"Maaskofu tumeanza kuomba yale yaliyotokea miaka ile yakiendelea tutamuomba Mungu afanye jambo lake. Jambo gani usiniliulize lakini Mungu anapenda watu wake, hapendi dhuluma, dhambi au uovu juu ya nchi.
"Mambo haya wasikiri wapo juu ya binadamu, wameaumbwa na Mungu na kuwekwa tanzania kwa makusudi. Ukijaribu kuwatesa sababu una jeshi, magereza, polisi, wasiyojulikana, Mungu anaweza kufanya jambo la kushangaza na ukajua Mungu yuko juu ya yote." - Askofu Mwanamapinduzi akiwa Singinda kwenye Mkutano wa Lissu
"Magufuli aliruhusu mambo yanayotokea 2019 na 2020, tulinyamaza watu (wengine) wakashangilia, Mungu aliingilia kati.
"Maaskofu tumeanza kuomba yale yaliyotokea miaka ile yakiendelea tutamuomba Mungu afanye jambo lake. Jambo gani usiniliulize lakini Mungu anapenda watu wake, hapendi dhuluma, dhambi au uovu juu ya nchi.
"Mambo haya wasikiri wapo juu ya binadamu, wameaumbwa na Mungu na kuwekwa tanzania kwa makusudi. Ukijaribu kuwatesa sababu una jeshi, magereza, polisi, wasiyojulikana, Mungu anaweza kufanya jambo la kushangaza na ukajua Mungu yuko juu ya yote." - Askofu Mwanamapinduzi akiwa Singinda kwenye Mkutano wa Lissu
"Magufuli aliruhusu mambo yanayotokea 2019 na 2020, tulinyamaza watu (wengine) wakashangilia, Mungu aliingilia kati.
"Maaskofu tumeanza kuomba yale yaliyotokea miaka ile yakiendelea tutamuomba Mungu afanye jambo lake. Jambo gani usiniliulize lakini Mungu anapenda watu wake, hapendi dhuluma, dhambi au uovu juu ya nchi.
"Mambo haya wasikiri wapo juu ya binadamu, wameaumbwa na Mungu na kuwekwa tanzania kwa makusudi. Ukijaribu kuwatesa sababu una jeshi, magereza, polisi, wasiyojulikana, Mungu anaweza kufanya jambo la kushangaza na ukajua Mungu yuko juu ya yote." - Askofu Mwanamapinduzi akiwa Singinda kwenye Mkutano wa Lissu
Huyo Askofu wa ajabu sana. Kwamba alikuwa anajua Mwamba angelifariki mwaka 2050, lakini walipoomba Mungu akaingilia kati? Kweli Chadema kuna vichwa maji na si ajabu Mwamba aliwaengua wote! KUMBAVU!!!
"Magufuli aliruhusu mambo yanayotokea 2019 na 2020, tulinyamaza watu (wengine) wakashangilia, Mungu aliingilia kati.
"Maaskofu tumeanza kuomba yale yaliyotokea miaka ile yakiendelea tutamuomba Mungu afanye jambo lake. Jambo gani usiniliulize lakini Mungu anapenda watu wake, hapendi dhuluma, dhambi au uovu juu ya nchi.
"Mambo haya wasikiri wapo juu ya binadamu, wameaumbwa na Mungu na kuwekwa tanzania kwa makusudi. Ukijaribu kuwatesa sababu una jeshi, magereza, polisi, wasiyojulikana, Mungu anaweza kufanya jambo la kushangaza na ukajua Mungu yuko juu ya yote." - Askofu Mwanamapinduzi akiwa Singinda kwenye Mkutano wa Lissu