Askofu Mwingira: Nimenusurika kuuawa mara tatu na watu wa Serikali

Askofu Mwingira: Nimenusurika kuuawa mara tatu na watu wa Serikali

Tanzania inakadiriwa kuwa na watu 60ml, sasa naomba unipe IDADI YA WATU KUMI tu ambao wameuawa ktk utawala wa JPM
 
Kama umeshindwa kutaja watu angalau KUMI tu kati ya Watanzania 60ml (ambao ni sawa na 0.00000017% ya Tz total population) waliouliwa utawala wa Magu basi huna HOJA bali una VIOJA

Tafuta mwingne wa kudebate nae, siwezi bishana na mtu asiye na data bali kukaririshwa na kumezeshwa pumba na mashudu
 
Ana hasira sana baada ya kale kabenk kake uchwara kufilisiwa!
[emoji23][emoji23][emoji23]
Unless na wewe ni mmoja wa vikundi vya utekaji na wauaji. hivi kwa umaskini wa wa kiwango chako wewe unaita kabenki kake, you can't be serious. Maneno aliyoongea huyu bwana kwa wenye akili Timamu yanatafakarisha sana watu. kama hujui Duniani kote yalikotokea machafuka ni kwasababu serikali zilishindwa kuaddress changamoto kama hizi. ni sawa na mbuni kuficha kichwa chake kwenye mchanga wakati mwili wote uko nje. Na bado watu wataendelea kutema sumu kama hizi kadri siku zinavyosonga.
 
Je
Kipindi Magufuli anaingia madarakani nchi yetu ilikuwa ikikabiliwa na baadhi ya changamoto kama zifuatazo:

1. Ufisadi na Rushwa serikalini mpaka ndani ya chama cha CCM
2. Wizi na ujambazi majumbani, biasharani mpaka kwenye mabenki
3. Mauaji ya albino
4. Madawa ya kulevya
5. Ugaidi wa kibiti na kule amboni
6. Uporaji silaha vituo vya polisi
7. Ukwepaji kodi na utakatishaji fedha
8. Vyeti feki na watumishi hewa
9. Na mengineyo mengi

Miaka MINNE baada ya Magu kuingia madarakani, asilimia 90% ya hizo changamoto zilikuwa ni historia,,, hatukuzisikia tena zikijitokeza, Serikali ya awamu ya TANO ilizitokomezea mbali

Sasa huyu Mwingira alishakuwa na kashfa za madawa, lakn pía enzi za utawala wa Jakaya alishawahi kukamatwa na mkono wa albino ndani ya gari lake, haikujulikana kesi yake aliimalizaga vipi lakn alirudi uraiani na kuendelea na mishe zake

Sasa mtu mwenye kashfa za namna hiyo ataufurahia vipi utawala uliokata mrija wa chakula chake cha harámu!????

Vipi kuhusu waliokuwa wakishiriki matukio ya ujambazi, vyeti feki, wauza madawa, wapiga dili za ufisadi Serikalini, wezi na wahujumu wa mali za CCM, wakwepa kodi,, nk nk
JE WATU WA KWENYE MAKUNDI HAYA WATAFURAHIA UTAWALA WA MAGU ULIOHARIBU MRIJA WA CHAKULA CHAO...!????
Chagua moja, kujenga hoja au Kutetea unachokiamin
Una ushahid gan kuwa huo mkono wa albino ni wa kubambikiwa ama vp..

Huu mjadala uache kwa watu huru wa mawazo wew tiyari una hukumu mkononi
 
Mahakama hiihii iliyo muhukumu sabaya na mkasema mahakama iko huru ndo itakayo kupa hako yako.
Lete sehemu niliyosema kuwa mahakama iko huru toka siku niliyojiunga jf ukinionesha nitakutumilia 200k.

Hayo ya akina sabaya watajuana na waliomfunga na aliyowadhulumu kama amaeonewa ashukuru Mungu lakni hakuna mahakama huru chini ya utawala wa kishenzi kama huu uliopo na uliopita.
 
[emoji13][emoji13][emoji13] Tena ndiyo kwanza walimdhihaki, yaani hawa watu ni wa ajabu sana. Ambacho huwa sikielewi mpaka leo ni kitendo chao cha kufurahia mtanzania mwenzao kupotezwa/kuumizwa. Mbaya zaidi kuna ambao hawapati chochote zaidi ya kupiga kelele na kushangilia mitandaoni.
Ambacho sielewi ni wanafanya haya wakidhani wanampigania mtu ambaye, kama unaamini, ameshapata hukumu yake. Kwa hiyo aidha unamtetea mtu aliye mbinguni asiyehitaji utetezi wako, au unatenda dhambi kutetea dhambi za mtu aliyekwishaamuliwa kwenda jehanamu. A fools errand either way if you ask me.
 
Ndio anaongea sasa hv….apige kimya au la sivyo tutamuweka kwenye kundi la wahuni..#kataawahuni
Unataka kusema ulitaka aseme nini kama dada aliyemtonya kuhusu kutaka kuuliwa kwake ameuwawa yeye angepona?
 
Back
Top Bottom