Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We mpuuzi kweli beberu atake kupanda mbuzi jike amtumie LISU?. Dhambi ya kumuua Lisu Magufuri hawezi ikwepa kamwe. Kwanini mlizuia watu kufanya hata maombi?.Huwa inside jobs za aina hii mnaminyana ndani kwa ndani kimya kimya kwa sababu, namna mchoro unavyosukwa kunakuwa hakuna jinsi serikali ikakosa kuwa implicated.
Ndio maana hata Interpol hawakuruhusiwa, because lengo lilikuwa interpol waje wasindilie kuwa ni serikali na JPM iliyompiga risasi Tal ili ikiwezekana mabeberu yapate pa kuingilia kwa kisingizio cha JPM muuaji.
Haa
Mkuu Mungu si wako peko yako au huyo tapeli wenu kwani kifo kipo kwa mwanadamu labda jiwe,maadamu umezaliwa na mwanamke na manii ya mwanaume utakufa tu na hata mimi nitakufa ,nadhani umesahau kama tupo kwenye foleni tu mkuu. tapeli wenu kaitwa ajieleze ndio mtajua hamjuiBahati nzuri huyu alikuwa muwazi toka enzi za jiwe na hakumuogopa na ndio malipo yake hayo!!sio kakobe na gwajima, jibu hoja zake!!kubalini tu shetani lile limeshaondoka sasa na nyie mteseke kwani mlijua kabisa jamaa ndio kafika, na nyie ni kuimba mapambio tu kuwa atake asitake"sasa MUNGU KACHOMOA FUSE, MNASEMAJE?
ILA MUNGU NI FUNDI SANA!!!
Kila mtu atakufa, lakini kwanini ujione wewe ndiye mwenye mamlaka ya kukatisha uhai wa wenzako kisa tu, mnatofautiana mitazamo , tena kibaya zaidi mitazamo ya kisiasa!!???ni watu wangapi walipotelewa na ndugu zao lakini majibu yaliyokuwa anayatoa utafikiria amepotea kuku!!!SASA mungu ndio akatumia ukuu wake, kutoanyesha kuwa sisi binadamu TUTAJUA HATUJUI!!!ni mioyo ya familia ngapi ziliia??MUNGU FUNDI.Mkuu Mungu si wako peko yako au huyo tapeli wenu kwani kifo kipo kwa mwanadamu labda jiwe,maadamu umezaliwa na mwanamke na manii ya mwanaume utakufa tu na hata mimi nitakufa ,nadhani umesahau kama tupo kwenye foleni tu mkuu. tapeli wenu kaitwa ajieleze ndio mtajua hamjui
Sote tunajua kwamba kifo kipo na kila mmoja atakufa tu, kama ndivyo kwa nini huyu kiongozi wetu mlikuwa mnamtukuza/ anajitukuza Sana kana kwamba yeye hatakufa? Mara mnamwita/anajiita majina ya ajabu, jiwe, chuma, mungu, nk. Ndiyo maana watu wanasema Mungu ndiye fundi.Mkuu Mungu si wako peko yako au huyo tapeli wenu kwani kifo kipo kwa mwanadamu labda jiwe,maadamu umezaliwa na mwanamke na manii ya mwanaume utakufa tu na hata mimi nitakufa ,nadhani umesahau kama tupo kwenye foleni tu mkuu. tapeli wenu kaitwa ajieleze ndio mtajua hamjui
NUKUU ZA ASKOFU MWINGIRA:
1. "Nimenusurika kuuawa mara tatu na watu wa Serikali."
2. "Mali zangu zenye thamani ya 10 bilioni yakiwemo Matrekta yaliteketezwa Shambani kwangu."
3. "Dereva wangu alihusishwa katika mauaji na nilipogundua nilimnyang'anya simu."
4. "Dada aliyetoa taarifa za mipango ya kuuawa kwangu aliuawa Rombo Hotel Shekilango Dar es Salaaam."
5. "Mwaka unaokuja Watanzania watakuwa Salama."
26/12/2021.
Stay tuned.
View attachment 2058518
Mtume na Nabii Josephat Mwingira ni Mtumishi wa Mungu na kiongozi wa huduma ya Efatha Ministries nchini Tanzania.
Pia, soma:
Polisi Dar yampa masaa 24 Askofu Mwingira ili ajisalimishe kwa Mahojiano
Uchaguzi 2020 - Askofu Mwingira: Lissu ni mshindi, hajajenga flyover wala reli. Watu wanamfuata
Ushoga wamliza kwa uchungu RC Makonda kanisani Efatha kwa mchungaji Mwingira
Katika ibada inayoendelea kanisa la mchungaji Mwingira Mkuu wa mkoa RC Makonda Amelia kwa uchungu mbele ya madhabau kutokana na matukio mabaya yanayoendelea mkoani Dar ess salaam hasa suala la ushoga === Mkuu wa Mkoa wa DSM Paul Makonda leo amehudhuria ibada ya kwanza kwa Askofu Mwingira DSM...www.jamiiforums.com
Kwa JPM hawa jamaa walikuwa kimya hata wakishughulikiwa maana walikuwa wanajua jamaa ana mafile yao.....
Tukio la pale darajan, linakazia ukwel kwamba wao niwao, nandio wale wale...Hakuna serikali ya kijinga hivo Tanzania.
Na Samia alishawaambia "serikali ya Tz haiwezi kufanya tukio kizembe vile".
Yaani SMG full magazine risasi 30 zinaisha. Unapachika Magazine nyingine eti umetumwa na JPM umuue lisu?
Mtu anawezaje kuwa mtume na nabii kwa wakati mmoja halafu anamiliki Bilioni 10?NUKUU ZA ASKOFU MWINGIRA:
1. "Nimenusurika kuuawa mara tatu na watu wa Serikali."
2. "Mali zangu zenye thamani ya 10 bilioni yakiwemo Matrekta yaliteketezwa Shambani kwangu."
3. "Dereva wangu alihusishwa katika mauaji na nilipogundua nilimnyang'anya simu."
4. "Dada aliyetoa taarifa za mipango ya kuuawa kwangu aliuawa Rombo Hotel Shekilango Dar es Salaaam."
5. "Mwaka unaokuja Watanzania watakuwa Salama."
26/12/2021.
Stay tuned.
View attachment 2058518
Mtume na Nabii Josephat Mwingira ni Mtumishi wa Mungu na kiongozi wa huduma ya Efatha Ministries nchini Tanzania.
Pia, soma:
Polisi Dar yampa masaa 24 Askofu Mwingira ili ajisalimishe kwa Mahojiano
Uchaguzi 2020 - Askofu Mwingira: Lissu ni mshindi, hajajenga flyover wala reli. Watu wanamfuata
Ushoga wamliza kwa uchungu RC Makonda kanisani Efatha kwa mchungaji Mwingira
Katika ibada inayoendelea kanisa la mchungaji Mwingira Mkuu wa mkoa RC Makonda Amelia kwa uchungu mbele ya madhabau kutokana na matukio mabaya yanayoendelea mkoani Dar ess salaam hasa suala la ushoga === Mkuu wa Mkoa wa DSM Paul Makonda leo amehudhuria ibada ya kwanza kwa Askofu Mwingira DSM...www.jamiiforums.com
Sasa ukimtukana matusi mfu wewe ni mwendakichaaHivi unadhani kikwete leo akifa ataoga matusi kama aliyooga huyo shetani?
Mkapa alikufa... Watu wa pemba si uliwaona walivokuwa?
Huku Bongo alitukanwa kama alivyotukanwa huyo mungu wenu?
Hata Lucifer wenu aliyekua anaagiza watu wauawe na kupotezwa naye katangulia mbele za haki akawaongoze malaika polepole. Usijifanye mwamba sana kupoteza roho za watu wasiokuwa na hatia wakati mwenyewe huna uhakika wa maisha yako hapa duniani. Yuko wapi muuaji mkuu si amelala chini ya ardhi anaoza taratibu? Aliyeagiza amiminiwe risasi 30 bado anadunda mtaani. Acha ujinga basi.Mkuu Mungu si wako peko yako au huyo tapeli wenu kwani kifo kipo kwa mwanadamu labda jiwe,maadamu umezaliwa na mwanamke na manii ya mwanaume utakufa tu na hata mimi nitakufa ,nadhani umesahau kama tupo kwenye foleni tu mkuu. tapeli wenu kaitwa ajieleze ndio mtajua hamjui
Mawazo mgandoKuna uwezekano "deep state" waliona magu ni aina gani wakaamua kum fix kabla hali haijaendelea kuwa mbaya.