Askofu Mwamakula Asimulia mazito akiwa Jukwaa la Tangayika Law Society

Askofu Mwamakula Asimulia mazito akiwa Jukwaa la Tangayika Law Society

Wakuu kule youtube kwenye Channel ya Jambo Tv nimekutana na kisanga cha kutisha, kwanza ukisikiliza unaogopa na kutetemeka.
Ni Askofu Emmaus Mwamakula akiwa amealikwa ku-address mkutano wa wanachana wa chama cha Mawakili Tanganyika yaani TLS.

Sikiliza mwenyewe hapa.



Cc: Mtimawachi
 
Mazungumzo aliyoongea hapo yameuchoma sana moyo wangu
Mkuu mimi sikupata usingizi kwa mud wa masaa kadhaa baada ya kusikiliza hii hotuba.

Kumbe mkuu na wewe ulikuwa mnazi?
 
Wakuu kule youtube kwenye Channel ya Jambo Tv nimekutana na kisanga cha kutisha, kwanza ukisikiliza unaogopa na kutetemeka.
Ni Askofu Emmaus Mwamakula akiwa amealikwa ku-address mkutano wa wanachana wa chama cha Mawakili Tanganyika yaani TLS.

Sikiliza mwenyewe hapa.


CC
Oxpower
 
Wakuu kule youtube kwenye Channel ya Jambo Tv nimekutana na kisanga cha kutisha, kwanza ukisikiliza unaogopa na kutetemeka.
Ni Askofu Emmaus Mwamakula akiwa amealikwa ku-address mkutano wa wanachana wa chama cha Mawakili Tanganyika yaani TLS.

Sikiliza mwenyewe hapa.


CC
KimpaGhasha
 
Wakuu kule youtube kwenye Channel ya Jambo Tv nimekutana na kisanga cha kutisha, kwanza ukisikiliza unaogopa na kutetemeka.
Ni Askofu Emmaus Mwamakula akiwa amealikwa ku-address mkutano wa wanachana wa chama cha Mawakili Tanganyika yaani TLS.

Sikiliza mwenyewe hapa.


CC
MISULI
 
Mkuu mimi sikupata usingizi kwa mud wa masaa kadhaa baada ya kusikiliza hii hotuba.

Kumbe mkuu na wewe ulikuwa mnazi?
Bahati nzuri JF huwa hawafuti nyuzi. Fuatikia nyuzi zangu miaka kuanzia 2020 kurudi 2014 utathibitisha nisemayo.

Nimechukia sana kuona kuwa kumbe CCM ni zaidi ya wahuni. Tulilishwa upuuzi mwingi sana. Ndo maana nasema kuwa pamoja na kutetea utu wa JPM lakini eneo la haki za binadamu na demokrasia nampa alama sifuri.
 
Bahati nzuri JF huwa hawafuti nyuzi. Fuatikia nyuzi zangu miaka kuanzia 2020 kurudi 2014 utathibitisha nisemayo.

Nimechukia sana kuona kuwa kumbe CCM ni zaidi ya wahuni. Tulilishwa upuuzi mwingi sana. Ndo maana nasema kuwa pamoja na kutetea utu wa JPM lakini eneo la haki za binadamu na demokrasia nampa alama sifuri.
Mtu asiyesimama kwenye Haki na Demokrasia hana utu. Maana utu uko humo. Utamsikia kwa maneno ya nje akijifanya mtu lakini mafichoni sio kabisa
 
Wakuu kule youtube kwenye Channel ya Jambo Tv nimekutana na kisanga cha kutisha, kwanza ukisikiliza unaogopa na kutetemeka.
Ni Askofu Emmaus Mwamakula akiwa amealikwa ku-address mkutano wa wanachana wa chama cha Mawakili Tanganyika yaani TLS.

Sikiliza mwenyewe hapa.


CC
TikTok2021
 
Mtu asiyesimama kwenye Haki na Demokrasia hana utu. Maana utu uko humo. Utamsikia kwa maneno ya nje akijifanya mtu lakini mafichoni sio kabisa
Nimejifunza upendo katikati ya chuki.

Ninamaanisha kuwa anayefanya unyama hastahili unyama.kama.malipo.
Najiuliza wale wanaotumwa kuua watu wasio na hatia. Huwa wanawaza kuwa wao wataishi milele?
 
Nimejifunza upendo katikati ya chuki.

Ninamaanisha kuwa anayefanya unyama hastahili unyama.kama.malipo.
Najiuliza wale wanaotumwa kuua watu wasio na hatia. Huwa wanawaza kuwa wao wataishi milele?
Wale wanaotumwa wamefundishwa hivyo na wameshabadilishwa mind set zao.

Kuna mada tuliwahi soma humu inaitwa Hypinotization methods zinazotumika kuwatengeneza watu kama hao. Kila kitabu sikumbuki jina kuna mdau alipost humu. Ukikisoma kinatisha. Wanafundishwa ku act kama wanyama. Ubinadamu ndani mwao unakufa. Na ni slow process wanakuwa trained hatua kwa hatua mpaka wanakua watu bora kabisa kwenye eneo hilo.
 
..sikiliza hotuba ya Sheikh Ponda mbele ya TLS.

..unaweza kulia kutokana na aliyoyaeleza.

..kuna mpaka matukio ya askari kuzuia mawakili wa mtuhumiwa kuingia mahakamani.

..Halafu Hakimu akaendelea kusikiliza kesi huku akijua mawakili wa mtuhumiwa wamezuiliwa kumuwakilisha mteja.
Asante sana kwa mrejesho huu.
Hii ndiyo maana halisi ya uwepo wa watu wa aina yako humu JF

Mara nyingi tunasombwa na matukio ya muda uliopo, yakishapita tunasahau kabisa kila kitu.
Hili ni tatizo mojawapo katika matatizo yetu mengi.
 
Mwamakula kosa lake ni msomi,anajiita mwanaharakati na pia anajitambulisha kama mtu wa Mungu ila kazee kana roho chafu sana.....Mchungaji yeyote ata ukimkosea anasamehe na kuanza upya mana maandiko ya bibilia ndivyo yanavyosema na kutaka.
kenyewe kwanini kanaeneza chuki,na je kanatumia Bibilia Gani kufundisha habari za ufalme wa Mungu?
Umejichanganya kwa majibu yako.
 
Back
Top Bottom