Si rahisi maana aliyemuweka ndiye aliendekeza ufisadi na sasa lazima alipe Fadhila. Upo hapo!Wacha Samia Suluhu Hassan aendelee kuinyoosha nchi, tutaelewana tuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si rahisi maana aliyemuweka ndiye aliendekeza ufisadi na sasa lazima alipe Fadhila. Upo hapo!Wacha Samia Suluhu Hassan aendelee kuinyoosha nchi, tutaelewana tuu
Daah! Nimemiss sana yule bwana maisha yalikua pow sana,Shwari kwa aina ya watu Kama Lisu Mimi naona Samia aende na mpango kazi wake pamoja na washauri wake atakao wateua na kuwaani maana kuna aina ya watu hata uwalambe miguu hawatoacha kukudhihaki kwani ni asili yao.
Kikwete aliyafanya yotee wakamwita dhaifu.
Alikuwa naatengeneza brand yake wala hakuwa anahudumia wananchiKwa hii historia, Magufuli alirisk sana uhai wake kubeba jukumu la kuhudumia wananchi
Ni upendo
Jinga sana wewe,,Kitimoto wewe...unaleta udini miaka hiiKwanini maaskofu na wachungaji wanaipambania sana Chadema?
Chadema ni chama cha Kikristo?
Katiba inatamka kuwa anayetaka kupewa mamlaka ya kuwa Rais, lazima awe na Afya njema/bora ili kuweza kuhimili majukumu yake mpaka mwisho.Uliona ukifichwa wapi huo ugonjwa? Nyie mlivyokosa huruma kumpandisha jukwaani Lowasa asiyeweza kutembea sawasawa kisa uchu wa madaraka iliwasaidia nini.
Kifo sio kuumbuka, kifo ni ahadi. Na kila mtu ana siku yake
Hata mimi nitakufa na hata wewe unayefurahia wengine kufa utakufa vilevile
Lazima kuna sababu za msingi. Kama kuminywa haki.... Ref uchaguzi uliopita, umeuonaje?Kwanini maaskofu na wachungaji wanaipambania sana Chadema?
Chadema ni chama cha Kikristo?
Nimekuuliza mlipotaka aingie Lowasa alikua na afya njema?Katiba inatamka kuwa anayetaka kupewa mamlaka ya kuwa Rais, lazima awe na Afya njema/bora ili kuweza kuhimili majukumu yake mpaka mwisho.
Ninyi mkajitia ukaidi, mkamuweka mwenye hali mbovu kiafya matokeo yake ndio haya.
Mlisema Ikulu sio mahali pa wagonjwa ilihali ninyi mnampeleka mgonjwa.
Jifunzeni msirudie hili kosa tena.
Biblia inasema, ''UPENDO'' haubagui ,Jiwe alikuwa ''MBAGUZI'' balaa!Kwa hii historia, Magufuli alirisk sana uhai wake kubeba jukumu la kuhudumia wananchi
Ni upendo
Lowasa mzima wa Afya hadi dakika hii.Nimekuuliza mlipotaka aingie Lowasa alikua na afya njema?
Kumbe wakati wanampigisha push ups ilikuwa wanatesti betrii yakeLowasa mzima wa Afya hadi dakika hii.
Lowasa na Maguguli ni nani alikuwa mgonjwa?
Kama moto ungezima muda huo wa push ups sijui wangetuambia nini..Kumbe wakati wanampigisha push ups ilikuwa wanatesti betrii yake
CCM watu wabaya sana
Angekua mzima wa afya ile 2015 angeshindwa kupanda jukwaani hadi mumbebe?Lowasa mzima wa Afya hadi dakika hii.
Lowasa na Maguguli ni nani alikuwa mgonjwa?
Mimi kama Mzalendo waNchi hii ninaamini kuna watu wanatakiwa wawajibike au wawajibishweKama moto ungezima muda huo wa push ups sijui wangetuambia nini..
Aliyekuwa mzima wa Afya hadi akapiga pushups jukwaani, yupo wapi kwa sasa?Angekua mzima wa afya ile 2015 angeshindwa kupanda jukwaani hadi mumbebe?
Mungu aendelee kumjalia uhai huko aliko na amponye na maradhi yake kadri ya mapenzi yake
Ni kweli lakini nchi hii hakuna anayeweza kuwajibika au kuwajibishwa.Mimi kama Mzalendo waNchi hii ninaamini kuna watu wanatakiwa wawajibike au wawajibishwe
Sijasema ni lazima nimjue, sijaomba ufafanuziCo lazma umjue
Kumbe kiuno ni ub00, basi hata mie ninaoWameandika 'Kiuno' alisema 'Nina kiuno kikubwa kuliko baba yangu'
Wakati wake ndio huo umefika.Aliyekuwa mzima wa Afya hadi akapiga pushups jukwaani, yupo wapi kwa sasa?
kamfukue aishiWaovu siku zote hawajiamini waache chadema wanamatatizo makubwa basi tu ni rahisi kuona boriti kwenye jicho la mwenzako hivyo waache waendelee