Askofu Mwanamapinduzi: Hezekia Wenje ndie alikuwa wakala wa Abdul kumpelekea rushwa Tundu Lissu nyumbani kwake

Askofu Mwanamapinduzi: Hezekia Wenje ndie alikuwa wakala wa Abdul kumpelekea rushwa Tundu Lissu nyumbani kwake

Huyu myaturu mbona sijawahi kumsikia akisema kati ya watu wa kwanza kuja kumtebelea baada ya jaribio la kumuua alikuwa Mama Samia......
Na leo hii kalipwa hela yake yote na Mama bila kwenda mahakamani kuidai....
Na juzi tu hapa aliomba mitandaoni achangiwe hela ya gari mpya na wananchi...
Kwani huyo Abdul sio mwananchi?
Huu ushambenga wake ndio unaitwa Drama Queen
#Mbowe Mwenyekiti.......

..Makamu wa Raisi Samia Suluhu alikuwa Kenya kwa tukio la kuapishwa Raisi Kenyatta.

..kidiplomasia ingekuwa ni jambo baya kiongozi wa Tanzania awepo Kenya halafu asiende kumuona Mnadhimu wa kambi ya upinzani aliyeko hospitali kutokana na jaribio la mauaji.

..Kwa hiyo Samia Suluhu alimtembelea Tundu Lissu hospitali sio kwasababu alipenda, bali kulinda heshima ya serikali ya Tanzania.

..Magufuli yeye hakwenda Kenya kipindi hicho ili kukwepa fedheha ya kwenda kumsalimu Tundu Lissu ambaye Magufuli aliamuru auwawe.
 
View attachment 3179176
Courtesy: MwanaHalisi Online TV

Duuh, sasa mambo yameanza kufumuka na kunoga. Siri siyo siri tena...

Wote tunakumbuka tuhuma za Tundu Lissu kwa mtoto wa Rais Samia Suluhu Hassan aitwaye Abdul kwenda nyumbani kwake mwanzoni mwa mwaka huu 2024 kumshawishi apunguze kasi ya mashambulizi dhidi ya utawala mama yake na yeye atampa mapesa (rushwa) ya kumsaidia kwenye mambo yake...

Katika maelezo ya Tundu Lissu, alisema, ili huyu Abdul amfikie ilibidi kuwatumia viongozi fulani wa CHADEMA very influential ndani ya chama kumfanyia "connection" Ili kuonana naye na ikawa hivyo....

Ktk maelezo ya Tundu Lissu aliyopewa na Abdul alipokutana naye nyumbani kwake (TL) kupelekewa "mzigo" ni kwamba, baadhi ya wenzie ndani ya CHADEMA huyu Abdul alishamalizana nao kwa kupokea migawo yao ya "mzigo wa rushwa ya kuwafunga midomo", kwamba, amebaki yeye tu Tundu Lissu...

Kama tunakumbuka vyema, Tundu Lissu ktk tuhuma dhidi ya baadhi ya viongozi wenzake ndani ya CHADEMA kuhongwa na Rais Samia kupitia kwa mwanae Abdul, actually alikuwa hataji majina yao zaidi ya kusema wapo...

Sasa leo, Askofu Mwanamapinduzi akihojiwa ktk mahojiano maalumu na Mwanahalisi Online TV, ametegua kitendawili kwa kumtaja kiongozi mmojawapo wa CHADEMA aliyetumiwa na Abdul Ili amwone Tundu Lissu na kumshawishi kuchukua rushwa ya kuziba midomo toka kwa mama yake Rais Samia Suluhu Hassan...

Pamoja na mambo mengine, hebu tazama na msikilize mwenyewe huyu Askofu Mwanamapinduzi...

Sasa mambo yameanza kunoga....
Hatari sana
 
Utaachaje kumwamini dereva aliyekuwa anatembelea gia namba moja anapobadili kwenda gia namba 5 Ili gari lishike kasi kwenye highway...?

Msikilize huyu Askofu vizuri. Anasema kumbe hata Wenje aliambiwa na timu Freeman Mbowe kuwa achukue fomu ya umakamu Mwenyekiti mkakati ukiwa ni kuhakikisha Tundu Lissu Lissu hata umakamu haupati...!

Kujua hilo, Tundu Lissu akasema kumbe ndiyo hivyo? Sasa, nakwenda gia ya mwisho (Uenyekiti) tupambane huko huko juu...

Kwa hiyo brother/sister, hii move Iko very well culculated na hesabu zinakwenda na kuunga automatic...

There's no way watamzuia huyu mwamba kuwa Mwenyekiti unless watumie ujinga huu unaopigiwa kelele sasa wa kutaka kumuua tena...!!

The only option aliyonayo Freeman Mbowe ni kustaafu kwa heshima...

Hili liko very clear unless otherwise anataka kuharibu legacy yake njema aliyoijenga kwa miaka 30+ ya siasa za mageuzi Tanganyika....!!
Ukweli ndio huu na.
Utaachaje kumwamini dereva aliyekuwa anatembelea gia namba moja anapobadili kwenda gia namba 5 Ili gari lishike kasi kwenye highway...?

Msikilize huyu Askofu vizuri. Anasema kumbe hata Wenje aliambiwa na timu Freeman Mbowe kuwa achukue fomu ya umakamu Mwenyekiti mkakati ukiwa ni kuhakikisha Tundu Lissu Lissu hata umakamu haupati...!

Kujua hilo, Tundu Lissu akasema kumbe ndiyo hivyo? Sasa, nakwenda gia ya mwisho (Uenyekiti) tupambane huko huko juu...

Kwa hiyo brother/sister, hii move Iko very well culculated na hesabu zinakwenda na kuunga automatic...

There's no way watamzuia huyu mwamba kuwa Mwenyekiti unless watumie ujinga huu unaopigiwa kelele sasa wa kutaka kumuua tena...!!

The only option aliyonayo Freeman Mbowe ni kustaafu kwa heshima...

Hili liko very clear unless otherwise anataka kuharibu legacy yake njema aliyoijenga kwa miaka 30+ ya siasa za mageuzi Tanganyika....!!
Ukweli ndio huu na umfikie popote alipo kama ni dar au macrame.
 
Mbowe ana kazi kubwa ya kusafisha chama baada ya uchaguzi, moja wapo ni kufukuza hawa maaskofu walionunua nguo za uaskofu kwenye mabalo ya mitumba pale kariakoo..

Mtu wa hovyo kabisa hana akili kichwani alisogezwa karibu na viongozi wakuu wa chadema

Let him prepare for a defamation case, alipe fidia ya mabilioni. He is speaking hearsay, maana Lissu hajataja mtu
 
View attachment 3179176
Courtesy: MwanaHalisi Online TV

Duuh, sasa mambo yameanza kufumuka na kunoga. Siri siyo siri tena...

Wote tunakumbuka tuhuma za Tundu Lissu kwa mtoto wa Rais Samia Suluhu Hassan aitwaye Abdul kwenda nyumbani kwake mwanzoni mwa mwaka huu 2024 kumshawishi apunguze kasi ya mashambulizi dhidi ya utawala mama yake na yeye atampa mapesa (rushwa) ya kumsaidia kwenye mambo yake...

Katika maelezo ya Tundu Lissu, alisema, ili huyu Abdul amfikie ilibidi kuwatumia viongozi fulani wa CHADEMA very influential ndani ya chama kumfanyia "connection" Ili kuonana naye na ikawa hivyo....

Ktk maelezo ya Tundu Lissu aliyopewa na Abdul alipokutana naye nyumbani kwake (TL) kupelekewa "mzigo" ni kwamba, baadhi ya wenzie ndani ya CHADEMA huyu Abdul alishamalizana nao kwa kupokea migawo yao ya "mzigo wa rushwa ya kuwafunga midomo", kwamba, amebaki yeye tu Tundu Lissu...

Kama tunakumbuka vyema, Tundu Lissu ktk tuhuma dhidi ya baadhi ya viongozi wenzake ndani ya CHADEMA kuhongwa na Rais Samia kupitia kwa mwanae Abdul, actually alikuwa hataji majina yao zaidi ya kusema wapo...

Sasa leo, Askofu Mwanamapinduzi akihojiwa ktk mahojiano maalumu na Mwanahalisi Online TV, ametegua kitendawili kwa kumtaja kiongozi mmojawapo wa CHADEMA aliyetumiwa na Abdul Ili amwone Tundu Lissu na kumshawishi kuchukua rushwa ya kuziba midomo toka kwa mama yake Rais Samia Suluhu Hassan...

Pamoja na mambo mengine, hebu tazama na msikilize mwenyewe huyu Askofu Mwanamapinduzi...

Sasa mambo yameanza kunoga....
Duh。。。!
p
 
View attachment 3179176
Courtesy: MwanaHalisi Online TV

Duuh, sasa mambo yameanza kufumuka na kunoga. Siri siyo siri tena...

Wote tunakumbuka tuhuma za Tundu Lissu kwa mtoto wa Rais Samia Suluhu Hassan aitwaye Abdul kwenda nyumbani kwake mwanzoni mwa mwaka huu 2024 kumshawishi apunguze kasi ya mashambulizi dhidi ya utawala mama yake na yeye atampa mapesa (rushwa) ya kumsaidia kwenye mambo yake...

Katika maelezo ya Tundu Lissu, alisema, ili huyu Abdul amfikie ilibidi kuwatumia viongozi fulani wa CHADEMA very influential ndani ya chama kumfanyia "connection" Ili kuonana naye na ikawa hivyo....

Ktk maelezo ya Tundu Lissu aliyopewa na Abdul alipokutana naye nyumbani kwake (TL) kupelekewa "mzigo" ni kwamba, baadhi ya wenzie ndani ya CHADEMA huyu Abdul alishamalizana nao kwa kupokea migawo yao ya "mzigo wa rushwa ya kuwafunga midomo", kwamba, amebaki yeye tu Tundu Lissu...

Kama tunakumbuka vyema, Tundu Lissu ktk tuhuma dhidi ya baadhi ya viongozi wenzake ndani ya CHADEMA kuhongwa na Rais Samia kupitia kwa mwanae Abdul, actually alikuwa hataji majina yao zaidi ya kusema wapo...

Sasa leo, Askofu Mwanamapinduzi akihojiwa ktk mahojiano maalumu na Mwanahalisi Online TV, ametegua kitendawili kwa kumtaja kiongozi mmojawapo wa CHADEMA aliyetumiwa na Abdul Ili amwone Tundu Lissu na kumshawishi kuchukua rushwa ya kuziba midomo toka kwa mama yake Rais Samia Suluhu Hassan...

Pamoja na mambo mengine, hebu tazama na msikilize mwenyewe huyu Askofu Mwanamapinduzi...

Sasa mambo yameanza kunoga....
Bado mwezi zijulikane mbivu vs mbichi.
 
..Makamu wa Raisi Samia Suluhu alikuwa Kenya kwa tukio la kuapishwa Raisi Kenyatta.

..kidiplomasia ingekuwa ni jambo baya kiongozi wa Tanzania awepo Kenya halafu asiende kumuona Mnadhimu wa kambi ya upinzani aliyeko hospitali kutokana na jaribio la mauaji.

..Kwa hiyo Samia Suluhu alimtembelea Tundu Lissu hospitali sio kwasababu alipenda, bali kulinda heshima ya serikali ya Tanzania.

..Magufuli yeye hakwenda Kenya kipindi hicho ili kukwepa fedheha ya kwenda kumsalimu Tundu Lissu ambaye Magufuli aliamuru auwawe.
Wewe ndiyo uneunganisha dots sawasawa!
 
Huyu myaturu mbona sijawahi kumsikia akisema kati ya watu wa kwanza kuja kumtebelea baada ya jaribio la kumuua alikuwa Mama Samia......
Na leo hii kalipwa hela yake yote na Mama bila kwenda mahakamani kuidai....
Na juzi tu hapa aliomba mitandaoni achangiwe hela ya gari mpya na wananchi...
Kwani huyo Abdul sio mwananchi?
Huu ushambenga wake ndio unaitwa Drama Queen
#Mbowe Mwenyekiti.......
Wewe ni chawa mjinga....
 
Back
Top Bottom