Askofu Mwamakula kuongoza matembezi ya hiyari kuhamasisha Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi

Askofu Mwamakula kuongoza matembezi ya hiyari kuhamasisha Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi

Pumba.vu!. Askofu ana raha gani kulisha kondoo ambao wapo oppressed? Ni dhambi kwa Mungu kwa watumishi wa Mungu kufumbia macho udhalimu. Askofu huyu hataki kubeba hiyo dhambi.
Ni mtumishi wa MUNGU wa kweli sn huyo pamoja na Bagonza
 
Sasa Kama Kuna hiyo nguvu ya mbinguni kwa nini asitumie hiyo anaingia na nguvu ya kibinadamu ya kuandamana? Hana nguvu yeyote ya mbinguni huyo tapeli tu
Kama nguvu ya mbinguni pekee inatosha kwa nini kuna makanisa na misikiti?
 
Huyu mzee atulie asitafute matatizo na sirikali hauji kama hizo ndiyo silaha kubwa za sirikali kuwachapia wanyonge..

Vuta picha kuna tume huru ya uchaguzi ambayo ndani yake kuna viongozi waotokana na vyama vya siasa kila mmoja anapigania masirahi ya chama chake!

Vuta picha wakurugenzi siyo wasimamizi wakuu wa uchaguzi katika jmajimbo, makada watiifu.

Embe endelea kuvuta picha mwenyekiti na tume na mkurugenzi hawajateuliwa na mkuu wa kaya kulinda masirahi yake na badae kugonga mvinyo pamoja katika hafla fupi baada ya ushindi wa mezani

Vuta picha wanachi wanapata mamlaka ya kumwajibisha mbuge au diwani ambae hatekelezi majukumu yake kama alivyoahidi kwenye kampeni yani anaondolewa hata kabla ya mitano tena kuisha.

Embu vuta picha mkuu wa kitengo hana tena kinga ya kisheria anashitakiwa baadaya ya kutoka madarakani kwa matumizi mabaya ya ofisi na kukanyaga katiba

Endelea kuzoom picha mjongeo mtetezi wa wanawake aka kazi mdungaye hana tena kinga kikatiba anashitakiwa tu kama raia wengine..

Wataweza kweli kuleta katiba mpya?
Lazima wailete pale tutakapo amua kama watanzania kuingia barabarani hakuna lisilowezekana
 
Namashuri tu kwanza angeanza na matembezi ya waumini wake ndipo aje ya mji wake kisha nchi nzima.

Kwanza huyo ni askofu qa kanisa gani? Maana huwa nasikisikia tu mwamakula. Ushawishi wake kwanza kwenye mji aliopo ukoje?

Watu wengine wakishashiba zaka na sadaka wanakosa cha kufanya.

Mimi nadhani kuna namna bora ya kufikisha ujumbe wa kuandikwa kwa katiba mpya na tume huru. Lakini hayo ndio mahitaji ya msingi ya watanzania kwa sasa.

Mimi namshauri aanze kwanza kabla ya kudai katiba mpya kwa matembezi ambao ni ushamba na kukariri atueleze
1. Hii iliyopo ina mapungufu gani, imechangia vipi kutufikisha hapa tulipo, imekwamishaje maendeleo ya nchi na ya mtu mmoja mmoja nk.
2. Hiyo anayoitaka inatakiwa kuwa iwe na vitu gani vitavyo harakisha maendeleo ya nchi na ustawi wa mtu mmoja mmoja. Isije kuwa kama Kenya wameandika katiba mpya miaka hata 10 haijaisha wanaandika tena katiba nyingine, ni upuuzi tu. Na je hiyo katiba mpya walioandika ni kwa maslahi ya wananchi au wanasiasa.
3. Tume huru ya uchaguzi, je hii iliyopo sio huru, kivipi sio huru? Watu wanadai matokeo yamepikwa. Ushahidi wa kuiba kura uko wapi? Sio mnapiga kelele gari imekamatwa ikiwa masanduku ya kura zimepigwa kwa Magufuli. Gari la nani? Gari namba gani za usajili? Kwanini hamkulilipoti tume ya uchaguzi au waangalizi wa kimataifa likiwa na ushahidi. Mbona kura mlizokamata mlikuwa mnazichoma moto kupoteza ushahidi.

Kwa ujumla ni wanasiasa kutafuta vurugu tu na kusema muonekane mpo kwenye siasa lakini sio kwa maslahi ya wananchi. Kabla ya kuwatembeza hata waumini wake kudai katiba mpya na tume. Ni bora angewatembeza kuwafunza kuwajibika kujiletea maendeleo wao na taifa lao. Utakuta waumini wenyewe ni maskini tu na wala hawajitambui

Namhakikishia, wala polisi hawatahangaika kuzima maandamano uchwara, yatajizima yenyewe
Maelezo mengi kama vile hauishi huko Tanzania, so unaulizia ushahidi wa kura feki zilizokamatwa? Pathetic
 
Mungu hawezi mbariki kwa hili jambo analotaka kufanya zaidi ataabika tu. Mungu kamchagua ahubiri afungue makanisa ili watu waokolewe waacha uzinzi, ulevi, n. k mbona sasa anakwenda tofauti na maagizo ya Mungu. Inamaana kazi aliyotumwa kuifanya ameimaliza.
Mbona huo mwaliko wewe haukuhusu! Au unataka kuja na kadi ya wale wenye itikadi tofauti?
 
ASKOFU KUONGOZA MATEMBEZI YA HIARI YA RAIA KUHAMASISHA UUNDAJI WA TUME HURU YA UCHAGUZI NA UANDIKAJI WA KATIBA MPYA NCHINI TANZANIA!

Wapendwa Watanzania!

Tunapenda kuwajulisha kuwa Askofu Mwamakula, anakusudia kuongoza Matembezi ya Hiari ya Raia yasiyopungua umbali wa Kilometa 15 katika Mikoa mbalimbali nchini Tanzania na nje ya nchi. Watu watakaoshiriki Matembezi hayo watatokea kila kona za mji husika hadi sehemu ya kukutania ambapo watu wote watakusanyika kwa ajili ya kufikisha au kutolea ujumbe. Ili kuepusha usumbufu, watu watakuwa wanatembea kimakundi lakini kila kundi halitazidi watu 20 na kama watu watakuwa wengi kutokea njia moja kutakuwa na muachano au umbali wa kilomita moja kati ya kundi na kundi njiani!

Lengo la Matembezi hayo ni kuwahamasisha Watanzania umuhimu wa Kuunda Tume Huru ya Uchaguzi na Kuandika Katiba Mpya kabla ya Mwaka 2025. Kwa mazingira yaliyopo sasa ambapo Bunge la Tanzania limekuwa ni Bunge la Chama kimoja ambacho katika Ilani yake hawana hoja ya Tume Huru na Katiba Mpya, hatuwezi kutegemea mambo hayo kuanzishwa na Bunge hili. Hata hivyo, watu wa makundi yote watahamasishwa kushiriki Matembezi hayo pasipo kujali vyama na itikadi zao.

Kila mkoa au mji utakuwa na Timu ya Uratibu ambayo itasaidia kuratibu na kuandaa Matembezi hayo. Wale watakaopenda kusaidia au kuwezesha Matembezi hayo wataelekezwa kuwasiliana na Timu ya Uratibu ya Kitaifa itakayosaidia Uratibu kwa niaba ya Askofu. Timu hiyo ya Uratibu wa Kitaifa sambamba na Timu za Mikoani zitatangazwa mapema kuanzia Januari 2021 baada ya kuundwa!

Kwa taarifa hii, tunaomba Watanzania wote wajiandae kushiriki Matembezi hayo katika kila Mkoa. Matembezi hayo yataanza mapema mwaka 2021 na tarehe ya kila Mkoa itatangazwa na utaratibu wote. Kuanzia Januari 2021, Askofu atatangaza rasmi utaratibu wa namna ya kushiriki ikiwemo Waratibu wa Matembezi katika kila Mkoa!

Kwa Watanzania walioko nje ya Tanzania, Askofu anaweza kufika katika nchi hizo endapo wataweza kuandaa mazingira.

Kwa sasa Askofu anamuomba kila mtu kusambaza ujumbe huu ili kuwaandaa Watanzania wote kwa matukio hayo ya kihistoria!

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!

Askof Mkuu Emmaus Bandekile Mwamakula

Hii njia ya huyu askofu safi sana. Tutajitokeza kwa wingi wetu. Kwa sasa hii ndio sahihi ya kupata katiba mpya. Hapa bunge hili kibogoyo la wezi wa kura lisihusishwe kabisa maana litaishia kutuletea katiba yenye maslahi ya ccm na sio nchi.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
ASKOFU KUONGOZA MATEMBEZI YA HIARI YA RAIA KUHAMASISHA UUNDAJI WA TUME HURU YA UCHAGUZI NA UANDIKAJI WA KATIBA MPYA NCHINI TANZANIA!

Wapendwa Watanzania!

Tunapenda kuwajulisha kuwa Askofu Mwamakula, anakusudia kuongoza Matembezi ya Hiari ya Raia yasiyopungua umbali wa Kilometa 15 katika Mikoa mbalimbali nchini Tanzania na nje ya nchi. Watu watakaoshiriki Matembezi hayo watatokea kila kona za mji husika hadi sehemu ya kukutania ambapo watu wote watakusanyika kwa ajili ya kufikisha au kutolea ujumbe. Ili kuepusha usumbufu, watu watakuwa wanatembea kimakundi lakini kila kundi halitazidi watu 20 na kama watu watakuwa wengi kutokea njia moja kutakuwa na muachano au umbali wa kilomita moja kati ya kundi na kundi njiani!

Lengo la Matembezi hayo ni kuwahamasisha Watanzania umuhimu wa Kuunda Tume Huru ya Uchaguzi na Kuandika Katiba Mpya kabla ya Mwaka 2025. Kwa mazingira yaliyopo sasa ambapo Bunge la Tanzania limekuwa ni Bunge la Chama kimoja ambacho katika Ilani yake hawana hoja ya Tume Huru na Katiba Mpya, hatuwezi kutegemea mambo hayo kuanzishwa na Bunge hili. Hata hivyo, watu wa makundi yote watahamasishwa kushiriki Matembezi hayo pasipo kujali vyama na itikadi zao.

Kila mkoa au mji utakuwa na Timu ya Uratibu ambayo itasaidia kuratibu na kuandaa Matembezi hayo. Wale watakaopenda kusaidia au kuwezesha Matembezi hayo wataelekezwa kuwasiliana na Timu ya Uratibu ya Kitaifa itakayosaidia Uratibu kwa niaba ya Askofu. Timu hiyo ya Uratibu wa Kitaifa sambamba na Timu za Mikoani zitatangazwa mapema kuanzia Januari 2021 baada ya kuundwa!

Kwa taarifa hii, tunaomba Watanzania wote wajiandae kushiriki Matembezi hayo katika kila Mkoa. Matembezi hayo yataanza mapema mwaka 2021 na tarehe ya kila Mkoa itatangazwa na utaratibu wote. Kuanzia Januari 2021, Askofu atatangaza rasmi utaratibu wa namna ya kushiriki ikiwemo Waratibu wa Matembezi katika kila Mkoa!

Kwa Watanzania walioko nje ya Tanzania, Askofu anaweza kufika katika nchi hizo endapo wataweza kuandaa mazingira.

Kwa sasa Askofu anamuomba kila mtu kusambaza ujumbe huu ili kuwaandaa Watanzania wote kwa matukio hayo ya kihistoria!

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!

Askof Mkuu Emmaus Bandekile Mwamakula
hivi we ni nani yake na mwamakula?? We ndo mzee wa kanisa??
Na huyo mwamakula ni mchunga mbuzi au.mchungaji wa nini hasa??

Wewe na aliye kutuma kapimeni UTI kabla ya kupost pumba zenu hapa😠
 
ASKOFU KUONGOZA MATEMBEZI YA HIARI YA RAIA KUHAMASISHA UUNDAJI WA TUME HURU YA UCHAGUZI NA UANDIKAJI WA KATIBA MPYA NCHINI TANZANIA!

Wapendwa Watanzania!

Tunapenda kuwajulisha kuwa Askofu Mwamakula, anakusudia kuongoza Matembezi ya Hiari ya Raia yasiyopungua umbali wa Kilometa 15 katika Mikoa mbalimbali nchini Tanzania na nje ya nchi. Watu watakaoshiriki Matembezi hayo watatokea kila kona za mji husika hadi sehemu ya kukutania ambapo watu wote watakusanyika kwa ajili ya kufikisha au kutolea ujumbe. Ili kuepusha usumbufu, watu watakuwa wanatembea kimakundi lakini kila kundi halitazidi watu 20 na kama watu watakuwa wengi kutokea njia moja kutakuwa na muachano au umbali wa kilomita moja kati ya kundi na kundi njiani!

Lengo la Matembezi hayo ni kuwahamasisha Watanzania umuhimu wa Kuunda Tume Huru ya Uchaguzi na Kuandika Katiba Mpya kabla ya Mwaka 2025. Kwa mazingira yaliyopo sasa ambapo Bunge la Tanzania limekuwa ni Bunge la Chama kimoja ambacho katika Ilani yake hawana hoja ya Tume Huru na Katiba Mpya, hatuwezi kutegemea mambo hayo kuanzishwa na Bunge hili. Hata hivyo, watu wa makundi yote watahamasishwa kushiriki Matembezi hayo pasipo kujali vyama na itikadi zao.

Kila mkoa au mji utakuwa na Timu ya Uratibu ambayo itasaidia kuratibu na kuandaa Matembezi hayo. Wale watakaopenda kusaidia au kuwezesha Matembezi hayo wataelekezwa kuwasiliana na Timu ya Uratibu ya Kitaifa itakayosaidia Uratibu kwa niaba ya Askofu. Timu hiyo ya Uratibu wa Kitaifa sambamba na Timu za Mikoani zitatangazwa mapema kuanzia Januari 2021 baada ya kuundwa!

Kwa taarifa hii, tunaomba Watanzania wote wajiandae kushiriki Matembezi hayo katika kila Mkoa. Matembezi hayo yataanza mapema mwaka 2021 na tarehe ya kila Mkoa itatangazwa na utaratibu wote. Kuanzia Januari 2021, Askofu atatangaza rasmi utaratibu wa namna ya kushiriki ikiwemo Waratibu wa Matembezi katika kila Mkoa!

Kwa Watanzania walioko nje ya Tanzania, Askofu anaweza kufika katika nchi hizo endapo wataweza kuandaa mazingira.

Kwa sasa Askofu anamuomba kila mtu kusambaza ujumbe huu ili kuwaandaa Watanzania wote kwa matukio hayo ya kihistoria!

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!

Askof Mkuu Emmaus Bandekile Mwamakula
Akahamasishe watu waende kusali. Mbona Mwamakula unatelekeza kondoo wako? Rudi kwenye kazi yako ya Mungu
 
ASKOFU KUONGOZA MATEMBEZI YA HIARI YA RAIA KUHAMASISHA UUNDAJI WA TUME HURU YA UCHAGUZI NA UANDIKAJI WA KATIBA MPYA NCHINI TANZANIA!

Wapendwa Watanzania!

Tunapenda kuwajulisha kuwa Askofu Mwamakula, anakusudia kuongoza Matembezi ya Hiari ya Raia yasiyopungua umbali wa Kilometa 15 katika Mikoa mbalimbali nchini Tanzania na nje ya nchi. Watu watakaoshiriki Matembezi hayo watatokea kila kona za mji husika hadi sehemu ya kukutania ambapo watu wote watakusanyika kwa ajili ya kufikisha au kutolea ujumbe. Ili kuepusha usumbufu, watu watakuwa wanatembea kimakundi lakini kila kundi halitazidi watu 20 na kama watu watakuwa wengi kutokea njia moja kutakuwa na muachano au umbali wa kilomita moja kati ya kundi na kundi njiani!

Lengo la Matembezi hayo ni kuwahamasisha Watanzania umuhimu wa Kuunda Tume Huru ya Uchaguzi na Kuandika Katiba Mpya kabla ya Mwaka 2025. Kwa mazingira yaliyopo sasa ambapo Bunge la Tanzania limekuwa ni Bunge la Chama kimoja ambacho katika Ilani yake hawana hoja ya Tume Huru na Katiba Mpya, hatuwezi kutegemea mambo hayo kuanzishwa na Bunge hili. Hata hivyo, watu wa makundi yote watahamasishwa kushiriki Matembezi hayo pasipo kujali vyama na itikadi zao.

Kila mkoa au mji utakuwa na Timu ya Uratibu ambayo itasaidia kuratibu na kuandaa Matembezi hayo. Wale watakaopenda kusaidia au kuwezesha Matembezi hayo wataelekezwa kuwasiliana na Timu ya Uratibu ya Kitaifa itakayosaidia Uratibu kwa niaba ya Askofu. Timu hiyo ya Uratibu wa Kitaifa sambamba na Timu za Mikoani zitatangazwa mapema kuanzia Januari 2021 baada ya kuundwa!

Kwa taarifa hii, tunaomba Watanzania wote wajiandae kushiriki Matembezi hayo katika kila Mkoa. Matembezi hayo yataanza mapema mwaka 2021 na tarehe ya kila Mkoa itatangazwa na utaratibu wote. Kuanzia Januari 2021, Askofu atatangaza rasmi utaratibu wa namna ya kushiriki ikiwemo Waratibu wa Matembezi katika kila Mkoa!

Kwa Watanzania walioko nje ya Tanzania, Askofu anaweza kufika katika nchi hizo endapo wataweza kuandaa mazingira.

Kwa sasa Askofu anamuomba kila mtu kusambaza ujumbe huu ili kuwaandaa Watanzania wote kwa matukio hayo ya kihistoria!

Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!

Askof Mkuu Emmaus Bandekile Mwamakula
Huyu ni loser.
 
Askofu anapaswa kulisha kondoo maandamano na matembezi sio sehemu ya chakula cha kondoo,imetosha kusema askofu anataka watu wailaumu serikali kwaajili yake na hakuna namna watailaumu tu.

Kwamba serikali haipendi haki wala tume huru, mpaka wananchi wakidai tume huru serikali italaumiwa?
 
Huyu mzee atulie asitafute matatizo na sirikali hauji kama hizo ndiyo silaha kubwa za sirikali kuwachapia wanyonge..

Vuta picha kuna tume huru ya uchaguzi ambayo ndani yake kuna viongozi waotokana na vyama vya siasa kila mmoja anapigania masirahi ya chama chake!

Vuta picha wakurugenzi siyo wasimamizi wakuu wa uchaguzi katika jmajimbo, makada watiifu.

Embe endelea kuvuta picha mwenyekiti na tume na mkurugenzi hawajateuliwa na mkuu wa kaya kulinda masirahi yake na badae kugonga mvinyo pamoja katika hafla fupi baada ya ushindi wa mezani

Vuta picha wanachi wanapata mamlaka ya kumwajibisha mbuge au diwani ambae hatekelezi majukumu yake kama alivyoahidi kwenye kampeni yani anaondolewa hata kabla ya mitano tena kuisha.

Embu vuta picha mkuu wa kitengo hana tena kinga ya kisheria anashitakiwa baadaya ya kutoka madarakani kwa matumizi mabaya ya ofisi na kukanyaga katiba

Endelea kuzoom picha mjongeo mtetezi wa wanawake aka kazi mdungaye hana tena kinga kikatiba anashitakiwa tu kama raia wengine..

Wataweza kweli kuleta katiba mpya?

tatizo ni elimu wala hatuhitaji kumtafuta mchawi, kuna watu wa kupata elimu hata katika umri wao mkubwa na kuna wengine waachishwe bangi mara moja
 
Nashukuru kwa kukuona hili, hata Kama hatafanyika, kwa sababu ya utawala huul, lakini nia yake ni njema kabisa tumuunge mkono.

Katiba mpya ni Jambo jema Sana, Kama katibaa iliopo inasiginwa kimakusudi, kwasababu ya katiba iliopo, inatoa room hiyo ni vema tupambane tupate katiba mpya

Anajua kwa katiba hii, hata kabisa halipo salama.
 
Polisi watazuia mikusanyiko iliyo hatari kwa maambukizi ya COVID.
Hatuna COVID Tanzania madame. Ilishaisha. Labda useme wale jamaa watasema siku hiyo wanaokota makaratasi njiani na kuchoma taka
 
Tuache maujinga na kusombwa kama ngombe kwenye behewa. Uchaguzi umeisha, mumeshindwa, watanzania wengi wameamu kunga mkono juhudi, nyie na huyu askofu asiyejitambua, na anayetumika kutimiza matakwa ya chama cha siasa. Alafu mnakuja hapa kudanya watu eti nu maandamano ya wote , mnawaamulia watu nyie kama nani, huyo askofu alisha jutangaza kuwa ni mwanachama wa chadema, kwa kushiriki kwenye campaign za chadema, leo hawezo kuwa NEUTRAL ELEMENT.
 
Back
Top Bottom