Wale waliuwa magaidi, magaidi ni hatari kwa muislamu hatari kwa Mkristo gaidi hana dini.Mrusi kawapelekea Sana kuzimu magaidi.Ingekuwa dua na maombi yanajibiwa kwa binadamu kutaka basi GEORGE BUSH na OBAMA wangeshakuwa kaburini ama machizi....Wakristo na waislam wa Iraq na Syria WAMEOMBA SANA.....
#KaziIendelee