyo hajawahi kuwa askofu wa kkkt, siku zote ni askofu wa chadema na wachaga. ni mkabila na hajawahi kuwa nutral kwenye hivi vyama. hata ukija na ushahidi gani dhidi ya wanachama wake, siku zote muelekeo wake ndio huo. ajue kuwa serikali ndio yenye siri nzito na upelelezi, anaaminije kama kweli ameonewa, na ameruhusiwaje kwanza. wanaohubiri wahubiri na wanasiasa wawe wanasiasa, ukichanganya hayo ukipigwa za uso usitulaumu.
Amechochea moto badala ya kuuzima.Ukiwa ikulu sio parahisi usipotumia approach kama hii huwezi kueshimika.
Acha ashike adabu kwanza mpaka ajue namna ya kuwafundisha adabu ya siasa Vijana wake wakina mdude.