Askofu Mwamakula: DP World kujenga msikiti wa Masjid al jumaa wa Mbeya na kuendelea kusaidia dini ya kiislam nchini Tanzania!

Askofu Mwamakula: DP World kujenga msikiti wa Masjid al jumaa wa Mbeya na kuendelea kusaidia dini ya kiislam nchini Tanzania!

Wakiristo kwa ujumla huwa Wana ufikirio na kutaka kuwa Karibu na wenzao wa kiislam; ona Magufuli mpaka alichangisha kanisani kujenga msikiti chamwino, huwa wanavaa mavazi ya kiislam, Vatican iliikubalia Serikali ya italii kukajengwa msikiti maeneo ya Karibu ya Vatican (uliza kama makanisa yanaruhusiwa huko Saudia) huko Pemba tu juzi juzi walikataa Kanisa lisijegwe Pemba.
Yote hii ni kwa sababu Quran inawakataza Waislam kuwa na urafiki na wakiristo na wayahudi.
Weka hili akilini. Duniani tunaishi kwa hisani ya Ukristo. Mkristo anaheshimu imani za watu haijalishi ni ya namna gani.
Duniani kungekuwa kuna waislamu wengi kuliko wakristo. Waarabu wangeanzisha sharia na mtu yoyote angekataa kuwa muislsmu angeuwawa au kutengwa.
Nchi za wafrika weusi wangebaki kuwa watumwa na misikiti na visima vya kujitawazia vingekuwa vingi sana.
Zanzibar kuna waislam wengi lkn hakuna maendeleo, nenda sehemu zenye waislam wengi Zanzibar, Lindi, Mtwara, Tanga, Singida na Pwani.
Walichofanya DP hata ingekuwa ndiyo Roman Catholic ndiyo imechukua bandari wangeona aibu sana kujenga kanisa.
Nenda Mang'ora kijijini kuna kanisa kubwa la Roman catholic na hospita ila pembeni hatua chache kuna msikiti mkubwa na kisima cha kujitawazia.
Muarabu ni mtu wa ovyo sana
 
Uharamu uko hapa, hao waarabu kwenye ule mkataba wa hovyo, hakuna pesa yoyote watakayotoa kwenye serikali yetu, mfano kodi, hii kodi ambayo ni haki yetu waliyotunyima hao matapeli, kwa ushirikiano na ujinga wa viongozi wetu, ndio inaenda kuwajengea nyie msikiti mnaoshangilia hapa.
Hata wakijengewa itawasaidia nini baada ya kuwa misikiti mingi?
Anaenda kuswali na kujitawaza anatoka. Hapo anakuzidi nini?
Hapo ni kuwa makini tu ili wasianzishe vikundi vya kigaidi (islamic state)
 
Katika kosa la kiufundi alilolifanya ni hili la Leo,watu wengi wataanza kumdharau,na waislamu ambbao walikuwa wanamuunga mkono kwenye ishu ya bandari ndo keshswakosa hivyo
Kwahiyo waislamu wataacha kupinga ishu ya bandari kwa sababu wanajengewa misikiti?
 
Bora hata mzungu kuliko muarabu. Mwaarabu anakujengea msikiti na kisima cha kujitawazia halafu mzungu anakujengea kanisa, hospital na shule.
Wazungu walipokuja kutawala tanganyika walijenga makanisa, shule na hospital ila muarabu alijenga msikiti na kisima cha kujitawazia. Gadhafi na jina lake kubwa anajenga msikiti na kisima cha kujitawazia.
Sehemu ambapo kuna waislamu wengi hakuna maendeleo. Lindi na Mtwara mpk aibu.
Wajuaji wa duniani Wanasemaga Divide them and rule !! Tayari malumbano ya Bandari yamesha watawanya watu 😅😅 sasa ni malumbano ya dini gani ni afadhali kuliko nyingine 😂😂😂

Tuendelee kula mtori nyama tutazikuta chini 😅😅🙏🙏
 
Yani waislamu wa Tanzania sijui nani kawaambia kuwa mahitaji na maendeleo ya waislamu ni misikiti tu,yani wao hawahitaji huduma za afya wala elimu. Halafu cha ajabu bora hiyo misikiti ingekuwa inajengwa sehemu zenye uhitaji kweli wa misikiti kama vijijini huko ila unakuta misikiti yenyewe inajengwa mijini unakuta eneo moja misikiti kibao.
Hawa ndugu zetu bado wanaujinga mwingi sana. Nenda Singida kuna misikiti mikubwa na mizuri iliyojengwa kwa hela nyingi ila hakuna hata hospital au shule iliyojengwa karibu misikiti hiyo. Hii nafasi wangeitumia kujenga hospital, ingesaidia hata kupunguza ajira na kuinua vipato vya wananchi
N.B
Nia yao wajenge misikiti mingi kwa lengo watu waslimu halafu matokeo yake waanzishe vikundi vya kigaidi ili waanzishe dola la kiislamu.
 
Bora hata mzungu kuliko muarabu. Mwaarabu anakujengea msikiti na kisima cha kujitawazia halafu mzungu anakujengea kanisa, hospital na shule.
Wazungu walipokuja kutawala tanganyika walijenga makanisa, shule na hospital ila muarabu alijenga msikiti na kisima cha kujitawazia. Gadhafi na jina lake kubwa anajenga msikiti na kisima cha kujitawazia.
Sehemu ambapo kuna waislamu wengi hakuna maendeleo. Lindi na Mtwara mpk aibu.
Wapi kwenye Wakristo wengi kwenye Maendeleo?
 
Kampuni ya DP World ambayo katika Mkataba wa Bandari kati ya Ufalme wa Dubai na Serikali ya Tanzania ndiyo imepewa kuendesha Bandari zote Tanzania Bara (Tanganyika) inatumia faida inayopata katika biashara zake kusaidia misikiti na Waislamu kwa ujumla.

Mwaka huu wakati wa mfungo wa Radhamani, wawakilishi wa DP World walitembelea Mbeya ambako waliahidi kujenga Msikiti wa Masjid Al Jumaa na misaada mbalimbali. Baada ya hapo walisema wanakwenda Zanzibar ambako nako pia watafanya hayo hayo.

Video:
Video hii imerekodiwa kwa lugha ya Kingereza na Kiswahili na ilichukuliwa Mkoani Mbeya! Je, ulijua kuwa Kampuni ya DP ina malengo pia ya kukuza Uislamu mahali popote pale inapokuwa duniani? Je, ulijua kuwa DP World ina malengo ya kidini? Je, unafikiri hii ndiyo sababu Sheikh Mwaipopo alitoa kauli kali ya kutisha na kuonya Waislamu wasihudhurie Mkutano wa Temeke wa 23 Julai 2023 uliolenga kujadili na kuhoji Mkataba wa Bandari unaolalamikiwa sana?

Je, unafikiri kwa nini wawakilishi wa DP World walipofika hawakutembelea Makanisa, viwanja vya michezo, vyuo vikuu badala yake waliamua kutembelea Misikiti na kuahidi kutoa misaada huko? Je, faida watakayopata DP World katika kuendesha Bandari zetu itatokana na Kodi za Waislamu pekee?

Je, unafikiri moja ya sababu za Spika Dkt. Tulia kuutetea Mkataba wa Bandari na kufikia hatua ya kuwaita wanaoupinga kuwa ni 'wapumbavu wasiosha upumbavu wao' ni pamoja na hao DP World kutembelea Mbeya na kuwasidia wapiga kura wake Waislamu kwa kuaahidi kuwajengea Msikiti wa Masjid Al Jumaa?

Usimkarikie Askofu Mwamakula kwa kuandika haya na kuweka video hii hapa, wakasikirikie DP World kwa kuweka malengo yao wazi kuwa wanasaidia misikiti na sio dini nyingine. Pia, walaumu waliovujisha video hii hadi ikamfikia Askofu. Je, ni nani sasa anayeleta udini katika mjadala huu wa Mkataba wa Bandari? Je, ni DP World au wanaoupinga Mkataba wa Bandari?

Je, kuweka hadharani habari hizi ni uchochezi, uhalisia au uzalendo? Je, ni kwa nini viongozi wa Serikali na CCM hawaweki wazi wananchi katika mikutano yao ya hadhara kuwa faida mojawapo ya DP World ni pamoja na kujenga misikiti na kusaidia Uislamu? Je, ni kwa nini hili linafichwa wakati liko wazi hata katika malengo ya DP World? Kama Serikali haikujua malengo hayo, Waarabu hao wangesafiri hadi Mbeya kwa kificho na kuahidi kujenga misikiti nchini?
Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni yako?

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Dar es Salaam, 26 Julai 2023; 07:55 am.
Kukaribisha DPw mimi naona ni kukaribidha balaa nchini. Kwa masharti yale lazima watapandikiza mgogoro wa kidini. Tuwaepuke hawa watu. Hebu fikiri, kwa nini mashariki ya DRC migogoro haiishi. Mojawapo ya wachangiaji ni ADF. Hawa wameua watu sana tena kikatili kuwakata na mapanga na shoka kwa lengo la kueneza uislaam huko. Wanatumia njia mbaya wala haina matokeo yoyote ila mateso na uuaji tu kwa wakazi wa huko. Huwezi eneza dini yoyote kwa nguvu. Huko afrika ya magharibi hakuna utulivu ni mauaji tu. Si mali, burkina faso, tchad, sudan na sasa fujo zinaingia niger ni fujo na mauaji kwa dhana eti dini inaenezwa.
Watanzania tunaishi kwa amani miaka yote. Tusikaribishe wenye kutaka kutugawa kwa kisingizio cha dini huku nia yao kuu ni kutuibia mali na kutunyonya utajiri wa nchi yetu
 
Waislamu wa kweli ni waarabu (weupe) na Quran ni ya waarabu (weupe).
Mwaarabu mweupe anajua kuna maisha baada ya kuswali na kujitawaza kwahiyo atajenga shule, hospital n.k ndiyo maana nchi za waarabu weupe kuna maendeleo.
Mwaarabu mweupe anamchukulia mwaarabu mweusi ni nyani na mtumwa wake ndiyo maana hataki uende kwao kama Tunisia wakihofia wataharabu uarabuni wao weupe utapotea ndiyo maana hata watumwa wa kiafrika walikuwa wanahasiwa ili kizazi chao kisienee na wakati mwingine uawawa.
Mwaarabu mweupe hapendi kumuona mwaarabu mweusi anajua Quran yake ndiyo maana anakulazimisha utumie lugha yake ili usiendelee kujua, atakujengea msikiti na kisima cha kujitawazia kwasabbu ww ni mtumwa wake na usiwe na maendeleo. Gadhafi alipokuja alijenga msikiti. Je, maisha ni kuswali na kujitawaza? Ukiugua utaenda kujitawaza ili upone?
Unaweza kunitajia nchi ya waarabu weusi wenye maendeleo?
Kwa wajinga wa waarabu weusi hujilinganisha kama na wao waarabu weupe.
Kweli kabisa watu wengi hawajui waarabu walifanya ukatili mkubwa kuliko hata wazungu.
Pia kuna upotoshaji wa tafsiri ili kuficha madudu yao.
 
Hao majesuit au rotary hawatuibii, usilete makasiriko hapa, kama unaona misaada sifa, kaombe kwa wasafi wasio na uchafu.
Nani kakwambia hawatuibii hawa viongozi wa makanisa? Unajua serikali kila mwaka inapeleka grants bilioni ngapi kwenye hospitali za makanisa kulingana na MoU iliyopitishwa na nyerere tena hospitaliza walutheri na wakatoliki zote serikali inapeleka fedha sipati picha ingekuwa ni kwa waislamu ? Mambo mengine wakristo wezangu tukae kimya tu siyo ya kuzungumza hadharani tutaaibika.
 
Ni jambo jema

Ni vema nyumba za ibada zijengwe nyingi vijana wamjue Mungu

Kuna kampuni ya Iran uliwahi kujenga Misikiti kandi kando ya barabara ya Dar hadi Iringa ikiitwa Nurdhein Sijui

Binafsi niliona ni jambo jema kwa sababu hapo Mbeya kwenyewe Nabii na Mtume Mwamposa anajenga Hotel
Ile kampuni haikupewa tenda yoyote, hawakuwa na maslahi na serikali.
 
Kama hao waarabu wasingekuwa na doa, hayupo ambaye angehangaika kuuliza matumizi ya hela zao.

Kwani kule Dodoma hamjawahi kujengewa msikiti na Gaddafi? nani aliyelalamika kuuliza kwanini Gaddafi kawajengea? Hayupo.

Usijitoe akili makusudi kulinda maslahi yenu, ukweli ni kwamba, hao waarabu ni wachafu, na uchafu wao umethibitika kote walipokwenda kuwekeza dunia hii, hivyo hawawezi kufumbiwa macho na wasiopenda unafiki, wanaoijua kweli, na kuihubiri haki.

Na "christian fanatics" wa bongo walijua kuwa Gaddafi ni moja wa watu waliokuwa wakipanga kuueneza uislamu kwa hali na mali Afrika yote, na hawakupiga kelele kwa yeye kusaidia kujenga misikiti au kusaidia waislamu.

Zipo taasisi nyingi zinasaidia kuueneza uislamu,lakini si kwa gharama ya Watanzania wote.

Zipo taasisi ambazo zinasaidia kuueneza ukristo,lakini si kwa gharama ya Watanzania wote.

Wamisioni walijenga shule na hospitali,vituo vya afya,lakini havikuwalazimisha wasio wakristo kubadili dini. Vimekuwa vinahudumia watu wa dini zote bila ubaguzi.

Si sahihi kwa kampuni/shirika/taasisi inayopata fedha kutoka kwa Watanzania wote (dini,madhehebu,makabila mbalimbali) kutumia sehemu ya fedha wapatazo kufadhili upande mmoja tu.
 
Nani kakwambia hawatuibii hawa viongozi wa makanisa? Unajua serikali kila mwaka inapeleka grants bilioni ngapi kwenye hospitali za makanisa kulingana na MoU iliyopitishwa na nyerere tena hospitaliza walutheri na wakatoliki zote serikali inapeleka fedha sipati picha ingekuwa ni kwa waislamu ? Mambo mengine wakristo wezangu tukae kimya tu siyo ya kuzungumza hadharani tutaaibika.
Hizo pesa hupelekwa kwenye hospitali zote kubwa bila kujali dini.
 
Kampuni ya DP World ambayo katika Mkataba wa Bandari kati ya Ufalme wa Dubai na Serikali ya Tanzania ndiyo imepewa kuendesha Bandari zote Tanzania Bara (Tanganyika) inatumia faida inayopata katika biashara zake kusaidia misikiti na Waislamu kwa ujumla.

Mwaka huu wakati wa mfungo wa Radhamani, wawakilishi wa DP World walitembelea Mbeya ambako waliahidi kujenga Msikiti wa Masjid Al Jumaa na misaada mbalimbali. Baada ya hapo walisema wanakwenda Zanzibar ambako nako pia watafanya hayo hayo.

Video:
Video hii imerekodiwa kwa lugha ya Kingereza na Kiswahili na ilichukuliwa Mkoani Mbeya! Je, ulijua kuwa Kampuni ya DP ina malengo pia ya kukuza Uislamu mahali popote pale inapokuwa duniani? Je, ulijua kuwa DP World ina malengo ya kidini? Je, unafikiri hii ndiyo sababu Sheikh Mwaipopo alitoa kauli kali ya kutisha na kuonya Waislamu wasihudhurie Mkutano wa Temeke wa 23 Julai 2023 uliolenga kujadili na kuhoji Mkataba wa Bandari unaolalamikiwa sana?

Je, unafikiri kwa nini wawakilishi wa DP World walipofika hawakutembelea Makanisa, viwanja vya michezo, vyuo vikuu badala yake waliamua kutembelea Misikiti na kuahidi kutoa misaada huko? Je, faida watakayopata DP World katika kuendesha Bandari zetu itatokana na Kodi za Waislamu pekee?

Je, unafikiri moja ya sababu za Spika Dkt. Tulia kuutetea Mkataba wa Bandari na kufikia hatua ya kuwaita wanaoupinga kuwa ni 'wapumbavu wasiosha upumbavu wao' ni pamoja na hao DP World kutembelea Mbeya na kuwasidia wapiga kura wake Waislamu kwa kuaahidi kuwajengea Msikiti wa Masjid Al Jumaa?

Usimkarikie Askofu Mwamakula kwa kuandika haya na kuweka video hii hapa, wakasikirikie DP World kwa kuweka malengo yao wazi kuwa wanasaidia misikiti na sio dini nyingine. Pia, walaumu waliovujisha video hii hadi ikamfikia Askofu. Je, ni nani sasa anayeleta udini katika mjadala huu wa Mkataba wa Bandari? Je, ni DP World au wanaoupinga Mkataba wa Bandari?

Je, kuweka hadharani habari hizi ni uchochezi, uhalisia au uzalendo? Je, ni kwa nini viongozi wa Serikali na CCM hawaweki wazi wananchi katika mikutano yao ya hadhara kuwa faida mojawapo ya DP World ni pamoja na kujenga misikiti na kusaidia Uislamu? Je, ni kwa nini hili linafichwa wakati liko wazi hata katika malengo ya DP World? Kama Serikali haikujua malengo hayo, Waarabu hao wangesafiri hadi Mbeya kwa kificho na kuahidi kujenga misikiti nchini?
Je, nini kimekushangaza? Je, nini maoni yako?

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
Dar es Salaam, 26 Julai 2023; 07:55 am.
Hili ni jambo jema kabosa. Ndo maana wanabodi huwa mi nawaambia kuwa hawa DP WORLD ni watu wa kheri kabisa. Bado namlaumu sana madam President kwa nini anachelewesha kuwapa bandari hawa ndugu zetu ili walete neema?
 
Nlikuwa na maumivu makali sana juu ya huu mkataba kwa nchi yetu.Lakini kwa huu mtazamo huu wa Askofu,from now on I will never care about bandari any more.Kupitia serikali(chini ya kanisa katoliki)Ilizuia tusiwe katika nchi za jumuiya ya kiislam.Lakini na hili la bandari kumbe kelele zote ni kwasababu ya mawazo kuwa waislam tutafaidi?Am off.
Kwa hiyo wewe ulikuwa na maumivu makali sana juu ya mkataba bila kujua makosa ya huo mkataba!!??
 
Wajuaji wa duniani Wanasemaga Divide them and rule !! Tayari malumbano ya Bandari yamesha watawanya watu 😅😅 sasa ni malumbano ya dini gani ni afadhali kuliko nyingine 😂😂😂

Tuendelee kula mtori nyama tutazikuta chini 😅😅🙏🙏
- Hakuna dini nzuri duniani. Zote zina mapungufu
Kinachosikitisha ni kwamba yaani waislamu hawana mahitaji mengine zaidi ya msikiti na kisima cha kujitawazia?
  • Kibaya zaidi kampuni kubwa kama ile wameona watu wana mahitaji ya msikiti na kisima cha kujitawazia?
  • Watu wanahofu na kuwa huu ni mkataba wa mchongo wa kuiba mali tu. Kama unajengewa msikiti na kusima cha kujitawazia. Mahitaji ni hayo tu?
Hata angekuwa Papa anapewa bandari asingefanya jambo la kujenga kanisa tu.
Hii nchi wakipewa waislamu kutakuwa na misikiti mingi sana na visima vya kujitawazia. Ukitaka kwenda hospital inabid uende mbali sana kutafuta huduma.
Pale Mang'ora bila Kanisa Catholic, watu wangekuwa wanaenda mbali sana kutafuta huduma za afya maana pale kuna msikiti na kisima cha kujitawazia tu.
 
Baada ya kutoka kwenye uwekezaji sakata linaenda kwenye udini, Bongo hii kuna watu roho zinawauma saaana wanapoona tunaishi kwa amani, wanatamani kinuke ili wayatimize malengo, ikifika hapa tuu ndo huwa namkubali mjomba Magu na falsafa zake
Walioko madarakani kwa nchi yoyote ile ndio ulikoroga usisingizie watu kutoka nje, ni lini ukaona mwekezaji hata kazi hajaanza anaanza kujenga makanisa? Na kwa vyovyote vile ameongozwa na mwenyeji wake.
 
Back
Top Bottom