Kuna wachungaji wengi na mapadri hapao nyuma wamekufa sasa hapo walimkosea nani au walimuibia nani?View attachment 2496495
N.B. Naomba wote mnaotaka kutoa comment kwenye uzi huu mjibu swali la askofu na si vinginevyo
Wewe na huyo anajiita NABII akili zenu zinafanana.Tafadhali naomba ujibu swali la askofu. Usiulize swali juu ya swali
Unapokuwa duniani, usipoacha watu wakaishi kwa amani, basi unapokufa hawatakuacha uishi kwa amani. Adolf Hitler aataendelea kuandamwa kwa sababu ya mauaji aliyotenda. Magufuli ataendelea kuandamwa kwa sababu ya mauaji aliyotenda. Wapi Ben Saanane? Alifanya kosa gani? Lissu alifanywa nini? Alifanya kosa gani?ni GODs plan 🙏
Guys tumuache apumzike kwa amani.
Huyo alie hai auchape tu mwendo wake in peace
[emoji419][emoji375] fact sana hii mkuuUhai siyo ushindi na kifo siyo hasara, halaumiwi aliekufa wala hapongezwi alie hai kwakua hakuna alieamua kwa ujanja wake.
Na uovu wa kumwaga damu pia ni dhambi mbele ya Mwenyezi Mungu, ila kifo na uhai siyo kipimo cha ushindi au kushindwa.
Aje atoe majibuKweli kabisa,mshind ni mshindi tu na ndio maana wayahudi walimshinda YEHOVA kwa kumuulia mwanaye mpendwa YESU,si eti mtoa mada?
AU sio baba askofu?
Yote ni maswali na yanahitaji majibu.Vipi alishakubali kulea yule mtoto wa kiume aliyezaa na mke wa muumini wake?Hujajibu swali lake. Jibu kwanza swali lake ndipo tuhamie kwenye mada nyingine
Haya yote wanajifanya hawayakumbuki kwa kuwa yalifanywa enzi za awamu ya nne.Pia tuwakumbushe Kamanda Mawazo aliuwawa akiwa kwenye harakati za Kampeni za uchaguzi 2015 na enzi hizo JPM alikuwa bado hajawa Rais.Vipi kwa upande wa Mwangosi yeye ushindi wake uko wapo?
Vipi wale watu 5 waliouawa na bomu la kurushwa kwa mkono kwenye mkutano wa machadema pale soweto? Wao ushindi wao uko wapi?
Vipi Dr Ulimboka yeye ushindi wake uko wapi?
Halafu mchungaji mwenyewe sasa Mwingira anaepigaga Drostdy Hof Dry Red chupa nzima kabla hajapanda madhabahuniKuna wachungaji wengi na mapadri hapao nyuma wamekufa sasa hapo walimkosea nani au walimuibia nani?
Nadhani kuna wachungaji akili zao ni za kuchunga fisi na wala sio kuchunga hata ng'ombe
"Mhhhh hauwajui viongozi wa dini wewe" in masau bwire's voice,,,,,Nguzo kuu ya viongozi wa dini ni kusema Ukweli
View attachment 2496495
N.B. Naomba wote mnaotaka kutoa comment kwenye uzi huu mjibu swali la askofu na si vinginevyo
Kifo si alama ya kushindwa. Kama wanaokufa ni watu wabaya tuu, Thomas Sankara angekua hai mpaka Leo .View attachment 2496495
N.B. Naomba wote mnaotaka kutoa comment kwenye uzi huu mjibu swali la askofu na si vinginevyo
Mwingira mlevi huyo anapanda madhabahuni akiwa keshalewa unategemea cha maana kutoka kwake.Mara mia na Mzee wa upako yeye hajifichi anagonga bapa lake na kila mtu anajua.Pamoja na masaibu aliyopitia kamanda lissu but kweny hili sidhan kama ni sahihi kulilinganisha on this way!!
Pengine tuwaulize kuwa kina Mzee Ndesamburo nao walikuwa watu wabaya?Kifo si alama ya kushindwa. Kama wanaokufa ni watu wabaya tuu, Thomas Sankara angekua hai mpaka Leo .
Nimewauliza hapa kuwa alishamalizana na huo msala wa kuzaa na mke wa mtu na kisha akamkana mtoto mpaka mama wa mtoto akataka waende kupima DNA? Mchungaji muhuni tu huyoMbona yeye kazaa na mke wa mtu yake hayaoni. Hovyo kabisa
Hao hawana hadhi sawa na Lissu.Vipi kwa upande wa Mwangosi yeye ushindi wake uko wapo?
Vipi wale watu 5 waliouawa na bomu la kurushwa kwa mkono kwenye mkutano wa machadema pale soweto? Wao ushindi wao uko wapi?
Vipi Dr Ulimboka yeye ushindi wake uko wapi?