Askofu Mwanamapinduzi: Hezekia Wenje ndie alikuwa wakala wa Abdul kumpelekea rushwa Tundu Lissu nyumbani kwake

Askofu Mwanamapinduzi: Hezekia Wenje ndie alikuwa wakala wa Abdul kumpelekea rushwa Tundu Lissu nyumbani kwake

Wenje si amesema atagombea u Makamu Mwenyekiti? Na inaelekea kuwa msimamo wake ni kuwa uchaguzi wa haki maana yake ni Lissu ashinde. Hii ni hatari sana maana anaweka mbegu za kukataa matokeo hapo baadae. Kwa kweli sio vizuri.

Amandla...
Hii ilivyo kaa yenyewe, bila ya ufafanuzi juu yake yanaonekana kuwa kama ni maoni yako.
Sikuwa na nia ya "kuto kutendea haki" nilipo eleza hapo kwa sababu ya mkanganyiko unao jidhihirisha hapa.

Kwa ufafanuzi ulio toa, sasa unaeleweka vyema kabisa
Uchawa wa aina ya anao uonyesha huyo mchungaji, hauna tofauti yoyote na huu ulio enea kwa mama. Hawa ni watu wanao jitoa akili kichwani hata wasiwe na fikra za kuchambua chochote.
Haijalishi hawa wana tetea upande gani, wote ni wabovu vilevile.
Haujanitendea haki.

Hapa nilikuwa namzungumzia Askofu ambae alikuwa anahojiwa, sio Lissu. Sijui kwa nini umekimbilia kwa Lissu ambae hata sikumtaja. Ni askofu ndie aliyemuita Wenje muoga kwa kukimbia nchi, pamoja na mambo mengine. Nilichotaka kuonyesha ni jinsi ilivyokuwa rahisi kumpakazia mtu. Huyu anaongea kama mfuasi wa Lissu ambae ni Makamu Mwenyekiti. Wenje alitangaza nia ya kutaka kugombea umakamu Mwenyekiti. Hapo unaweza kujumlisha 2 na 2 ukapata 22. Huyu Askofu ametamka wazi kuwa katika uchaguzi wa haki, hamna anaeweza kumshinda Lissu. Hapo si kaunganisha uchaguzi wa haki na ushindi wa Lissu? Hajaweka nafasi ya Lissu kushindwa. Lissu amesema tofauti na huyu askofu. Lissu amesema kuwa hajawahi kuwa Mwenyekiti, na kama atashindwa katika uchaguzi wa haki, atabakia kuwa mwanachama wa CDM ambae hajawahi kuwa Mwenyekiti wa CDM. Haya ni maneno ya kujenga tofauti na ya hao wanaosema kuwa ni wafuasi wake.

Mimi sitashangaa kama akitokeza mwingine atakaesema kuwa haoni sababu ya Lissu kubaki CDM kama atashindwa kwenye uchaguzi. Najua ni hype ya uchaguzi lakini ni hatari. Hasa yanapoonekana dhahiri kumlenga mtu kama Mbowe ambae hajasema kuwa atagombea. Lissu anatakiwa awakemee watu kama hawa.

Amandla...
Nakushukuru kwa ufafanuzi.
 
Taarifa umeileta usiku sana watu tumelala, Lissu siyo wa kumuamini maana aliwahi kusema hagombei uenyekiti wa chama Leo.

Ila mwamba aliyewahi kusema hatagombea tena na leo 20 years on kama bi mkubwa, angali anataka mitano mingine?
 
Lissu ni adui wa demokrasia na kirusi ndani ya chama rafiki CHADEMA.

Bila shaka:

GeqFYhVWsAAcU0W.jpeg
 
Huyu myaturu mbona sijawahi kumsikia akisema kati ya watu wa kwanza kuja kumtebelea baada ya jaribio la kumuua alikuwa Mama Samia......
Na leo hii kalipwa hela yake yote na Mama bila kwenda mahakamani kuidai....
Na juzi tu hapa aliomba mitandaoni achangiwe hela ya gari mpya na wananchi...
Kwani huyo Abdul sio mwananchi?
Huu ushambenga wake ndio unaitwa Drama Queen
#Mbowe Mwenyekiti.......

Kama Lucas Mwashambwa au Tlaatlaah:

GfMNLpyXYAA8ucg.jpeg


Chawa kazini.

Cc: imhotep, Erythrocyte, johnthebaptist
 
Wenje si amesema atagombea u Makamu Mwenyekiti? Na inaelekea kuwa msimamo wake ni kuwa uchaguzi wa haki maana yake ni Lissu ashinde. Hii ni hatari sana maana anaweka mbegu za kukataa matokeo hapo baadae. Kwa kweli sio vizuri.

Amandla...

Wasimamia uchaguzi wanapokuwa hivi:

GfMNLpyXYAA8ucg.jpeg


GfF9ragacAAWv7q.jpeg


Kutegemea uchaguzi huru na wa haki ni heri ya ngamia kupita kwenye tundu la sindano!

Cc: imhotep
 
Huo mfano si ulihusu matajiri na kuuona ufalme wa Mungu? Sasa hivi watu wa Mungu karibu wote ni mabilionea na wengine wanatuambia kuwa wanaenda holiday mbinguni.

Amandla....

Bahati mbaya sana mfano huu sasa unauhusu uchaguzi chadema almaarufu, wenye kuhusisha kuonja sumu kwa ulimi.
 
Huyu Askofu naye qmekuwa CHAWA wa Lissu. Yeye alikuwepo wakati Abdul anamhonga Lissu?
 
..kwasababu ni chama cha AMANI ndio maana viongozi wa dini / kiroho wako humo.
Jibu la hayawani hili, hakuna Chama Cha amani nchi hii kama TADEA au kile Cha yule Mzee wa Ubwabwa. Acha unafiki wewe!!
 
Mbowe yupo kimya anatafuta kura, Lissu yupo bize mitandaoni kukilaumu chama
 
Mbowe yupo kimya anatafuta kura, Lissu yupo bize mitandaoni kukilaumu chama
 
Back
Top Bottom