KingCobra95
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,249
- 5,863
Watu wanagawa vifo kama peremende,duh😟
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unasoma karatasi za kuchambia si biblia.Badala ya kuomba Mungu atuokoe na janga la Corona unataka tumuombee Mbowe? Acha mahakama itaamua,maana hao nao ni watumishi wa Mungu.
Maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu.
Nitapiga tahajudi yangu saa Tisa usikuView attachment 1870225
Niwakumbushe wenye madaraka nchi hii
1. Askofu Mwamakula na Sheikh Ponda waliomba dua ya Maangamizi kwa ambao wangeshiriki kuvuruga uchaguzi wa mwaka 2020, Nyote mnaona leo yule mvurugaji mkuu katwaliwa mapema kabisa hata miezi 6 ya kipindi cha pili hakuifaidi
7. Leo Askofu anatangaza dua kuhusu suala la Mbowe.
Hizi dua zichukulieni poa tu, lakini Siyo za kufanyia mchezo.
Zikianza kuwatafuna, msitafute mchawi!
Mwambie huyo mama wa kambo atokee akae mbele kupambana na hao wanaoogopa kuandamana, ili tuone anavyoogopeka.
Inauma? Chomoa tu mkuu...tutachomeka ukipaka mateaskofu wa kanisa linaloruhusu ndoa za jinsia moja. anamwomba mungu gani, baali au Mungu anayekataza usodoma? hako kajamaa hakajui nini maana ya askofu. ameweka pembeni Biblia amekuwa chadema, si akagombee tu ubunge kama mwenzie gwajiboy? ni kavurugaji na serikali ifike mahali ichoke. wasimuogope, ni wakristo wachache sana wanamsapotu huyo kimbaumbau.
Hivi choko ushawahi kuandamana hata siku moja? Unaweza hata kurusha jiwe kweli wewe?
Wewe ni zwazwazwa niin ? Unapoomba ukae ukielewa kuwa kujibiwa nako kunahitaji kuombewa vilevile,hao wanaoomba nimewachunguza hawaombi dua waliyoomba ikubaliwe zaidi ya kuitikia Amein ,Amina haijulikani ni kike au kiume,😂😂😂haya maombi ayatofautiani na ya sheikh Kishki kumuomba Yarabi amtoe roho afande Sele lakini mpka leo jamaa anadunda tu.
hivi huyo askofu ni wa kanisa gani, manake hata anglican hawamtambui, ni watu waliojitenga hata na anglican, na wewe kumwita kwako askofu usifikiri sisi wengine ni askofu kwetu, wengine tunamwona mhuni tu.Ww mwenyewe unaishi mjini kwa kutegemea wanaume, unawezaje kumnyooshea kidole askofu? Kwani serikali ya majizi ya kura inawaogopa hao wananchi, achia mbali hao wakristo unaosema ni wachache wanaomsupport? Kama serikali hii ingekuwa inakubalika tusingeona ule ushenzi na uhayawani kwenye uchaguzi mkuu na wa SM.
anataka kumshikisha babako.Kwani Alisha kushikisha ukuta?
Maombi hasi hayo,View attachment 1870225
Niwakumbushe wenye madaraka nchi hii
1. Askofu Mwamakula na Sheikh Ponda waliomba dua ya Maangamizi kwa ambao wangeshiriki kuvuruga uchaguzi wa mwaka 2020, Nyote mnaona leo yule mvurugaji mkuu katwaliwa mapema kabisa hata miezi 6 ya kipindi cha pili hakuifaidi
7. Leo Askofu anatangaza dua kuhusu suala la Mbowe.
Hizi dua zichukulieni poa tu, lakini Siyo za kufanyia mchezo.
Zikianza kuwatafuna, msitafute mchawi!
Tusubiri tuone matokeo yakeMaombi hasi hayo,
Hakuna ombi la mwamakula lililowahi kuwa positive ,
Anazidiwa na mwamposa
Kama ni mhuni tu, tusubiri tuone matokeo yakehivi huyo askofu ni wa kanisa gani, manake hata anglican hawamtambui, ni watu waliojitenga hata na anglican, na wewe kumwita kwako askofu usifikiri sisi wengine ni askofu kwetu, wengine tunamwona mhuni tu.
hivi huyo askofu ni wa kanisa gani, manake hata anglican hawamtambui, ni watu waliojitenga hata na anglican, na wewe kumwita kwako askofu usifikiri sisi wengine ni askofu kwetu, wengine tunamwona mhuni tu.
Soon tutaanza kuimba Nyimbo,akifunga kampeni alimuomba Mungu awaaaibishe wote watakaovuruga uchaguzi mkuu Mungu akajibu maombi yake.Endeleeni KUJIFAJIRI.....
Sawa.Askofu wa kanisa linaloruhusu ndoa za jinsia moja. Anamwomba mungu gani, baali au Mungu anayekataza usodoma? hako kajamaa hakajui nini maana ya askofu. Ameweka pembeni Biblia amekuwa chadema, si akagombee tu ubunge kama mwenzie Gwajiboy? ni kavurugaji na serikali ifike mahali ichoke. Wasimuogope, ni wakristo wachache sana wanamsapotu huyo kimbaumbau.
Rejea majibu yaliyowafurahisha watzKama ni mhuni tu, tusubiri tuone matokeo yake
ifike kipindi, kama vile shehe ponda anavyoweza kupelekwa ndani, huyu askofu uchwara anayetoka kanisa linalosapoti ushoga, awekwe ndani na yeye. serikali ikiendelea kumwacha hivihivi anaona kama inamuogopa, pamoja na kwamba anatafuta attention.Soon tutaanza kuimba Nyimbo,akifunga kampeni alimuomba Mungu awaaaibishe wote watakaovuruga uchaguzi mkuu Mungu akajibu maombi.
Wameshageuza dini kama kichaka cha maovu[emoji23][emoji23][emoji23]haya maombi ayatofautiani na ya sheikh Kishki kumuomba Yarabi amtoe roho afande Sele lakini mpka leo jamaa anadunda tu.
uliongea na Mungu akakuambia maombi yao ndio yalijibiwa?Sawa.
Tunachojua sisi ni kwamba maombi ya kina Askofu Mwamakula "yalimrestisha ini pisi" mtu tarehe 17 March 2021.
Tulia watu waombe, mbona mnawayawaya?Wameshageuza dini kama kichaka cha maovu