Askofu Mwamakula kuongoza matembezi ya hiyari kuhamasisha Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi

Askofu Mwamakula kuongoza matembezi ya hiyari kuhamasisha Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi

Katiba yeyote iatakayoandikwa Jiwe akiwa madarakani itakuwa Mbaya zaidi kwa ustawi wa nchi kuliko hii ya sasa!!! Tupate TUME HURU KWANZA itakayosimamia Uchaguzi uliokuwa huru na wabunge watakaopatikana ndio washiriki kuunda katiba ya wananchi!!! Penginepo watabaka tena matakwa ya wananchi kutaka katiba yao kama walivyofanya enzi ya Vasco Dagama!!! CCM ya Magufuli sio chama cha siasa bali ni CULT; atakalo yeye ndlo hakuna wa kupinga!!!
Hoja nzuri sana na sahihi
 
Askofu anapaswa kulisha kondoo maandamano na matembezi sio sehemu ya chakula cha kondoo,imetosha kusema askofu anataka watu wailaumu serikali kwaajili yake na hakuna namna watailaumu tu.
 
Kabla kudai katiba mpya arudi asome katiba ya kanisa lake inasenaje kuhusu kazi zake za kiaskofu kabla serikali haijachukulia hatua kanisa lake ikiwemo kulifunga na kulifutia usajili
 
Asante sana baba Askofu.

Unatuthibitishia ujasiri wako kama mtoto wa chief Mwamakula.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Bandekile Maana yake Wamemuachaaaaaa kutokana na kuwa na tabia Amvayohaiendani nao. Kanisa la Moravian Tanzania walimtenga kutokana na ugombanishi wake Kanisani, Anajiita Askofu lakini hana hadhi ya uaskofu n.k.

Hapo anatafuta Kiki ya kutafuta waumini kwa nguvu ila hana mvuto wala upako
 
Hili ndilo suala la msingi kabisa! Tena tumechelewa mnoo!

Katiba hii inaruhusu mtu au watu wawe juu ya sheria za nchi. Sababu kuu ni hakuna “accountability”
Mbona hata tuliyo nayo akina Ndugai na wenzake wanaisigina?.
 
Kazi ya matembezi ya kisiasa yamo kwenye katiba ya kanisa lake? Serikali ifute usajili wa hilo kanisa
Kuwa kanisani hakumwondolei haki zake nyingine kama raia wa Tanzania, ikiwamo hii ya kudai katiba.

Isitoshe, hajaitisha maandamano kwa ajili ya kanisa lake tu.

Na ole wake vinavyojiita vyombo vya dola vimguse.... pigo takatifu toka mbinguni linawasubiri!
 
Huyu ni POPE naye pia anatafuta kiki kwa kutafuta waumini kwa nguvu kwa kupinga UDHALIMU. Na tabia yake haiendani na kanisa kwani UDHALIMU dhidi ya raia kanisa halihusiki hivyo ni muhimu kupiga kimya tu.

Bandekile Maana yake Wamemuachaaaaaa kutokana na kuwa na tabia Amvayohaiendani nao. Kanisa la Moravian Tanzania walimtenga kutokana na ugombanishi wake Kanisani, Anajiita Askofu lakini hana hadhi ya uaskofu n.k.

Hapo anatafuta Kiki ya kutafuta waumini kwa nguvu ila hana mvuto wala upako
 
Askofu anapaswa kulisha kondoo maandamano na matembezi sio sehemu ya chakula cha kondoo,imetosha kusema askofu anataka watu wailaumu serikali kwaajili yake na hakuna namna watailaumu tu.
Haina tatizo.
 
Uko sawa kabisa polisiccm watakuwa tayari kutumia hata silaha za moto ili kuzuia matembezi hayo kwa maelekezo ya huyo anayejiita mwendawazimu kwani kwake yeye ataona kama ANAPINGWA.
Nasisitiza Polisi wasitukumbushe jeshi lilivo tokana mpaka kufika hapo lilipo

Tukiwa mashuleni Chuo cha Polisi ccp Moshi ndiyo chuo pekee kilikuwa walio shindwa kuelewa tulichokuwa tunafundishwa mashuleni sasa nategemea tuone mageuzi ya kweli pale ccp ndiyo inatoa vichwa vinavyo toa elimu nzuri ya sheria inayo wafikia raia mojakwamoja Hivyo ma OCD sitegemei kuzuia mchakato
 
Back
Top Bottom