kwani yeye hawezi kunywa?Kwamba unataka kusema Madam President alikunywa Mbege aliposema kifo ni kifo tu kwenye podium huku akijua kwamba familia ndugu na jamaa wa mzee Kibao walikua na majonzi juu ya kifo Cha kikatili alichofanyiwa mpendwa wao, yeye akaongea usenge. Kulikua na umuhimu Gani wa kuonaisha matukio ya nyuma na tukio lile wakati alishauhadaa umma kuwa ametaka uchunguzi wa haraka? Do you think critically?
Unapovuruga utaratibu wa mambo lazima uwe tayari kuishi katika utaratibu uliovurugwa
Ujinga umekujaa umeandika gazeti ili ujisemee shule ulijifunza ujinga na kuhii unajua ushasema kila mmoja yupo huru kutoa maoni mbona wewe unanikataza ondoa ujinga mbele za watu!Katiba ya jamhurinya muungano wa Tanzania pamoja na ubovu wake, inatoa Haki na uhuru wa kutoa maoni Kwa jambo lolote lenye maslahi ya umma ilimradi maoni hayo hayavunji katika.
Uhuru wa kutoa maoni na kujieleza ni mojawapo ya kanuni za Kidemokrasia ambapo Tanzania inajinasibu kuwa nchi ya Kidemokrasia na kama inavyoelezwa katika katiba hivyo.
Tanzania ni mwanachama wa Umoja wa mataifa na imeridhia maazimio na mikataba mbali mbali ya Umoja wa mataifa na hivyo watu wake na serikali Yale wanapaswa kuyalinda na kutasimamia. Moja wapo ya maazimio hayo ni kuhusu Haki za binadamu (UDHR (1948). Na miongoni mwa Haki hizo ni Hali ya kuishi, Haki ya kujieleza na kutoa maoni.
Miongoni mwa kanuni za Kidemokrasia ni kuruhusu kufanya kazi kwa Civil society organisations ambapo miongoni mwao ni Taasisi na mashirika ya Dini kama TEC na BAKWATA,.
Moja wapo ya majukumu ya taaisisi hizi katika jamii ya Kidemokrasia ni kuhakikisha serikali na viongozi wake wanawajibika Kwa watu na wanawajibika Kwa matendo Yao yawe mabaya au mazuri! Na katika kutekelezwa majukumu yake njia Moja wapo ni pamoja na kuita vyombo vya habari na kueleza maoni na Msimamo wao, juu ya Haki za watu na mambo mengine yanayohusiana ikiwemo Haki za Kidemokrasia!
Kwakua yeye ni Miongoni mwa viongozi wa mojawapo ya taaisisi hizi ambazo serikali Yako inazitambua kisheria kupitia ofisi ya msajili wao, basi unaweza kupata majibu kuwa ameongea kama nani na kwanini ameongea hayo!
Shuleni ni mahali pa kupata maarifa na sio mahali pa kujifunza uchawa na ujinga kama huo ulioliza.
Katika andiko lote wewe umeona Hilo Ndio la maana! Jambo la kijinga lazima lioneshwe kwamba ni la kijinga. Mambo mengine ni simple education tu hayahitaji PhDUjinga umekujaa umeandika gazeti ili ujisemee shule ulijifunza ujinga na kuhii unajua ushasema kila mmoja yupo huru kutoa maoni mbona wewe unanikataza ondoa ujinga mbele za watu!
Kama utakua umenielewa usingeuliza hivi. Nilimuuliza Ili ajue ana double standardkwani yeye hawezi kunywa?
HUYU MSHE,,,,,,,,,,,,,,,,,,,DADEK YAANI NILITAKA NIMTUKANE TUSI KUBWA SANA SEMA LIMEPOTEA GAFLA ANAONGEA UJINGA GANI HAPA YAANI WATU WALIOKUFA KARIAKOO KWAKE SIYO BINADAMU ? SIJU HATA HUO UASKOFU NANI ALIMPATIA MTU MPUMBAVU NAMNA HII?“Juzi tumekuwa na janga pale Kariakoo, nchi imesimama kwa sababu ya janga la pale Kariakoo. Wote tumeguswa kwa ajili ya watu ambao tumetangaziwa 13 wamefariki, wale watu wamekufa wakati wanatafuta Maisha, wamekatishwa na kifusi kama Watanzania ni janga la kitaifa.”
“Lakini iweje mtu anachukuliwa, anachomolewa kwenye basi, anapigwa risasi au anauawa. Watu wanapotezwa, hili tunaliona kama sio janga la kitaifa. Kuna unafiki mkubwa sana katika nchi hii, hawa waliopotea wanatofauti gani na wale waliokufa pale Kariakoo, hawa waliopigwa risasi kuna tofauti gani na wale waliokufa pale Kariakoo. Iweje tubague maafa katika nchi hii. Utekaji unaendelea ambao ndio unatisha zaidi kuliko hata janga la Kariakoo.” – Askofu Mwamakula
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula ameeleza hayo leo Jumanne, Novemba 19, 2024 alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari katika Makazi ya Askofu yaliyoko mtaa wa Itunge/Iramba karibu na mtaa wa Ruaha eneo la Kituo cha Polisi, Rift Valley, Kimara Suka jijijni Dar es Salaam.
Mazungumzo ya Askofu Mwamakula yamejikita zaidi kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa 2024, uchambuzi wa tamko la Baraza la Maaskofu wa Katoliki (TEC) na Tamko la Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT), hali ya kisiasa ndani ya vyama vya siasa, tatizo la ajira nchini, utekaji, upotezwaji na mauaji ya wanasiasa na wakosoaji wa Serikali, maafa na uwezo wa Serikali kukabiliana nayo, mamlaka na uwezo wa Bunge katika kuisimamia Serikali; muelekeo na mustakabali wa madai ya Katiba Mpya, imani ya Watanzania kwa Serikali yao pamoja na imani yao kwa michakato ya chaguzi na demokrasia kwa ujumla.
SASA KWANINI ASEME UPANDE MMOJA UNAUMIA ZAIDI KULIKO WA KARIAKOO MIJITU MINGINE WALA HAIFAI KUKAA HAPA DUNIANI INAMALIZA HEWA YA BURE KAMA HILI JITU LINAJIITA ASKOFUNi mtazamo wake maana maumivu yake ni makali kwa pande zote mbili kwa wazazi ambao watoto wao wameangukiwa na vifusi na kwa wazazi ambao watoto wao wametekwa
NI MJINGA TU HUYU ANATAKA KIKI ZA KULAZIMISHAKwenye hili janga la kariakoo kuna familia zimepoteza watoto wao wapendwa, wanapomsikia askofu kama huyu wanajikuta wakilaani kauli zake.
Kwakweli kwenye utekaji watu wanaumia zaidi,SASA KWANINI ASEME UPANDE MMOJA UNAUMIA ZAIDI KULIKO WA KARIAKOO MIJITU MINGINE WALA HAIFAI KUKAA HAPA DUNIANI INAMALIZA HEWA YA BURE KAMA HILI JITU LINAJIITA ASKOFU
Tumia akili kufikiriHUYU MSHE,,,,,,,,,,,,,,,,,,,DADEK YAANI NILITAKA NIMTUKANE TUSI KUBWA SANA SEMA LIMEPOTEA GAFLA ANAONGEA UJINGA GANI HAPA YAANI WATU WALIOKUFA KARIAKOO KWAKE SIYO BINADAMU ? SIJU HATA HUO UASKOFU NANI ALIMPATIA MTU MPUMBAVU NAMNA HII?
Kashindwa kuongea kwa namna yenye kumpunguzia uadui kutoka kwa wahanga wa majanga yote mawili.Umetafakari au umeguswa ndo ukahisi haki yako ya kuandika ndo itazalisha andiko bora ktoka kwako?
Serikali inaongozwa na watu kama yeye, kwanza atimize wajibu wake ipasavyo ili awe na uhalali wa kimaadili wa kushambulia hao wahanga wa Kariakoo, vidonda vya kupoteza wapendwa wao bado ni vibichi kabisa angalau angetulia kidogo akiuacha muda ukipita.Mkuu kosa la Askofu hadi asakamwe hivyo ni nini?? Askofu hajabeza vifo vya kariakoo infact ameonyesha kusikitishwa kwake. Mkuu unaposema kuwa familia zilizopoteza watoto wao zina uchungu. Kwani familia za wahanga wa utekaji wao hawana uchungu kupoteza wapendwa wao??
Mkuu Askofu anaishauri serikali kutenda haki katika kushughulikia uzembe uliopelekea janga la kariakoo na janga la utekaji. Janga la utekaji limeua watu wengi pia.
Askofu anasisitiza kuwa watekaji kama wale wa kilivya, walionekana mchana kweupe, mwenye jengo liloanguka, mhandisi na watoa vibali wa manispaa au Jiji wote washughulikiwe kwa mujibu wa sheria.
1. Watu wote waliokufa katika majanga yote mawili ni binadamu na ni watanzania ambao wamepoteza haki zao za kuishi ambazo ni zawadi kutoka kwa Mungu.HUYU MSHE,,,,,,,,,,,,,,,,,,,DADEK YAANI NILITAKA NIMTUKANE TUSI KUBWA SANA SEMA LIMEPOTEA GAFLA ANAONGEA UJINGA GANI HAPA YAANI WATU WALIOKUFA KARIAKOO KWAKE SIYO BINADAMU ? SIJU HATA HUO UASKOFU NANI ALIMPATIA MTU MPUMBAVU NAMNA HII?
Kulinganisha hayo madhila haswa kwa muda huu ni kosa kalifanya huyo Askofu, angesubiri muda upite wakati wafiwa wakiwa wameanza kupona majeraha ya kuondokewa na wapendwa wao.Kwamba na wewe huoni kuchukuliwa na watu wasiojulikana kupelekwa ununio na kuuwawa huku unaona mpaka kitobolewa macho na kumwagiwa tindikali ni kitu kigumu sana! ?
Hasira ni hulka ya binadamu yeyote hasa mambo yanapokwenda hovyo, unadhani kama sio FAM kituliza zile hasira pale Tanga sinyangekua maafa mengine ambapo mbwa waklngewararua waombolezaji kwa mwamvuli wa kumlinda Master?
Lazima kukubaliana kwamba Impunity is not an order of the day neither the part of our culture!
Vijana wa Facebook wamehamia huku na kwakweli thinking capacity yao ndogo sana kiasi kwamba hawaezi kufanya reasoning na kufanya contextual analysis ya conveyed messageTumia akili kufikiri
Naungana na wewe katika Paragraph ya pili ila ya kwanza nitakuuliza swali baada ya kukupa maelezo kwamba. Viongozi waliopewa dhamana katika jamii wanaposhindwa kujenga misingi ya kuheshimu taratibu jamii ilizojiwekea ili kulinda heshima na utu wa mtu, ni rahisi kwa wale wanaoongozwa kuanza kuiga utamaduni wa namna hiyo na kuufanya wa kawiada sana bila kujali unasababisha maumivu kiasi gani.Kulinganisha hayo madhila haswa kwa muda huu ni kosa kalifanya huyo Askofu, angesubiri muda upite wakati wafiwa wakiwa wameanza kupona majeraha ya kuondokewa na wapendwa wao.
Hakuna janga lenye afadhali siku zote maumivu ni lazima yatokee, lakini hekima kwenye maongezi humpunguzia au humuongezea mtu ile hali ya kukubalika au kukataliwa.
Swala la marehemu Kibao na swala la kuanguka kwa jengo kariakoo ni vitu tofauti japokuwa yote mawili ni majanga.Naungana na wewe katika Paragraph ya pili ila ya kwanza nitakuuliza swali baada ya kukupa maelezo kwamba. Viongozi waliopewa dhamana katika jamii wanaposhindwa kujenga misingi ya kuheshimu taratibu jamii ilizojiwekea ili kulinda heshima na utu wa mtu, ni rahisi kwa wale wanaoongozwa kuanza kuiga utamaduni wa namna hiyo na kuufanya wa kawiada sana bila kujali unasababisha maumivu kiasi gani.
swali Langu, Je Rais wa nchi alisubiri muda upite wakati wafiwa wa Mzee Kibao wameanza kupona majeraha ya kuondokewa na mpendwa wao kabla ya kuja hadharani na kusema kifo ni kifo tu na kifo cha Kibao hakipaswi kustajabisha? wakati utaratibu mzima wa kumkamata mpaka kumuuwa unaelezwa uliponzia na watu waliohusika kutajwa hadharani? Lengo la Askofu ni kuwaonesha watawala na umma kwamba thamani ya uhai wa mtu haipaswi kupuuzwa hata kidogo. Nguvu inayotumika kariakoo ingetumika kuwatafuta watekwaji na watekaji watu wangelia pamoja lakini ni tofauti kabisa.