Francis fares Maro
JF-Expert Member
- Jun 20, 2021
- 1,227
- 1,339
Kabla hujapata Uhuru wa bendera hawa ndio walikua wanatuongoza Kwa taasisi zao Imara na uchumi wetu ulikua juu kuliko miaka hii 50, baadae mkapewa Uhuru mmeharibu kila kitu!!...Huyo hajawahi kuwa askofu wa KKKT, siku zote ni askofu wa CHADEMA na wachaga ni mkabila na hajawahi kuwa nutral kwenye hivi vyama. Hata ukija na ushahidi gani dhidi ya wanachama wake, siku zote muelekeo wake ndio huo. Ajue kuwa serikali ndio yenye siri nzito na upelelezi, anaaminije kama kweli ameonewa, na ameruhusiwaje kwanza. Wanaohubiri wahubiri na wanasiasa wawe wanasiasa, ukichanganya hayo ukipigwa za uso usitulaumu.
kumbe ni wamachame sio wachaga.Wamaçhame hao AKA wapalestina
USSR
Life is too short just be politeWamaçhame hao AKA wapalestina
USSR
life is too short, Yawezekana kesho ukawa hoi kitandaniKuwa makini sana mjomba
Usitoe sana povu nilikuwa nikiona live huku kwetu anayetoa sadaka sana ndiyo baba alikuwa anampenda sana, na alikuwa anafanyiwa maombi spesho, tia mzigo mkubwa ndugu hata ukifungwa na wewe wanakuja lwako.Cha kujiuliza, huyo askofu wa CHADEMA, hajawahi tembelea waumini wake wowote wale, ila kamtembelea dj tu. ina maana leo ndio kajua kuwa kuna mahabusu,, tena wanaoweza kuwa wanapata shida kuliko hata dj mboe? unafiki wa hali ya juu.
Kitu ambacho wengi huwa hamjui, hawa maaskofu wa mishahara na wadini/mafarisayo, wanafuata dini tu, ila ni watu wa kawaida mno hadi kwa waganga wanaenda kugombania vyeo. hawanaga lolote nakwambia na hata hawamtumikii Mungu, wanatumikia dini na familia zao.
Afrika hii bro, we acha tu. Nyerere alitufikisha mbele halafu tukaanza kurudi nyuma mdogomdogo.Kama kuna aliyedhani haya mambo ni madogo basi ni bora ajipofue macho, yanayokuja ni mazito sana.
Hata katika uvaaji wako wa nguo.Umakini wa nini
Hivi una akili timamu wewe ...ndio maana sisi miafrika mimasikini Sana kwa upumbavu Kama huu...Ukiwa Ikulu sio parahisi usipotumia approach kama hii huwezi kuheshimika.
Acha ashike adabu kwanza mpaka ajue namna ya kuwafundisha adabu ya siasa Vijana wake wakina mdude.
Atavuna anachopanda
Huyu naye ni Gaidi wa kidini tu amekwenda kumtembelea Gaidi mwenzake wa kisiasa.View attachment 1913448
Hii ndiyo taarifa ambayo pengine ulikuwa huifahamu, imeelezwa kwamba Baba Askofu Shoo amefika kwenye gereza la Ukonga kumtembelea Gwiji la siasa za Tanzania, Ustaadhi Aboubakar Mbowe, pamoja na kumuona mfungwa huyo wa kisiasa, Askofu Shoo ametumia nafasi hiyo kutoa neno la matumaini kwa wafungwa wengine walio ndani ya gereza hilo.
Mungu ibariki KKKT
Yaani wewe unamwona huyo Shoo unababaika!? Huyo ni kama lilivyojina lake yaani anafanyashoo tu hakuna kitu. Anakwenda kumtembelea Mmachame mwenzake tu hakuna la maana lolote labda kwako wewe nyumbu!Kama kuna aliyedhani haya mambo ni madogo basi ni bora ajipofue macho, yanayokuja ni mazito sana.
Acha chuki na kuhubiri ukabila na ukanda. Roho ya @magufuli ikutokeWamaçhame hao AKA wapalestina
USSR
Nilitafuta jibu lakuweka ukaniwahiHivi kwanini umasikini wa hela unaharibu akili
Ukisha litaja tu kabila tiyari umeweka dosari ktk mchango wako mkuu, maana ya ukabila ni anguko na maumivu kwa wote haijali ww ni nani.Wamaçhame hao AKA wapalestina
USSR
Ndugu yangu,Ukiwa Ikulu sio parahisi usipotumia approach kama hii huwezi kuheshimika.
Acha ashike adabu kwanza mpaka ajue namna ya kuwafundisha adabu ya siasa Vijana wake wakina mdude.
Bali haikuandikwa tiini mamlaka ya ShetaniMi ninachoweza kuongeza kwa Askofu na Mbowe ni kuwa imeandikwa tiini mamlaka basi.
Sio akili tu hata siku za kupata hedhi.Hivi kwanini umasikini wa hela unaharibu akili
Hili jina ni la Swahaba wa Mtume , alipewa ziarani Zanzibarmbowe anaitwa aboubakar tangu lini?