Uchaguzi 2020 Askofu Mwingira: Lissu ni mshindi, hajajenga flyover wala reli. Watu wanamfuata

Una mawazo ya kizamani sana, elimu haija kusaidia. Wachaga sio wezi na wewe soma. Kwa taarifa yako tu elimu ilitangulia uchagani kabla ya
ujio wa fedha
 
Kuna mgombea kaweka mabango nchi nzima hadi vyooni lakini bila wasanii atabaki mwenyewe jukwaani,hana Sera kabakia kukata viuono jukwaani
 
Hakika Tundu Lissu, ni muujiza unaoishi

Wananchi wote bila kujali itikadi zetu za kisiasa, yatupasa tukampigie kura ifikapo hapo Oktoba 28, ili aigeuze nchi yetu kuwa ya maziwa na asali
 
Aaah wapi laana ipo soma Kumb 28:15 mpaka mwisho wa hiyo chapter ndiyo ujue maana ipo tena mbaya.
Ndiio maana Mungu anasema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
HAPO ulivyosomaa umeona Kuna sehemu sisi Kama binadamu tunaruhusiwa kulaani?
Soma vizuri, Tena usisome mstari mmojatu oma mpaka 28:20
Kama huelewi muulize hata mchu gani wako
Maana kuielewa biblia nqyo NI neema ya Mungu mwenyew
 
Narudia aliyempiga risasi Lisu na wote waliopanga mauaji yale walaamiwe wao na vizazi vyeo mpaka kizazi cha nne.
 
Ukweli ni kwamba Lissu hawezi kushinda uchaguzi wa mwaka huu.

Najua ni ngumu kuamini maneno yangu, ila yakumbuke maneno yangu baada ya uchaguzi
 
Eti Magu endelea kuwanyoosha
October 28 tunampandisha Ndege kum dampo Chattle na kumpa stahiki zake kama Mstaafu
 
Cool down!! Mbona kama ume panic!! Hahaaa mwaka huu kazi mnayo huku mahela naye kapanic, kumbe watz, wakati mwingine nao hawafai, mliwaona mazezeta tu miaka mitano!! Kumbe walikuwa wamelazimishwa kuwa hivyo!! Mwezi mmoja tu mmetepeta!!!
 
Duh, huu uzi ulinipitaga wapi maana ndo tu naiona leo wakati ni ya mwaka jana 2020...!!

Hawa ndiyo watumishi wa Mungu jasiri wanaoweza kusema kile watawala wasichopenda kukisikia kwa manufaa yao....

Na bila shaka, TUNDU LISSU alishinda uchaguzi mkuu wa 2020 lakini watawala wakafanya kosa baya na kubwa la kugeuza matokeo na kumpa ushindi "fake" John P. Magufuli...

Na miezi mitatu baada ya uchaguzi ikatolewa "warning call" kwa mdhulumati na engineer wa uhalifu wa kupora haki ya watu ya kuchagua kiongozi wampendae kwa kuondolewa uhai wake (kifo)...

Na waliobaki na kushiriki uhalifu huo, kila mmoja atapata haki yake kwa wakati wake hapa hapa duniani...!
 
 
Tuliza makalio wewe, mitano Tena ilishashindikana lala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…