jimama26
JF-Expert Member
- Jul 30, 2013
- 2,839
- 2,963
Waumini walikuwa makini wakitafakari ujumbe mzito. Wengine Machozi yakiwatoka.
Mwenyewe huku nimelia sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waumini walikuwa makini wakitafakari ujumbe mzito. Wengine Machozi yakiwatoka.
Una mawazo ya kizamani sana, elimu haija kusaidia. Wachaga sio wezi na wewe soma. Kwa taarifa yako tu elimu ilitangulia uchagani kabla yaMzee wangu Mwingira hajifunzi, 2015 alimbeza na kumtukana JPM na bado alishinda.
Nyuma ya pazia huyu mzee anaongozwa na ukabila wa mkewe mambo ya uchagani, wachaga wengi walikuwa wezi, njia za wizi zimebanwa, kujipendelea kazi nako siku hizi imekua ngumu so wamechanganyikiwa. Dkt Magufuli ndiye rais wetu atake asitake!
Kwa hyo Kama mtu akitenda dhambi a wewe unatendaWauwaji je
Kumbe NI ngedereeee sikujuaLissu sio binadamu na sio Mungu
Ndiio maana Mungu anasema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifaAaah wapi laana ipo soma Kumb 28:15 mpaka mwisho wa hiyo chapter ndiyo ujue maana ipo tena mbaya.
Narudia aliyempiga risasi Lisu na wote waliopanga mauaji yale walaamiwe wao na vizazi vyeo mpaka kizazi cha nne.Ndiio maana Mungu anasema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa
HAPO ulivyosomaa umeona Kuna sehemu sisi Kama binadamu tunaruhusiwa kulaani?
Soma vizuri, Tena usisome mstari mmojatu oma mpaka 28:20
Kama huelewi muulize hata mchu gani wako
Maana kuielewa biblia nqyo NI neema ya Mungu mwenyew
Dua la kukuNarudia aliyempiga risasi Lisu na wote waliopanga mauaji yale walaamiwe wao na vizazi vyeo mpaka kizazi cha nne.
Ukweli ni kwamba Lissu hawezi kushinda uchaguzi wa mwaka huu.Mtume na nabii Mwingira ametoa unabii wake kuhusu Uchaguzi huu wa 2020 Oktoba.
Moja ya pointi kubwa aliyoizungumzia ni kuwa mshindi hawezi kuzuiwa, kama Mungu alimpa ushindi basi atashinda.
Japokuwa ametumia kiingereza huku ikitafsiriwa lakini ujumbe huu unaweza kuwa wa kwanza kwa Kanisa la Kipentekoste hasa makanisa yenye huduma za mtu binafsi.
View attachment 1578719
View attachment 1578721
Eti Magu endelea kuwanyooshaAna maumivu tu huyo Hana lolote
Walizoea kupiga enzi za JK Sasa hivi maumivu tupu.
Magu endelea kuwanyoosha. Niliwahi kumsikia miaka kadhaa iliyopita anajitapa tena kanisani eti Mungu NI mkubwa Sana Ninamiliki zaidi ya 500 pairs of shoes
Wakatii kanisani kwake Kuna watu wanatembea wamevaa ndala hawajui kiatu. Alinishangaza Sana kwa hiyo statement sitakaa nisahau nilikuwa naangalia kwenye TV anahubiri.
Ila watu mna ndotoooEti Magu endelea kuwanyoosha
October 28 tunampandisha Ndege kum dampo Chattle na kumpa stahiki zake kama Mstaafu
hahaaaaa . . . . umenikumbusha mbali sana mkuuif wishes were horses....
Phd(pure head damage)Mtu mwenye Phd anadanganywa vip kienyeji hivyo
Hakika kabisa mkuuAmna CCM wanaabudu shetani (CCM ,Chama Cha Mashetani)
Cool down!! Mbona kama ume panic!! Hahaaa mwaka huu kazi mnayo huku mahela naye kapanic, kumbe watz, wakati mwingine nao hawafai, mliwaona mazezeta tu miaka mitano!! Kumbe walikuwa wamelazimishwa kuwa hivyo!! Mwezi mmoja tu mmetepeta!!!Ana maumivu tu huyo Hana lolote
Walizoea kupiga enzi za JK Sasa hivi maumivu tupu.
Magu endelea kuwanyoosha. Niliwahi kumsikia miaka kadhaa iliyopita anajitapa tena kanisani eti Mungu NI mkubwa Sana Ninamiliki zaidi ya 500 pairs of shoes
Wakatii kanisani kwake Kuna watu wanatembea wamevaa ndala hawajui kiatu. Alinishangaza Sana kwa hiyo statement sitakaa nisahau nilikuwa naangalia kwenye TV anahubiri.
Duh, huu uzi ulinipitaga wapi maana ndo tu naiona leo wakati ni ya mwaka jana 2020...!!Ni katika video clip ambayo inasambaa kwa kasi nchi nzima ktk mitandao ya kijamii instagram, twitter, Whatapp, facebook na Youtube ambapo Askofu huyo Mtumishi Wa Mungu anatanabaisha maajabu yanayotendeka ktk harakati za Lissu.
Nabii na mtume Mwingira anasema Mtu huyu ( Tundu) hajawahi kujenga Reli wala daraja la juu ( fly over) lakini tazama jinsi alivyo na wafuasi wengi sana.
Hakika mtu huyu ni Victor (mashindi) na kwamba Mungu yuko ndani yake.
Anasema kutokana na Lissu kuwa competitor na wengine Loosers hivyo hakuna wakumwangusha Lissu na wala hakuna wakumtisha maana ni victor.
Video hii hapa chini.
View attachment 1578769
Kupiga nini acha ujinga wako kwani huyo anayepiga trillion 1.5 ni wakati wa Kikwete huu, nani aliwahi kuiba pesa ndefu hivo achilia ufisadi wa kujenga kiwanja kijijini kwake, bora hata enzi za Kikwete maana huyo vingekuwa vyombo vya habari viko huru angepigwa na mawe akiwa jukwani na watu walivyo na hasira nae subiri tarehe 28
Tuliza makalio wewe, mitano Tena ilishashindikana lalaAna maumivu tu huyo Hana lolote
Walizoea kupiga enzi za JK Sasa hivi maumivu tupu.
Magu endelea kuwanyoosha. Niliwahi kumsikia miaka kadhaa iliyopita anajitapa tena kanisani eti Mungu NI mkubwa Sana Ninamiliki zaidi ya 500 pairs of shoes
Wakatii kanisani kwake Kuna watu wanatembea wamevaa ndala hawajui kiatu. Alinishangaza Sana kwa hiyo statement sitakaa nisahau nilikuwa naangalia kwenye TV anahubiri.