UTAWALA WA SHETANI UTAUA WATU.
watu woote watakaoshiriki matembezi watasumbuliwa sana na police.
JWTZ watakuwa kwenye usafi na kuokota chupa.
SHETANI JIWE ASHINDWE.
Jambo jema kabisa. Hofu yangu ni jamaa yetu Afande Sirro.
Binadamu ambae anawaza tume mpya na katiba mpya huwa namuona Ana shida kichwani kwake
Do you think magufuli anaweza kuleta katiba mpya? Ni jambo ambalo halipo
Na Magufuli sio Rais wa kushinikizwa jpm sio jk
Tutawezea wapi wakati shetani n na jeshi lake (SHETANI -JIWE) wamesimama na siraha kaliNyie makamanda uchwara mtatoka huko uvunguni mlikojificha ili muungane na hako kaaskofu kenu?
Aminaa!