kamjabari
JF-Expert Member
- Mar 20, 2017
- 1,144
- 1,668
Mwingira ni Mnyakyusa na si mchaga ,acha uongoHapana mkuu acheni hizo mambo. Mwingira alikuwa na chuki binasafi kwa sababu mambo ya uchaga na mke ni mchaga na lowasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwingira ni Mnyakyusa na si mchaga ,acha uongoHapana mkuu acheni hizo mambo. Mwingira alikuwa na chuki binasafi kwa sababu mambo ya uchaga na mke ni mchaga na lowasa.
Tanzania inakadiriwa kuwa na watu 60ml, sasa naomba unipe IDADI YA WATU KUMI tu ambao wameuawa ktk utawala wa JPM
Kama umeshindwa kutaja watu angalau KUMI tu kati ya Watanzania 60ml (ambao ni sawa na 0.00000017% ya Tz total population) waliouliwa utawala wa Magu basi huna HOJA bali una VIOJA
Tafuta mwingne wa kudebate nae, siwezi bishana na mtu asiye na data bali kukaririshwa na kumezeshwa pumba na mashudu
Unless na wewe ni mmoja wa vikundi vya utekaji na wauaji. hivi kwa umaskini wa wa kiwango chako wewe unaita kabenki kake, you can't be serious. Maneno aliyoongea huyu bwana kwa wenye akili Timamu yanatafakarisha sana watu. kama hujui Duniani kote yalikotokea machafuka ni kwasababu serikali zilishindwa kuaddress changamoto kama hizi. ni sawa na mbuni kuficha kichwa chake kwenye mchanga wakati mwili wote uko nje. Na bado watu wataendelea kutema sumu kama hizi kadri siku zinavyosonga.Ana hasira sana baada ya kale kabenk kake uchwara kufilisiwa!
[emoji23][emoji23][emoji23]
Hii ndiyo Mbinu aliyokuwa anatumia Mwendazake kuwaonea na kunyang'anya mali wale aliyotaka kuwashughulikia kwa kuwambikia neno la mafisadi na bahati mbaya waTz wenye akili chache kama za kwako walikuwa wakishangilia na kubariki vitendo vya kinyama vya aina hii.Mafisadi wanataabika sana
Chagua moja, kujenga hoja au Kutetea unachokiaminKipindi Magufuli anaingia madarakani nchi yetu ilikuwa ikikabiliwa na baadhi ya changamoto kama zifuatazo:
1. Ufisadi na Rushwa serikalini mpaka ndani ya chama cha CCM
2. Wizi na ujambazi majumbani, biasharani mpaka kwenye mabenki
3. Mauaji ya albino
4. Madawa ya kulevya
5. Ugaidi wa kibiti na kule amboni
6. Uporaji silaha vituo vya polisi
7. Ukwepaji kodi na utakatishaji fedha
8. Vyeti feki na watumishi hewa
9. Na mengineyo mengi
Miaka MINNE baada ya Magu kuingia madarakani, asilimia 90% ya hizo changamoto zilikuwa ni historia,,, hatukuzisikia tena zikijitokeza, Serikali ya awamu ya TANO ilizitokomezea mbali
Sasa huyu Mwingira alishakuwa na kashfa za madawa, lakn pía enzi za utawala wa Jakaya alishawahi kukamatwa na mkono wa albino ndani ya gari lake, haikujulikana kesi yake aliimalizaga vipi lakn alirudi uraiani na kuendelea na mishe zake
Sasa mtu mwenye kashfa za namna hiyo ataufurahia vipi utawala uliokata mrija wa chakula chake cha harámu!????
Vipi kuhusu waliokuwa wakishiriki matukio ya ujambazi, vyeti feki, wauza madawa, wapiga dili za ufisadi Serikalini, wezi na wahujumu wa mali za CCM, wakwepa kodi,, nk nk
JE WATU WA KWENYE MAKUNDI HAYA WATAFURAHIA UTAWALA WA MAGU ULIOHARIBU MRIJA WA CHAKULA CHAO...!????
Wala sio mnyakyusa ni jitu jinga na pumbavu la kusini huko!Mwingira ni Mnyakyusa na si mchaga ,acha uongo
Lete sehemu niliyosema kuwa mahakama iko huru toka siku niliyojiunga jf ukinionesha nitakutumilia 200k.Mahakama hiihii iliyo muhukumu sabaya na mkasema mahakama iko huru ndo itakayo kupa hako yako.
Achana na huyo , usijibizane nae ni hewaKwa hoja hizi ndio maana mungu wenu yuko mavumbini huko analiwa na funza...
Acheni tu tushangilie.
Ambacho sielewi ni wanafanya haya wakidhani wanampigania mtu ambaye, kama unaamini, ameshapata hukumu yake. Kwa hiyo aidha unamtetea mtu aliye mbinguni asiyehitaji utetezi wako, au unatenda dhambi kutetea dhambi za mtu aliyekwishaamuliwa kwenda jehanamu. A fools errand either way if you ask me.[emoji13][emoji13][emoji13] Tena ndiyo kwanza walimdhihaki, yaani hawa watu ni wa ajabu sana. Ambacho huwa sikielewi mpaka leo ni kitendo chao cha kufurahia mtanzania mwenzao kupotezwa/kuumizwa. Mbaya zaidi kuna ambao hawapati chochote zaidi ya kupiga kelele na kushangilia mitandaoni.
Ana nyota ya SAMASONMwingira alivo muhuni angetaka kuuliwa si wangetumiwa hao malaya.
Tobaaaa kumbe ni MTU wa totozi Cariha eeeh?Mwingira alivo muhuni angetaka kuuliwa si wangetumiwa hao malaya.
Unataka kusema ulitaka aseme nini kama dada aliyemtonya kuhusu kutaka kuuliwa kwake ameuwawa yeye angepona?Ndio anaongea sasa hv….apige kimya au la sivyo tutamuweka kwenye kundi la wahuni..#kataawahuni
Acha kashfa msikilize leo anaongea yeye kesho wewe au ndugu yako hayo ndio maisha yaliokua TanzaniaAna nyota ya SAMASON
Kuwepo kwa changamoto hizo haimaanishi kila mwananchi alisababisha hayo...Je unakubali kuwa tz ilikuwa na changamoto ya ufisadi,vyeti feki ,wauza madawa ya kulevya wizi wa mali za umma nk?
Kwako, kwa majority of Tanzanians #BadoSana, yaani mnatwanga maji kwenye kinu.BADO mo Dewi na zakaria ipo siku watafunguka
legasi ya mwendakuzimu kwisha kabisa
AjabuMwingira alivo muhuni angetaka kuuliwa si wangetumiwa hao malaya.