Askofu Mwamakula Atangaza siku saba mfululizo za maombi kumshitakia Mungu juu ya uonevu aliofanyiwa Freeman Mbowe

Askofu Mwamakula Atangaza siku saba mfululizo za maombi kumshitakia Mungu juu ya uonevu aliofanyiwa Freeman Mbowe

View attachment 1870225

Niwakumbushe wenye madaraka nchi hii

1. Askofu Mwamakula na Sheikh Ponda waliomba dua ya Maangamizi kwa ambao wangeshiriki kuvuruga uchaguzi wa mwaka 2020, Nyote mnaona leo yule mvurugaji mkuu katwaliwa mapema kabisa hata miezi 6 ya kipindi cha pili hakuifaidi

7. Leo Askofu anatangaza dua kuhusu suala la Mbowe.

Hizi dua zichukulieni poa tu, lakini Siyo za kufanyia mchezo.
Zikianza kuwatafuna, msitafute mchawi!
Nitapiga tahajudi yangu saa Tisa usiku
 
Mwambie huyo mama wa kambo atokee akae mbele kupambana na hao wanaoogopa kuandamana, ili tuone anavyoogopeka.

Hivi choko ushawahi kuandamana hata siku moja? Unaweza hata kurusha jiwe kweli wewe?
 
askofu wa kanisa linaloruhusu ndoa za jinsia moja. anamwomba mungu gani, baali au Mungu anayekataza usodoma? hako kajamaa hakajui nini maana ya askofu. ameweka pembeni Biblia amekuwa chadema, si akagombee tu ubunge kama mwenzie gwajiboy? ni kavurugaji na serikali ifike mahali ichoke. wasimuogope, ni wakristo wachache sana wanamsapotu huyo kimbaumbau.
Inauma? Chomoa tu mkuu...tutachomeka ukipaka mate
 
😂😂😂haya maombi ayatofautiani na ya sheikh Kishki kumuomba Yarabi amtoe roho afande Sele lakini mpka leo jamaa anadunda tu.
Wewe ni zwazwazwa niin ? Unapoomba ukae ukielewa kuwa kujibiwa nako kunahitaji kuombewa vilevile,hao wanaoomba nimewachunguza hawaombi dua waliyoomba ikubaliwe zaidi ya kuitikia Amein ,Amina haijulikani ni kike au kiume,
Kwa Taarifa yenu unapoomba dua kwa unaemuomba basi pia uombe hio dua ulioiomba nayo ikubaliwe(Aikubali), itakuwa umefunga kazi na vilevile mabli ya maombi yote uliyoomba unaemuomba nae anahiari yake au mahesabu yake. Pengine aweke dua yako kwenye waiting list ili akupime na wewe muombaji ka unaweza kusubiri.
Dua ni kitu kizito sana usifananishe na maombi ya kazi unajibiwa papo kwa papo ipo au haipo.
 
Ww mwenyewe unaishi mjini kwa kutegemea wanaume, unawezaje kumnyooshea kidole askofu? Kwani serikali ya majizi ya kura inawaogopa hao wananchi, achia mbali hao wakristo unaosema ni wachache wanaomsupport? Kama serikali hii ingekuwa inakubalika tusingeona ule ushenzi na uhayawani kwenye uchaguzi mkuu na wa SM.
hivi huyo askofu ni wa kanisa gani, manake hata anglican hawamtambui, ni watu waliojitenga hata na anglican, na wewe kumwita kwako askofu usifikiri sisi wengine ni askofu kwetu, wengine tunamwona mhuni tu.
 
View attachment 1870225

Niwakumbushe wenye madaraka nchi hii

1. Askofu Mwamakula na Sheikh Ponda waliomba dua ya Maangamizi kwa ambao wangeshiriki kuvuruga uchaguzi wa mwaka 2020, Nyote mnaona leo yule mvurugaji mkuu katwaliwa mapema kabisa hata miezi 6 ya kipindi cha pili hakuifaidi

7. Leo Askofu anatangaza dua kuhusu suala la Mbowe.

Hizi dua zichukulieni poa tu, lakini Siyo za kufanyia mchezo.
Zikianza kuwatafuna, msitafute mchawi!
Maombi hasi hayo,
Hakuna ombi la mwamakula lililowahi kuwa positive ,
Anazidiwa na mwamposa
 
hivi huyo askofu ni wa kanisa gani, manake hata anglican hawamtambui, ni watu waliojitenga hata na anglican, na wewe kumwita kwako askofu usifikiri sisi wengine ni askofu kwetu, wengine tunamwona mhuni tu.
Kama ni mhuni tu, tusubiri tuone matokeo yake
 
hivi huyo askofu ni wa kanisa gani, manake hata anglican hawamtambui, ni watu waliojitenga hata na anglican, na wewe kumwita kwako askofu usifikiri sisi wengine ni askofu kwetu, wengine tunamwona mhuni tu.

Hata ww hao maaskofu unaowatambua hawafahimiki na kila mtu. Kama ni kujitenga na hiyo anglican, sio tatizo maana hata Lutheran ilijitenga na RC.
 
Endeleeni KUJIFAJIRI.....
Soon tutaanza kuimba Nyimbo,akifunga kampeni alimuomba Mungu awaaaibishe wote watakaovuruga uchaguzi mkuu Mungu akajibu maombi yake.
Watu dhalimu huwa ni kuwashtakia kwa Mola
 
Askofu wa kanisa linaloruhusu ndoa za jinsia moja. Anamwomba mungu gani, baali au Mungu anayekataza usodoma? hako kajamaa hakajui nini maana ya askofu. Ameweka pembeni Biblia amekuwa chadema, si akagombee tu ubunge kama mwenzie Gwajiboy? ni kavurugaji na serikali ifike mahali ichoke. Wasimuogope, ni wakristo wachache sana wanamsapotu huyo kimbaumbau.
Sawa.
Tunachojua sisi ni kwamba maombi ya kina Askofu Mwamakula "yalimrestisha ini pisi" mtu tarehe 17 March 2021.
 
Soon tutaanza kuimba Nyimbo,akifunga kampeni alimuomba Mungu awaaaibishe wote watakaovuruga uchaguzi mkuu Mungu akajibu maombi.
ifike kipindi, kama vile shehe ponda anavyoweza kupelekwa ndani, huyu askofu uchwara anayetoka kanisa linalosapoti ushoga, awekwe ndani na yeye. serikali ikiendelea kumwacha hivihivi anaona kama inamuogopa, pamoja na kwamba anatafuta attention.
 
Back
Top Bottom