Askofu Mwamakula: Janga la Kariakoo sio kubwa kama La utekaji

kwani yeye hawezi kunywa?
 
Ujinga umekujaa umeandika gazeti ili ujisemee shule ulijifunza ujinga na kuhii unajua ushasema kila mmoja yupo huru kutoa maoni mbona wewe unanikataza ondoa ujinga mbele za watu!
 
Ujinga umekujaa umeandika gazeti ili ujisemee shule ulijifunza ujinga na kuhii unajua ushasema kila mmoja yupo huru kutoa maoni mbona wewe unanikataza ondoa ujinga mbele za watu!
Katika andiko lote wewe umeona Hilo Ndio la maana! Jambo la kijinga lazima lioneshwe kwamba ni la kijinga. Mambo mengine ni simple education tu hayahitaji PhD
 
Msisahau,
Janga la kuharibu uchaguzi ni kubwa pia zaidi ya poromoko la ghorofa kariakoo

Kama unatumia hisia kutafakari, hapa hautaelewa pia!
 
HUYU MSHE,,,,,,,,,,,,,,,,,,,DADEK YAANI NILITAKA NIMTUKANE TUSI KUBWA SANA SEMA LIMEPOTEA GAFLA ANAONGEA UJINGA GANI HAPA YAANI WATU WALIOKUFA KARIAKOO KWAKE SIYO BINADAMU ? SIJU HATA HUO UASKOFU NANI ALIMPATIA MTU MPUMBAVU NAMNA HII?
 
Ni mtazamo wake maana maumivu yake ni makali kwa pande zote mbili kwa wazazi ambao watoto wao wameangukiwa na vifusi na kwa wazazi ambao watoto wao wametekwa
SASA KWANINI ASEME UPANDE MMOJA UNAUMIA ZAIDI KULIKO WA KARIAKOO MIJITU MINGINE WALA HAIFAI KUKAA HAPA DUNIANI INAMALIZA HEWA YA BURE KAMA HILI JITU LINAJIITA ASKOFU
 
SASA KWANINI ASEME UPANDE MMOJA UNAUMIA ZAIDI KULIKO WA KARIAKOO MIJITU MINGINE WALA HAIFAI KUKAA HAPA DUNIANI INAMALIZA HEWA YA BURE KAMA HILI JITU LINAJIITA ASKOFU
Kwakweli kwenye utekaji watu wanaumia zaidi,

Mtu anatekwa, anateswa siku kadhaa au wiki kadhaa, mwisho wa siku anauawa kikatili,

Kwenye poromoko hakuna mateso ya wiki kadhaa Kama yule aliyetekwa
Ukuta ukikuporomokea unakufa papo hapo au baada ya dakika kadhaa

Utekaji ni endelevu,
Mtu yeyote atatekwa popote. Chance ya mtu kutekwa Tanzania ni kubwa kuliko ile ya kuporomokewa ghorofa

Utekaji umeua watu wengi kuliko ghorofa

Majanga makuu ya Taifa ni matatu tu

1, Katiba

2. Ajali barabarani

3. Utekaji

Ukiamua kuorodhesha majanga madogomdogo ya Taifa ni mengi ikiwa pamoja na kuporomoka ghorofa
 
HUYU MSHE,,,,,,,,,,,,,,,,,,,DADEK YAANI NILITAKA NIMTUKANE TUSI KUBWA SANA SEMA LIMEPOTEA GAFLA ANAONGEA UJINGA GANI HAPA YAANI WATU WALIOKUFA KARIAKOO KWAKE SIYO BINADAMU ? SIJU HATA HUO UASKOFU NANI ALIMPATIA MTU MPUMBAVU NAMNA HII?
Tumia akili kufikiri
 
Msisahau,
Janga la kuharibu uchaguzi ni kubwa pia zaidi ya poromoko la ghorofa kariakoo

Kama unatumia hisia kutafakari, hapa hautaelewa pia!
mihapase hawezi elewa hili.. ataishia kutukana.. na hii ni kutokana na janga alilopata la elimu duni kutoka kwa ccm.
 
Serikali inaongozwa na watu kama yeye, kwanza atimize wajibu wake ipasavyo ili awe na uhalali wa kimaadili wa kushambulia hao wahanga wa Kariakoo, vidonda vya kupoteza wapendwa wao bado ni vibichi kabisa angalau angetulia kidogo akiuacha muda ukipita.
 
HUYU MSHE,,,,,,,,,,,,,,,,,,,DADEK YAANI NILITAKA NIMTUKANE TUSI KUBWA SANA SEMA LIMEPOTEA GAFLA ANAONGEA UJINGA GANI HAPA YAANI WATU WALIOKUFA KARIAKOO KWAKE SIYO BINADAMU ? SIJU HATA HUO UASKOFU NANI ALIMPATIA MTU MPUMBAVU NAMNA HII?
1. Watu wote waliokufa katika majanga yote mawili ni binadamu na ni watanzania ambao wamepoteza haki zao za kuishi ambazo ni zawadi kutoka kwa Mungu.
2. Vifo vyote viwili vimeacha majeraha na maumivu makubwa kwa ndugu jamaa na marafiki wa wale walipoteza maisha yao, ikizingatiwa kwamba wengine walikua ndio wanajitafuta kimaisha na wengine walishaanza kujitegemea.
3.Tofauti ni kwamba ile Sauti ya juu ya mamlaka ya nchi ambayo ina dhamana na wajibu wa kikatiba kulinda uhai wa watu na kuhakikisha kwamba watu wote wanakua salama wakati wote na kwamba kama ni majnga kama la kariakoo basi kuwe na utayari uliokamilika kukabiliana na majanga husika lakini hali ilikua tofauti.
4. Utofauti mwingine ambao naamini ulipswa hata wewe kunukuu hayo maneno hapo juu ni Tamko la namba moja kwamba kifo cha mtu aliyetekwa ni kifi kama kifo kingine tu na hakipaswi kupigiwa kelele kana kwamba ni cha ajabu sana, lakini naamini hukufanya hivyo pasina kujua kuna wakati litatotea tofauti.
5. Juhudi zinazofanyika Kunusru uhai wa watu wa kariakoo pamoja na faraja ya serikali zingetumika kuwatafuta wale wanaosadikika kutekwa na wale waliotajwa zingetumika hivi ni dhahiri huo mtanziko usingekuepo.
6.Tabia ya serikali zote duniani kuwa na impunity na kukwepa accountability huwafanya raia na wao kuishi mfumo huo wa maisha ambao ni hatari sana kwa jamii. Rejea Tundu Lissu na Juzi yule Mwenyekiti wa CCM kilolo.
7. Kosa la askofu hapa ambalo naliona hata mimi ni kusema janga la kariakoo sio kubwa kuliko la utekaji mitaarafu yote yamegharimu uhai wa binadamu.
 
Unafiki unaenda kuua nchi, kwa kweli kama asemavyo Askofu, Watanzania tumeonyesha ujinga wetu kwa kubagua matukio yanayoondoa uhai wa wenzetu!!

Ni kama vile Watanzania wote tunafahamu tayari kuwe serikali ndio inayoteka na kuua wananchi wake, hivyo kwa kuwa tunaichukulia serikali kama ni dude lililoshindikana tunaogopa kusema lolote au kukemea kwa umoja wetu pale mtu anapotekwa na kuuwawa.

Shame on us!!
 

Attachments

  • IMG_20241024_115541_382.jpg
    656.6 KB · Views: 1
Kulinganisha hayo madhila haswa kwa muda huu ni kosa kalifanya huyo Askofu, angesubiri muda upite wakati wafiwa wakiwa wameanza kupona majeraha ya kuondokewa na wapendwa wao.

Hakuna janga lenye afadhali siku zote maumivu ni lazima yatokee, lakini hekima kwenye maongezi humpunguzia au humuongezea mtu ile hali ya kukubalika au kukataliwa.
 
Naungana na wewe katika Paragraph ya pili ila ya kwanza nitakuuliza swali baada ya kukupa maelezo kwamba. Viongozi waliopewa dhamana katika jamii wanaposhindwa kujenga misingi ya kuheshimu taratibu jamii ilizojiwekea ili kulinda heshima na utu wa mtu, ni rahisi kwa wale wanaoongozwa kuanza kuiga utamaduni wa namna hiyo na kuufanya wa kawiada sana bila kujali unasababisha maumivu kiasi gani.
swali Langu, Je Rais wa nchi alisubiri muda upite wakati wafiwa wa Mzee Kibao wameanza kupona majeraha ya kuondokewa na mpendwa wao kabla ya kuja hadharani na kusema kifo ni kifo tu na kifo cha Kibao hakipaswi kustajabisha? wakati utaratibu mzima wa kumkamata mpaka kumuuwa unaelezwa uliponzia na watu waliohusika kutajwa hadharani? Lengo la Askofu ni kuwaonesha watawala na umma kwamba thamani ya uhai wa mtu haipaswi kupuuzwa hata kidogo. Nguvu inayotumika kariakoo ingetumika kuwatafuta watekwaji na watekaji watu wangelia pamoja lakini ni tofauti kabisa.
 
Swala la marehemu Kibao na swala la kuanguka kwa jengo kariakoo ni vitu tofauti japokuwa yote mawili ni majanga.

Unaleta ile hadithi ya swali la nyongeza bungeni, kwamba umeamua kuchomekea mada nyingine kwenye mada ya huu uzi inayojitegemea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…