Uchaguzi 2020 Askofu Mwingira: Lissu ni mshindi, hajajenga flyover wala reli. Watu wanamfuata

Unao ushahidi mpumbavu wewe.
 
Alokujaga joshua pekupeku wakati wa lowasa na bado hola
 
Mwenzio mpaka saa hii ana wabunge 20 huku yeye Lisu akiwa na 0

Oktoba hii mbona mtafurahi sana kuliko 2015!
Hao wabunge wamechaguliwa na nani? TL atapata wabunge wa kuchaguliwa sio Viti maalum wanaume. Wanagongwa?
 
Wewe utakuwa unaunga mkono uporaji wa ranchi za wananchi Karagwe wewe na unyang'anyi wa pesa za walalahoi kupitia vitambulisho vya wamachinga.

Mbona unaitetea sana CCM?
Hilo nalilaani kama ni kweli, na kuna mahali humu nimeandika kwamba wahusika walitolee jibu. Msimamo wangu ni kupinga unyang'anyi bila kujali umefanywa na mtu wa upande upi.
 
Wengine ushinda tu kwa mabavu lakini si kwa ushindani.
 
Infact kanisa lake limejengwa kwenye open spaceπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Meko na maccm wenzako mwafaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…