Askofu Mkuu wa KKKT, Dkt. Fredrick Shoo amtembelea Freeman Mbowe gereza la Ukonga

Hivi mtu akienda kumtembelea mdogo wake, nayo ni habari.?
 
Mama Samia anaendelea kujichafua mwenyewe kwa kuagiza Ustaadhi Aboubakar Mbowe kutundikiwa mashtaka ya uongo na kumfanya mfungwa wa kisiasa.

Taswira ya nchi imeanza kuchafuka kama enzi za baba wa uovu, shujaa, jiwe mwendazake.
Nchi ipo salama, kwa hiyo unataka mtu akiwa upinzani hasishitakiwe? Nchi ipo poa kabisa, hayo matamanio yenu ya nchi kuchafuka ni zero, Bwana Abubakar lazima aface mashtaka yake kama waTZ wengine
 
Hivi nyinyi huwa mnaokotwa wapi?

"...serikali ndio yenye siri nzito..." kama ule wa barakoa zilizowekewa COVID-19 ili kuwamaliza waTanzania, au siyo?

Nchi kuwa na wapumbavu aina yenu inasikitisha sana.
 
Siyo kitu kibaya kuwatembelea mahabusu na wafungwa kwani nao wanahitaji faraja. Mimi ni Mlutheri pia ila Baba Askofu asiingile mambo ya mahakama
Askofu kumtembelea mahabusu ni kuingilia mahakama! Inaelekea haujui maana ya kuingilia mahakama, uliza kwanza ufahamishwe.
 
Kwanini mmemkana Hamza? Mjumbe wa Kamati Kuu CCm Taifa
Uzuri wa CCM pamoja na mapungufu yao machache, mwanachana wao akituhumiwa kufanya kosa la jinai na kushitakiwa huwa hawaingilii vyombo vya dola kwa kumtetea mtuhumiwa.
 
Toa ujinga wako
Mkuu wa kkkt ni nani?
 
Ni kabilayake ndiyo maana hana jipya. Mbona hajamtembelea Sabaya? Ukabila utajidhihirisha siku zote kwa hawa watu. Angevua tu na hayo majoho maana hayamsaidii.
 
Ukiwa pimbi ni pimbi mpaka kwenye moyo wako. Wewe jamaa nakubariki jina la upimbi, umeongea upimbi mtupu
 
Msajili wa Vyama anapaswa akifutilie mbali hiki chama Cha CHADEMA maaana kimekuwa ni maficho/chimbo la Wahalifu, kila aina ya wahalifu sasa wanaweza kujibanza na kujificha ktk kichaka kinacho jiita eti chama cha kisiasa!!!
 
Wamaรงhame hao AKA wapalestina

USSR
WEWE NI BONGOLALA MKUBWA, POPOMA, KABISA ,KWENYE ISSUE YA HUMAN RIGHTS VILOTION hakuna kabila wala dini.

Wewe ni barbaric mkubwa....๐Ÿ™„๐Ÿ™„๐Ÿ™„๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
 
Msajili wa Vyama anapaswa akifutilie mbali hiki chama Cha CHADEMA maaana kimekuwa ni maficho/chimbo la Wahalifu, kila aina ya wahalifu sasa wanaweza kujibanza na kujificha ktk kichaka kinacho jiita eti chama cha kisiasa!!!
Wewe ni kubwa JINGA kabisa....๐Ÿ™„๐Ÿ™„๐Ÿ™„
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ