Ndio maana ya mungu kuachiwa mungu na kaizari apewe kaizari.
Dunia hii ya leo informations zinazopatikana kirahisi hawa watu wawe makini sana na wanachoongea, sio kwa sababu kuna malimbukeni wachache na wavivu wa kujiongeza huwa wanashangilia kinachosemwa kwa sababu kinaendana na agenda zao.
Aina maana hizo hoja sio bunkum na zenye lengo la kuvuruga amani ya nchi kwa tafsiri ya serikali; halafu mtu wa aina hiyo achekewe.
Akiitisha maandamano hata leo atoachwa, tena hawa wa awamu hii ndio hatari kabisa awaulize Ponda alishapigwa risasi hadharani akapona, amekaa jela sana enzi za JK, Uhamsho na funguo JK akazitupa tena aliwafuata Zanzibar kitemi, ndugu wa marehemu Dr Mvungi, Mwangosi, Ulimboka na wengineo.
Hao wa Magufuli wengi ni wakutungwa tu na mazingira yao ya kupotea tatanishi; lakini wa JK sio kwamba awaongelewi ila wajaribu kumzingua waone jamaa wakibadilika.
Uliza Arusha maandamano ya CDM polisi waliuwa na kujeruhi wangapi mchana kweupe enzi za JK. Day light seuse huyo Akwilina accident.
Halafu akajifunze katiba ni kitu ‘Cyrus Cylinder’ sio katiba inaelezea haki za sehemu wanazochukua kinguvu; sasa ebu atuelezee na hizo nguvu na unyama uliokuwa unatumika zama hizo kuyachukua hayo maeneo.
Ni watu wanaochekewa chekewa