Askofu Mwingira: Nimenusurika kuuawa mara tatu na watu wa Serikali

Askofu Mwingira: Nimenusurika kuuawa mara tatu na watu wa Serikali

SHETANI AMTOI SHETANI MWEZAKE by JESUS. Ndiyo maana shetani aliyetaka kumuuwa LISU alikataa kuruhusu maombi wala uchunguzi. Sasa mnakataaje pale hakuna SHETANI?.
 
Huwa inside jobs za aina hii mnaminyana ndani kwa ndani kimya kimya kwa sababu, namna mchoro unavyosukwa kunakuwa hakuna jinsi serikali ikakosa kuwa implicated.
Ndio maana hata Interpol hawakuruhusiwa, because lengo lilikuwa interpol waje wasindilie kuwa ni serikali na JPM iliyompiga risasi Tal ili ikiwezekana mabeberu yapate pa kuingilia kwa kisingizio cha JPM muuaji.
We mpuuzi kweli beberu atake kupanda mbuzi jike amtumie LISU?. Dhambi ya kumuua Lisu Magufuri hawezi ikwepa kamwe. Kwanini mlizuia watu kufanya hata maombi?.
 
Bahati nzuri huyu alikuwa muwazi toka enzi za jiwe na hakumuogopa na ndio malipo yake hayo!!sio kakobe na gwajima, jibu hoja zake!!kubalini tu shetani lile limeshaondoka sasa na nyie mteseke kwani mlijua kabisa jamaa ndio kafika, na nyie ni kuimba mapambio tu kuwa atake asitake"sasa MUNGU KACHOMOA FUSE, MNASEMAJE?
ILA MUNGU NI FUNDI SANA!!!
Mkuu Mungu si wako peko yako au huyo tapeli wenu kwani kifo kipo kwa mwanadamu labda jiwe,maadamu umezaliwa na mwanamke na manii ya mwanaume utakufa tu na hata mimi nitakufa ,nadhani umesahau kama tupo kwenye foleni tu mkuu. tapeli wenu kaitwa ajieleze ndio mtajua hamjui
 
Mkuu Mungu si wako peko yako au huyo tapeli wenu kwani kifo kipo kwa mwanadamu labda jiwe,maadamu umezaliwa na mwanamke na manii ya mwanaume utakufa tu na hata mimi nitakufa ,nadhani umesahau kama tupo kwenye foleni tu mkuu. tapeli wenu kaitwa ajieleze ndio mtajua hamjui
Kila mtu atakufa, lakini kwanini ujione wewe ndiye mwenye mamlaka ya kukatisha uhai wa wenzako kisa tu, mnatofautiana mitazamo , tena kibaya zaidi mitazamo ya kisiasa!!???ni watu wangapi walipotelewa na ndugu zao lakini majibu yaliyokuwa anayatoa utafikiria amepotea kuku!!!SASA mungu ndio akatumia ukuu wake, kutoanyesha kuwa sisi binadamu TUTAJUA HATUJUI!!!ni mioyo ya familia ngapi ziliia??MUNGU FUNDI.
 
Hv ni kwa nn watabiri hawa wanaojiita manabii hawajitabirii wao ili tuone ukweli wao halisi,ukienda kwa waganga wa kienyeji mchezo ni uleule mganga hata hata Tshs 200 ya kizugia lkn anawadangnya kuwa eti watakuwa matajiri.kazi tunayo Tanzania na AFRIKA.Bado wasiosoma maandiko wanaaminishwa kwamba bado Kuna manabii kweli biblia inahitaji akili kuielewa.MUNGU anasema watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.
 
Mkuu Mungu si wako peko yako au huyo tapeli wenu kwani kifo kipo kwa mwanadamu labda jiwe,maadamu umezaliwa na mwanamke na manii ya mwanaume utakufa tu na hata mimi nitakufa ,nadhani umesahau kama tupo kwenye foleni tu mkuu. tapeli wenu kaitwa ajieleze ndio mtajua hamjui
Sote tunajua kwamba kifo kipo na kila mmoja atakufa tu, kama ndivyo kwa nini huyu kiongozi wetu mlikuwa mnamtukuza/ anajitukuza Sana kana kwamba yeye hatakufa? Mara mnamwita/anajiita majina ya ajabu, jiwe, chuma, mungu, nk. Ndiyo maana watu wanasema Mungu ndiye fundi.
 
NUKUU ZA ASKOFU MWINGIRA:

1. "Nimenusurika kuuawa mara tatu na watu wa Serikali."

2. "Mali zangu zenye thamani ya 10 bilioni yakiwemo Matrekta yaliteketezwa Shambani kwangu."

3. "Dereva wangu alihusishwa katika mauaji na nilipogundua nilimnyang'anya simu."

4. "Dada aliyetoa taarifa za mipango ya kuuawa kwangu aliuawa Rombo Hotel Shekilango Dar es Salaaam."

5. "Mwaka unaokuja Watanzania watakuwa Salama."


26/12/2021.

Stay tuned.

View attachment 2058518
Mtume na Nabii Josephat Mwingira ni Mtumishi wa Mungu na kiongozi wa huduma ya Efatha Ministries nchini Tanzania.

Pia, soma:

Polisi Dar yampa masaa 24 Askofu Mwingira ili ajisalimishe kwa Mahojiano

Uchaguzi 2020 - Askofu Mwingira: Lissu ni mshindi, hajajenga flyover wala reli. Watu wanamfuata


10 billion za currency gani labda? Na kwa shughuli gani halali anayoifanya huyu loony?
 
CCM ni ukoo wa panya—babu mwizi, baba mwizi, watoto wezi, wajukuu wezi, vitukuu wezi, vilembwe wezi na vining’ina wezi! Ukoo huu wa panya walikuwa wanasafiri katika boti la muhogo, lakini kwa sababu ya uroho wao, walianza kulitafuna boti! Kilichofuata ni ukoo mzima wa kizazi cha panya kuzama na kuangamia.

CCM wameanza kuitafuna nchi tangu mwaka 1961 lakini ukomo wao wa kutafuna rasilimali za nchi ni zitafika tamati hivi punde kwani hakuna mtanzania mwenye hamu ya kuongozwa na chama cha kifisadi kama CCM ambacho kimeshindwa kuboresha maisha na ustawi wa watanzania. Wananchi wamechoka kubebeshwa ‘magunia ya misumari’ ya bei ya juu ya chakula, mfumuko wa bei wa kutisha, elimu duni, maisha duni, ufisadi wa kutisha na matatizo lukuki yanayosababishwa na panya (CCM) hawa wasiokuwa na haya! Kizazi kizima cha CCM kinakaribia kuzama na kusahaulika kabisa katika ardhi ya Tanzania.

It’s a matter of time before CCM dynasty comes to an end, and that’s when these unscrupulous rats will apprehend the significance and power of the people. Desolately, CCM have been ignoring and looking down their noses at common Tanzanians for many years. Time has now come when citizens can no longer endure CCM’s tyranny and corrupt rule. Everybody is tired of living like a slave on a land endowed with an assortment of natural wealth which only benefits minority fisadis and a few elites in power while majority Tanzanians lead very miserable lives.

What comes around goes around. Let CCM go to hell for good because they have absolutely failed to uplift the living standards of millions of Tanzanians at the expense of a few fisadis whose gargantuan stomachs never fill up! And no one should be blamed for the hatred and grudge that majority people hold against CCM and their crooked government except fisadis themselves who, horrifically, decided to gnaw the cassava-made boat by which they were sailing!
 
NUKUU ZA ASKOFU MWINGIRA:

1. "Nimenusurika kuuawa mara tatu na watu wa Serikali."

2. "Mali zangu zenye thamani ya 10 bilioni yakiwemo Matrekta yaliteketezwa Shambani kwangu."

3. "Dereva wangu alihusishwa katika mauaji na nilipogundua nilimnyang'anya simu."

4. "Dada aliyetoa taarifa za mipango ya kuuawa kwangu aliuawa Rombo Hotel Shekilango Dar es Salaaam."

5. "Mwaka unaokuja Watanzania watakuwa Salama."


26/12/2021.

Stay tuned.

View attachment 2058518
Mtume na Nabii Josephat Mwingira ni Mtumishi wa Mungu na kiongozi wa huduma ya Efatha Ministries nchini Tanzania.

Pia, soma:

Polisi Dar yampa masaa 24 Askofu Mwingira ili ajisalimishe kwa Mahojiano

Uchaguzi 2020 - Askofu Mwingira: Lissu ni mshindi, hajajenga flyover wala reli. Watu wanamfuata

Mtu anawezaje kuwa mtume na nabii kwa wakati mmoja halafu anamiliki Bilioni 10?
 
Hivi unadhani kikwete leo akifa ataoga matusi kama aliyooga huyo shetani?

Mkapa alikufa... Watu wa pemba si uliwaona walivokuwa?

Huku Bongo alitukanwa kama alivyotukanwa huyo mungu wenu?
Sasa ukimtukana matusi mfu wewe ni mwendakichaa
 
CCM walitaka kumuua Tundu Lissu wakashindwa sasa mtumishi wa Mungu mtamuweza wapi mbwa nyie? Kaa chini mtulize makalio msubiri hukumu yenu. Lucifer aliyeagiza Lissu auawe yuko wapi sasa? Hata nyie mtakuja kufa kifo kibaya zaidi ya kile cha Lucifer mashetani wakubwa, Mungu anawaona!
 
Mkuu Mungu si wako peko yako au huyo tapeli wenu kwani kifo kipo kwa mwanadamu labda jiwe,maadamu umezaliwa na mwanamke na manii ya mwanaume utakufa tu na hata mimi nitakufa ,nadhani umesahau kama tupo kwenye foleni tu mkuu. tapeli wenu kaitwa ajieleze ndio mtajua hamjui
Hata Lucifer wenu aliyekua anaagiza watu wauawe na kupotezwa naye katangulia mbele za haki akawaongoze malaika polepole. Usijifanye mwamba sana kupoteza roho za watu wasiokuwa na hatia wakati mwenyewe huna uhakika wa maisha yako hapa duniani. Yuko wapi muuaji mkuu si amelala chini ya ardhi anaoza taratibu? Aliyeagiza amiminiwe risasi 30 bado anadunda mtaani. Acha ujinga basi.
 
Back
Top Bottom