Uchaguzi 2020 Askofu Mwingira: Lissu ni mshindi, hajajenga flyover wala reli. Watu wanamfuata

Uchaguzi 2020 Askofu Mwingira: Lissu ni mshindi, hajajenga flyover wala reli. Watu wanamfuata

Mzee wangu Mwingira hajifunzi, 2015 alimbeza na kumtukana JPM na bado alishinda.

Nyuma ya pazia huyu mzee anaongozwa na ukabila wa mkewe mambo ya uchagani, wachaga wengi walikuwa wezi, njia za wizi zimebanwa, kujipendelea kazi nako siku hizi imekua ngumu so wamechanganyikiwa. Dkt Magufuli ndiye rais wetu atake asitake!
Prove beyond a reasonable dought,kwamba wachaga wengi walikuwa wezi.Nachukia sana kauli za ukabila,katika historia sijawai sikia kabila limeshtakiwa kwa wizi,Bali kesi nyingi za wizi anashatikiwa mtu aliyetiwa hatiani kwa tuhuma za wizi zenye ushaidi wa kutosha.Hivyo kuhusisha kwa ujumla kabila lote uwatendei haki ambao sio wezi.
 
Tutaona mengi katika Uchaguzi mwaka huu lakini mshindi anajulikana !


Mkuu kila kukicha ooh..eee...mara lile mara kule.Mtuachie mtu wetu apumue 😀
 

Attachments

  • IMG_20200924_191322.jpg
    IMG_20200924_191322.jpg
    23.3 KB · Views: 1
  • IMG_20200923_170500.png
    IMG_20200923_170500.png
    111.9 KB · Views: 1
Ni katika video clip ambayo inasambaa kwa kasi nchi nzima ktk mitandao ya kijamii instagram, twitter, Whatapp, facebook na Youtube ambapo Askofu huyo Mtumishi Wa Mungu anatanabaisha maajabu yanayotendeka ktk harakati za Lissu.

Nabii na mtume Mwingira anasema Mtu huyu ( Tundu) hajawahi kujenga Reli wala daraja la juu ( fly over) lakini tazama jinsi alivyo na wafuasi wengi sana.

Hakika mtu huyu ni Victor (mashindi) na kwamba Mungu yuko ndani yake.

Anasema kutokana na Lissu kuwa competitor na wengine Loosers hivyo hakuna wakumwangusha Lissu na wala hakuna wakumtisha maana ni victor.

Video hii hapa chini.
View attachment 1578769

Hakuna Jipya lolote hapo zaidi ya kiongozi wa kidini Mkubwa kama huyu kutumika kisiasa.
Ana waumini wa Vyama tofauti na kwa Maana hiyo anawagawa Waumini.
Kama yeye binafsi ni mwanachama wa CDM ibaki moyoni mwake ila sio kufanya hivyo kanisani kwenye Umma wa Waumini wa vyama tofauti.
 
Nimefurahi kuona waumini wake wengi wamekataa kuwa nyumbu.

Alitegemea aone kanisa zima likiripuka kwa shwangwe.

Nadhani sasa kaelewa watanzania wanataka nani awaongoze
Wengi walikuwa wakimsikiliza walionyesha wazi kukerwa ila yeye akakomaa tu .wengi hawakuwa na furaha kabisa na Yale mahubiri nyuso zilionyesha wazi
 
Hongereni sana waumini wa kwa Mwingira wengi alipoanza kuongelea Lisu waka mute wakawa wanamwangalia kwa kumshangaa tu kuwa nini hiki anaongea?
 
Ni katika video clip ambayo inasambaa kwa kasi nchi nzima ktk mitandao ya kijamii instagram, twitter, Whatapp, facebook na Youtube ambapo Askofu huyo Mtumishi Wa Mungu anatanabaisha maajabu yanayotendeka ktk harakati za Lissu.

Nabii na mtume Mwingira anasema Mtu huyu ( Tundu) hajawahi kujenga Reli wala daraja la juu ( fly over) lakini tazama jinsi alivyo na wafuasi wengi sana.

Hakika mtu huyu ni Victor (mashindi) na kwamba Mungu yuko ndani yake.

Anasema kutokana na Lissu kuwa competitor na wengine Loosers hivyo hakuna wakumwangusha Lissu na wala hakuna wakumtisha maana ni victor.

Video hii hapa chini.
View attachment 1578769

hio English sasa 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Mwacheni Mungu aitwe Mungu. Duniani hakuna mtu amepigwa risasi idadi Ile akapona. Ni muujiza. Mungu amlaani yeyote yule aliyedhamiria na kupanga kumuua huyu mtu. Mtu huyo na wauaji hao walaamiwe na kizazi chao chote. Watakufa kwa mateso makali. Mimi kama Mzazi mshika dini na hofu ya Mungu ikifika hapa naweka uchama pembeni. Bado kura yangu ni kwa chama changu lakini kwa Lisu naongea kama binadamu yoyote mwenye uchungu wa kuzaa na kulea. Utu na Uhai kwanza kabla ya chama.
 
Wengi walikuwa wakimsikiliza walionyesha wazi kukerwa ila yeye akakomaa tu .wengi hawakuwa na furaha kabisa na Yale mahubiri nyuso zilionyesha wazi
Hii video inamshusha Lissu zaidi badala ya kumpaisha.

Supporting Ratio aliyopata Kanisani inaakisi kabisa na huku mitaani. Na hivyo ndivyo Magufuli atashinda kwa 70% plus
 
Hakuna Jipya lolote hapo zaidi ya kiongozi wa kidini Mkubwa kama huyu kutumika kisiasa.
Ana waumini wa Vyama tofauti na kwa Maana hiyo anawagawa Waumini.
Kama yeye binafsi ni mwanachama wa CDM ibaki moyoni mwake ila sio kufanya hivyo kanisani kwenye Umma wa Waumini wa vyama tofauti.
GWAJIMA na masheik wa bakwata hao hawatumiki?
 
Ana maumivu tu huyo Hana lolote
Walizoea kupiga enzi za JK Sasa hivi maumivu tupu.

Magu endelea kuwanyoosha. Niliwahi kumsikia miaka kadhaa iliyopita anajitapa tena kanisani eti Mungu NI mkubwa Sana Ninamiliki zaidi ya 500 pairs of shoes

Wakatii kanisani kwake Kuna watu wanatembea wamevaa ndala hawajui kiatu. Alinishangaza Sana kwa hiyo statement sitakaa nisahau nilikuwa naangalia kwenye TV anahubiri.
Ndio hoja mlizobaki nazo mazombie ya jiwe.....unamlinganishaje kikwete na hilo dude lenu
 
Mzee wangu Mwingira hajifunzi, 2015 alimbeza na kumtukana JPM na bado alishinda.

Nyuma ya pazia huyu mzee anaongozwa na ukabila wa mkewe mambo ya uchagani, wachaga wengi walikuwa wezi, njia za wizi zimebanwa, kujipendelea kazi nako siku hizi imekua ngumu so wamechanganyikiwa. Dkt Magufuli ndiye rais wetu atake asitake!
Anyway, angemsemea huyo inayemtaka ungesa vingine. Ndo silka ya binadamu

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Kikwete aliyesema pesa ya escrow si pesa ya umma kumlinganisha na hilo unaloita dude ni kutowatendea haki wote wawili.
We zombie lake huwez kuongea vinginevyo...hakuna aliyepiga hela km hilo dude lenu tangu tupate uhuru...huwez kuelewa umepofushwa na alichokupa
 
Back
Top Bottom