NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Tuhuma zimeshathibitishwa,labda wewe hukuzipata.zipo za maandishi na za video kati ya shoga wakili Robert na Lissu.Wewe nikikuambia ni shoga na sijatoa ushahidi. Unafikiri kuna mwenye akili atazitoa tuhuma hizo kanisani wakati hazijathibitishwa?
Uwe na akili hata kidogo.
Hujui tofauti ya Tuhuma na tukio la kweli?
Haki ipi na uhuru upi msiouona?Ndege haziongelewi tena wananchi wanadai haki, uhuru na maendeleo.
Hahaha watashindwa tu. Lakink tutarajie mengiLeo utaskia BOT inatoa wadai Sugu, Watasema Efatha Bank, then utaskia anaulizwa uraia wake, Mara TRA maana ile issue ya "wasio julikana master plan kaondolewa ukuu wa mkoa yupo kigambonino"
Sauti ya Kinabii inanena na Kanisa.Hamna kitu hapo. Huyo ana machungu yake tu ya kubanwa na Magufuli
Tuhuma zimeshathibitishwa,labda wewe hukuzipata.zipo za maandishi na za video kati ya shoga wakili Robert na Lissu.
Hamna kitu gani?? Kwani uongo?Hamna kitu hapo. Huyo ana machungu yake tu ya kubanwa na Magufuli
Kukaa kimya nako ni hekima. Lissu anafuatwa kishabiki tu. Hawezi shida Urais, tukutane oct 28.
tuone kama yule bwana atajibu hizo tuhuma.Hahahaa!
Ogopa ushabiki mkuu
Mchungaji kaleta ujumbe kutoka juu. Nabii wa Mungu kafikisha ujumbe aliotumwa.Hakika Mchungaji kanene..Ni YeYe 2020.
Kukaa kimya nako ni hekima. Lissu anafuatwa kishabiki tu. Hawezi shida Urais, tukutane oct 28.
Wale wakongamano Dodoma walilipwa na serikali ndio wapuuzi zaidiHuyu jamaa Ni mpuuzi Kama wapuuzi wengine
Itaachiwa kama silaha ya mwisho ya kummaliza adui,muda utaongea tuombe uzima utaona tu,hakuna mkate mgumu mbele ya chai.Hahahaa!
Ogopa ushabiki mkuu
asante mwingila ukweli ndo huo
Mwenzio mpaka saa hii ana wabunge 20 huku yeye Lisu akiwa na 0magu tar 28 tunamrudisha Chato na bodaboda
Hiyo haiondoi ukweli kwamba Lisu hatapata zaidi ya asilimia 20 ya kura zote.Hata waliompiga risasi walifikiri kama wewe kuwa Risasi 38 zitampeleka kuzimu Tundu Lisu matokeo yake Lisu akaponywa na Mungu. Siajabu wengine wametangulia na ninaamini watazama kuzimu kabla ya Tundu Lisu.
Unawakumbuka hawa na maono yao?Ni maono mazito mno haya ila maadui wa Mwenyezi Mungu wamepofuliwa na dhambi zao ili wasije kuiona NURU na hatimaye kuokoka...
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Unawakumbuka hawa manabii? [emoji116][emoji116]Sauti ya Kinabii inanena na Kanisa.